Kwa mwendo huu kabla ya uchaguzi ujao Mrema atakua ametangaza kurudi CCM. Sasa neno linatimia kwamba viongozi wengi wa upizani ni wakala wa CCM wa kuteka watu wenye mawazo tofauti na kuwachanganya wakati wa uchaguzi. We TLP unaenda kuongelea mambo ya kukigawa chama cha mapinduzi wapi na wapi? Loh!!!