Mama Alalamika Mtoto Kanyofolewa Mkono Wasweta ...

PlanckScale

JF-Expert Member
Sep 28, 2008
550
169
A mother in Miami is suing the hospital after her newborn son was circumcised without his family's consent. It is interesting to see how different cultures view this practice/ritual. There is even an anti-circumcision groups that is planning a demonstration in her support.

``It’s a big deal,’’ Delgado said Wednesday, in her attorney’s office. ``In the future, he’s going to ask why his dad is one way and he’s different.’‘


Accidental circumcision leads to lawsuit, protest - Miami-Dade Breaking News - MiamiHerald.com
 
A mother in Miami is suing the hospital after her newborn son was circumcised without his family's consent. It is interesting to see how different cultures view this practice/ritual. There is even an anti-circumcision groups that is planning a demonstration in her support.

``It’s a big deal,’’ Delgado said Wednesday, in her attorney’s office. ``In the future, he’s going to ask why his dad is one way and he’s different.’‘


Accidental circumcision leads to lawsuit, protest - Miami-Dade Breaking News - MiamiHerald.com

That's what makes the world; people with different cultures. However, for the health reasons this practice has to be reinforced and scaled up worldwide.
 
that's what makes the world; people with different cultures. However, for the health reasons this practice has to be reinforced and scaled up worldwide.

nafikiri kisoti kabla hawajafanya wangeomba ridhaa kutoka kwa mama pia , inaonekana kama baba aliamua bila ya kumshirikisha ma-msapu, ilitokea kwa watoto wa brother wangu mke wake aliwapeleka vijana wawili akawafyeka wote bila ridhaa ya baba yao, aliporudi baba yao akakuta vijana wote wamevaa kanga huku wana vidonda katika sehemu zao nyeti, duh brother wangu chozi lilimtoka ka mtoto kwa kuona vijana wamefyekwa bila ya ridhaa yake.
 
nafikiri kisoti kabla hawajafanya wangeomba ridhaa kutoka kwa mama pia , inaonekana kama baba aliamua bila ya kumshirikisha ma-msapu, ilitokea kwa watoto wa brother wangu mke wake aliwapeleka vijana wawili akawafyeka wote bila ridhaa ya baba yao, aliporudi baba yao akakuta vijana wote wamevaa kanga huku wana vidonda katika sehemu zao nyeti, duh brother wangu chozi lilimtoka ka mtoto kwa kuona vijana wamefyekwa bila ya ridhaa yake.

Nadhani hiyo ndio issue...Familia haikujumuishwa kwenye shughuli hiyo. Pia baba na mama wa mtoto hawakutaka hilo lifanywe. Hospitali wange washauri kwahali zote, lakini the ultimate decision should have rested on the parents...

Lakini nakubaliana na Kisoti kwamba, hii issue imekuwa a medical must-do. Mambo ya culture itabidi tuyaweke pembeni kidogo maana procedure hii nikinga mojawapo ya ukimwi. Pakikatwa inasaidia kufanya ngozi ya "abdala kichwa wazi" kuwa sugu na kuto chaniki kiraisi, therefore virusi exchange inakuwa minimum.
 
Thread inahusu lawsuit.

Jee wakuu Kisoti na PlanckScale mngependa kupendekeza kwamba sheria ya Tanzania irekebishwe ili iwe lazima kwa wanaume kutahiriwa?
 
`In the future, he’s going to ask why his dad is one way and he’s different.’‘]


What would the kid be doing 'looking' at his dad?

It may be normal for other cultures where father and son take a pee together while having a conversation. It is a form of male bonding
icon11.png
. I don't see any wrong with that!
 
Thread inahusu lawsuit.

Jee wakuu Kisoti na PlanckScale mngependa kupendekeza kwamba sheria ya Tanzania irekebishwe ili iwe lazima kwa wanaume kutahiriwa?

I don't think sheria ni muhimu kwa hili swala, but they should make it as a public health campaign ili kuelimisha jamii. Nikama utumiaji wa condom...you don't have to use it, but you are highly encouraged to put it on.

Btw, a new study just came out showing AIDS is down 25% in Africa...
 
among the things that pleases me in America is the way the you can sue anyone for anything its sooo amazing...
 
nafikiri kisoti kabla hawajafanya wangeomba ridhaa kutoka kwa mama pia , inaonekana kama baba aliamua bila ya kumshirikisha ma-msapu, ilitokea kwa watoto wa brother wangu mke wake aliwapeleka vijana wawili akawafyeka wote bila ridhaa ya baba yao, aliporudi baba yao akakuta vijana wote wamevaa kanga huku wana vidonda katika sehemu zao nyeti, duh brother wangu chozi lilimtoka ka mtoto kwa kuona vijana wamefyekwa bila ya ridhaa yake.

Nakubaliana nawe kabisa Qulfayaqul kuwa ridhaa kutoka kwa wazazi/walezi ni muhimu kabla ya kufanya operesheni yoyote kwa mtoto iwe ndogo au kubwa. Na hapa tatizo ni kwamba mzazi/wazazi wote hawakushirikishwa na ndio sababu mama akapata mwanya wa kufungua kesi ya madai. In America any medical malpractice ni deal, watu wanatajirika kwa njia nyingi ndugu yangu. Inawezekana kabisa huyo mama hana tatizo lolote juu ya mtoto wake kuwa circumcised ila kwa sababu anaweza kupata pesa kwa gharama ya one's malpractise, akafungua kesi.
 
Thread inahusu lawsuit.

Jee wakuu Kisoti na PlanckScale mngependa kupendekeza kwamba sheria ya Tanzania irekebishwe ili iwe lazima kwa wanaume kutahiriwa?

Huyo mama hata kama mtoto wake angefanyiwa operesheni ya kuondoa mtoto wa jicho(cataract) bila ya ridhaa yake, bado angefungua mashitaka sio kwa sababu hataki mtoto wake aone vizuri lakini kwa sababu operesheni imefanyika bila ya ridhaa yake kama mzazi na hapo ndipo suala la sheria linaingia.
Kutahiriwa na kuto kutahiriwa ni suala la mtu binafsi, kinachotakiwa kama alivyosema PlankScale ni ku waelimisha watu umuhimu wa kutahiri kama njia mojawapo ya kujikinga na VVU nao ndio watakaofanya maamuzi on a voluntary basis.Hizi link hapa chini juu ya Male Circumcision and HIV Prevention zinaweza kuwa na msaada

http://www.who.int/hiv/pub/malecircumcision/meetingreport_14sep06.pdf
WHO | Male circumcision for HIV prevention publications
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom