St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
Nipeni namba ya huyo kidume kuna mama mtu mzima anasumbua sana hapa mtaani kwetu.
Hahahahahahahahahahahahaa Mkuu unataka kumuua mama wa watu?
Nipeni namba ya huyo kidume kuna mama mtu mzima anasumbua sana hapa mtaani kwetu.
Nenda kajifunze nini maana ya THANKS hapa JF halafu urudihawa jamaa waliokugongea thanks ni kwamba wamefurahia huyo mma alivyopata utamu akapitiliza au nini?
Halafu ukijua itakusaidia niniHuyu Bwana na Bibi ni wa kabila gani vile?
Nimepata habari mbaya na za kusikitisha kuna mama mmoja amefia Rombo Green View maeneo ya Shekilango akiwa na hawala. Inasemekana mama huyo alikuwa hapo anavinjari na huyo hawala ambaye ni staff wa mme wake huko Mkwawa.
Mama alikuwa ni mtu mzima yaani mama wa makamu. Polisi wanamshikilia hawala kwa uchunguzi zaidi mwili wa marehemu hauna majeraha yoyote yale. Tukio limetokea week end hii.
Yawezekana mama alipata utamu mpaka akapitiliza na kulala fofofo na kushindwa kuamka.
naskia mama alikuwa na tatizo la low pressure,baada ya kupelekewa sana akazimia,jamaa akaona isiwe ishu akachukua maji na kumwagia kumbe ndo kamaliza kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,msiba uko obey kwa wakweze,anazikwa now kinondoni .
mweeeeh, kumbe ni balaa...mazishi ni sa ngapi na mimi nikamwage huyo aliyefia kazini?
Nimepata habari mbaya na za kusikitisha kuna mama mmoja amefia Rombo Green View maeneo ya Shekilango akiwa na hawala. Inasemekana mama huyo alikuwa hapo anavinjari na huyo hawala ambaye ni staff wa mme wake huko Mkwawa.
Mama alikuwa ni mtu mzima yaani mama wa makamu. Polisi wanamshikilia hawala kwa uchunguzi zaidi mwili wa marehemu hauna majeraha yoyote yale. Tukio limetokea week end hii.
Yawezekana mama alipata utamu mpaka akapitiliza na kulala fofofo na kushindwa kuamka.
mweeeeh, kumbe ni balaa...mazishi ni sa ngapi na mimi nikamwage huyo aliyefia kazini?[/QUOTE]
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa HII NDIO JAMII FOROUMS niko hapa nina mawazo tele ila mpaka nimecheka
sasa yeye mpaka anakamtwa alikuwa ansubiri nini? ukishaona hivyo unasepa...inatakiwa polis wakutafute na hapo ndio watakuwa na wao wamejisikia kuwa wamefanya kazi siyo wakukamate kama kuku....huo ni ujinga...
Hii ni noma mkuu, nimeipata asubuhi hii WAPO radio. Jamaa anaitwa Christopher Mabere ni IT Mkwawa Colledge Iringa Mwanamke alikua anasoma chuo cha Diplomasia, Mume wa marehemu ni mwalimu Mkwawa Iringa. Bw Mabere alikuja Dar kwa shughuli za kikazi (IT) UDSM
Huyo kijana sijui alimfanya nini mama wa makamu,lol! apumzike panapostahili
IT huyo alikuwa anamfundisha mamas computer nini. Chunga walimu hao na maexpart wana mambo yao habari ndio hiyo.