- Thread starter
- #21
<br />Duhh! Kweli mi mawazo yangu yanakwenda mbali na nakimbilia kwa hawa magamba kuwafanya Watanzania kuwa ktk wakati mgumu kama wa huyo mama. Kweli CCM ndio chanzo yote ya hilo tukio.
<br />
daaa,liva kweli umeenda MBALI
<br />Duhh! Kweli mi mawazo yangu yanakwenda mbali na nakimbilia kwa hawa magamba kuwafanya Watanzania kuwa ktk wakati mgumu kama wa huyo mama. Kweli CCM ndio chanzo yote ya hilo tukio.
<br />Chanzo...?
<br />Swali la msingi maana habari yenyewe si habari.<br />
<br /><br />
<br />
<br />Mleta mada ni mchoyo kuliko huyo mama aliuyeuwa. Sasa kwa nini hataki kutoa chanzo chake cha habari, au naye anaogopa kudokolewa?
<br />Umaskini ni kitu kibaya sana ,so sad.
<br />Bajabiri;2387831]Jeshi la polisi linamshikilia mwanamke mmoja ambae alishirikiana na house girl kumuadhibu mtoto ambae alidokoa mboga,,,,,,<br />
MY TAKE;UKATILI HUUU KWA WATOTO HAUVUMILIKI JAMANI Hii ndo amani inayohuburiwa na magamba, huku ndo kuthubutu wanakokuhubiri magamba. Umasikini ndo chanzo cha kifo cha mtoto ambao umesababishwa na mfumo mbovu wa serikali ya magamba ambao unawafanya wachache(walalahai) waogelee kwenye utajiri huku ukiwaacha walio wengi (walalahoi) wakinuka umasikini