Malipo ya sensa

Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.

jamani mbona ela ni nyingi sana,mbona amna huruma na nchi yenu,laki saba naa kwa kichwa kimoja,je nchi nza kuna wasimamizi na makarani wangapi,na nyie mnakubali kupokea tu amna ata uchungu,mmekaa tu kulalamika na posho,za wabunge, pamoja na posho za viongozi wengine hili la,kwenu mbona mnakaa kimya,??nyie wa wapi?
 
Ndg yng Mcheza Karate mbona nilikuPM nikaku2mia email hujanikumbuka kuni2mia barua hiyo mkuu!!Msaada wko plz.
 
Kuna kiongozi mmoja mwepesi kidogo kwenye halmashauri tanga kaniambia kuwa ukichaguliwa kwenye dodoso refu ni 650000 na ukichaguliwa kwenye dodoso fupi ni 550000,kuanzia semina siku6 na shughuli yemyewe.

Akili za kuambiwa, changanya na zako...

Hivi makarani ni 100 tu au? Ukiwa na akili angalau kidogo utagundua serikali hii ya kwetu haiwezi kuwalipa kiasi hicho cha fedha. Ngoja nikwambie kwa nini:

Kata ya Makuburi (Ubungo) ina mitaa mitano na makarani 250, sasa jenga picha kuwa wilaya ya kinondoni ina kata 19. 19 x 250 x 550,000 = 2,612,500,000

Sasa hiyo ni kuwalipa makarani tu, bado vifaa, usafiri na gharama zingine za usimamizi na hapo nimechukulia kiwango cha chini cha taarifa zako. Zidisha mara wilaya zote za nchi hii halafu utapata majibu.

Acheni kudanganyana, karani wa sensa analipwa 15,000 kwa siku
 
Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.

Illusions!

Kumbe appointments zimetoka eeh! Hebu kama mwanaume kweli weka scanned copy ya hiyo barua yako tuone
 
Without doubt the greatest injury....was done by basing morals on myth, for sooner or later myth is recognized for what it is, and disappears. Then morality loses the foundation on which it has been built.

Hebert Louis Samuel (1870 - 1963)
English Statesman and writer
 
Ivi izi nauli kuna ambao wanataka kuchakachua watu hawatoi
Sasa kwenye retirement kama haujawapa ela ya nauli iyo ela utasema imetumika kufanya nini!
Wizi wa kijinga sana huu kama kuna wahusika humu habari ndo iyo wapeni watu haki yao au kwa sababu ni walimu ndo mnataka kuwazika
 
Ivi izi nauli kuna ambao wanataka kuchakachua watu hawatoi
Sasa kwenye retirement kama haujawapa ela ya nauli iyo ela utasema imetumika kufanya nini!
Wizi wa kijinga sana huu kama kuna wahusika humu habari ndo iyo wapeni watu haki yao au kwa sababu ni walimu ndo mnataka kuwazika

walimu? Alokwambia kaz hii wanafanya walim pekee ni nani?
 
Akili za kuambiwa, changanya na zako...

Hivi makarani ni 100 tu au? Ukiwa na akili angalau kidogo utagundua serikali hii ya kwetu haiwezi kuwalipa kiasi hicho cha fedha. Ngoja nikwambie kwa nini:

Kata ya Makuburi (Ubungo) ina mitaa mitano na makarani 250, sasa jenga picha kuwa wilaya ya kinondoni ina kata 19. 19 x 250 x 550,000 = 2,612,500,000

Sasa hiyo ni kuwalipa makarani tu, bado vifaa, usafiri na gharama zingine za usimamizi na hapo nimechukulia kiwango cha chini cha taarifa zako. Zidisha mara wilaya zote za nchi hii halafu utapata majibu.

Acheni kudanganyana, karani wa sensa analipwa 15,000 kwa siku

we acha kujamba maputo na kujifanya unajua kila k2, kuna m2 hapa msimamiz na anapewa 65 thou per day!
 
jamani mbona ela ni nyingi sana,mbona amna huruma na nchi yenu,laki saba naa kwa kichwa kimoja,je nchi nza kuna wasimamizi na makarani wangapi,na nyie mnakubali kupokea tu amna ata uchungu,mmekaa tu kulalamika na posho,za wabunge, pamoja na posho za viongozi wengine hili la,kwenu mbona mnakaa kimya,??nyie wa wapi?

Ulitaka zipelekwe wapi? Waache wenzio japo wapunguze mahitaji Yao.
 
Kaka acha tupokee wengi waliopiga hii dili ni walimu na sisi tusio na ajira
jamani mbona ela ni nyingi sana,mbona amna huruma na nchi yenu,laki saba naa kwa kichwa kimoja,je nchi nza kuna wasimamizi na makarani wangapi,na nyie mnakubali kupokea tu amna ata uchungu,mmekaa tu kulalamika na posho,za wabunge, pamoja na posho za viongozi wengine hili la,kwenu mbona mnakaa kimya,??nyie wa wapi?
 
Jamani hili zoezi la sensa sioni kama litafanikiwa. Kwanza limeshakuwa deal. Kwakisingizio cha kwamba walimu walikuwa wamegoma, wamechukuliwa walimu wachache tu pamoja na vijana wa vijueni/mitaani. Wanapatikanaje, hakuna anayejua. Sitaki kusema mengi lakini muda sio mrefu serikali itaumbuka tu katika zoezi hili. Njoo kwenye semina ya madodoso ujionee vituko
 
Hali ngumu sana kwa makarani....twaweza kufa kwa njaa hakuna pesa kabisaaaa.serikali haijajiandaa vya kutosha..hizo bilion 140 sioni faida zake.
 
Back
Top Bottom