Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Last edited by a moderator:
@King Kong III Malori ya uhakika hayooo bongo yapo hayoo?Du malori ya ukwenhe..
Songíto;3784215 said:
Songíto;3784215 said:
ni kweli mkuu mana yao yanachagua barabara.... kwenye barabara zetu wikli mbili tu unapaki hilo gari, yetu hayo hata mlima kilimanjaro yanapanda tu!! ziwe barabara za namtumbo, ludewa au nachingwea yetu yanamudu tu.....Hilo linaitwa Kia dume mkuu MM,ukileta ya kwako yatachoka mapema na kuliacha letu liko palepale.
Songíto;3784215 said:
Songíto;3784215 said:
Songíto;3784215 said:
@songito Mbona Lori lenyewe limechoka namna hiyo? Hili ni lori la Ufisadi.Songíto;3784215 said:
Hizi ndizo wanazotumia walimu kwenda kusimamia mitihani!
Safi sana....tehetehetehe....nimelipenda sana hili!
@songito Mbona Lori lenyewe limechoka namna hiyo? Hili ni lori la Ufisadi.
@Young_Master Kwanini yaishie mitaroni? kwani hakuna njia ya kuyaendesha hayo Malori?Sasa haya yakija Tanzania si yataishia kuangukia mtaroni tu.
Afu ni la shule moja ya sekondariSongíto;3784215 said:
Hili limebeba wanacha wa Chadema,, si mmemuona huyo bwana huko juu alama anayoonesha?mambo yote hapa