prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Hapa umeeleweka mkuu,upo kata ipi?
Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.