Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wapendwa kuna habari zimetufikia kuna malori zaidi ya 18 yamekamatwa huko mpakani na rwanda kwa kuchanganya petrol /diesel na mafuta,..mbaya zaidi kati ya madereva wa malori 18 ni 4 waliobaki wengine baada ya sample kuchukuliwa wakachapa lapa,..wapendwa hii ni habari mbaya na zaidi hata wanyarwanda awatatuamini tena kwa hili...anyway tusubiri zaidi