NAOMBA USHAURI WA KISHERIA,walimu jijini Mwanza waliokua masomoni wananyanyaswa kwa kutolipwa stahiki zao,,mkurugenzi anadai kua walijikommit kujilipia wakati mkurugenzi huyohuyo alishawalipia sehemu ya ada je,kwakufanya hivyo akuuvunja mkataba wa awali??
PILI,katika uhakiki aliwaruhusu wahakiki wakiwemo internal auditors wakahakiki madai hayo na kuyapitisha kama yalivyo pia na kuyaombea ela hazina na ela zilipokuja wakashikilia msimamo kua mlijikommite. hiii ni haki?
TATU,malipo yalitakiwa yalipwe kama yalivyohakikiwa lakini wao wameunda uhakii mwingine tofauti na kauli ya serikali kua uhakiki ni mmoja na malipo yafanyike before 15 th january,
NNE,walimu hawa kulingana na standing order walitakiwa walipiwe lakini hapa jijini Mwanza hawana huo utaratibu wa kuwalipia walimu kwani kila mwalimu ushinikizwa kujilipia mwenyewe la sivyo NO RUHUSA,
TUFANYE NINI??DOCMENT ZOOTE TUNAZO
PILI,katika uhakiki aliwaruhusu wahakiki wakiwemo internal auditors wakahakiki madai hayo na kuyapitisha kama yalivyo pia na kuyaombea ela hazina na ela zilipokuja wakashikilia msimamo kua mlijikommite. hiii ni haki?
TATU,malipo yalitakiwa yalipwe kama yalivyohakikiwa lakini wao wameunda uhakii mwingine tofauti na kauli ya serikali kua uhakiki ni mmoja na malipo yafanyike before 15 th january,
NNE,walimu hawa kulingana na standing order walitakiwa walipiwe lakini hapa jijini Mwanza hawana huo utaratibu wa kuwalipia walimu kwani kila mwalimu ushinikizwa kujilipia mwenyewe la sivyo NO RUHUSA,
TUFANYE NINI??DOCMENT ZOOTE TUNAZO