Malipo ya sensa kwa makarani ni sawa na kote?

joel amani

Senior Member
Nov 22, 2011
100
8
Huku Mbozi makarani kwenye semina ya siku saba wanalipwa 35 elfu kwa siku,sijajua siku za kazi ambazo itakuwa siku saba je tutalipwa sh ngapi kwa siku? Jumla ya fedha zote kuanzia semina mpaka kumaliza zoezi itakuwa sh ngapi? naomba anayefahamu anijuze mana nami ni karani
 
acha uvivu piga hesabu..ni hivi ..semina siku 7 @ siku sh 35000,...kusurvey kwenye EA yako siku 3 kabla ya sensa kila siku 35000,...zoezi lenyewe siku7 kwa siku sh. 35000,.....jumla 595000 hii ni kwa dodoso fupi....baada ya hapo jiandae kwa zoezi la vitambulisho vya taifa
 
huku mbozi makarani kwenye semina ya siku saba wanalipwa 35 elfu kwa siku,sijajua siku za kazi ambazo itakuwa siku saba je tutalipwa sh ngapi kwa siku? jumla ya fedha zote kuanzia semina mpaka kumaliza zoezi itakuwa sh ngapi? naomba anayefahamu anijuze mana nami ni karani

Tatizo lako nini? Wewe kula hela ya kodi zetu wafanyakazi.Mfano ukijua kuwa Dar Es Salaam wanalipwa laki kwa siku utafanya nini? Utagoma kupokea hizo 35k? Au unataka kutujulisha kuwa umepata ukarani wa sensa? Mimi na walimu wenzangu ujue inatuuma hivyo, ebo!!
 
acha uvivu piga hesabu..ni hivi ..semina siku 7 @ siku sh 35000,...kusurvey kwenye EA yako siku 3 kabla ya sensa kila siku 35000,...zoezi lenyewe siku7 kwa siku sh. 35000,.....jumla 595000 hii ni kwa dodoso fupi....baada ya hapo jiandae kwa zoezi la vitambulisho vya taifa
.
Hapo kwenye red sio sahihi, kazi hiyo haina malipo.
 
Kwani makarani watapewa tena uandikishaji wa vitambulisho vya taifa?
acha uvivu piga hesabu..ni hivi ..semina siku 7 @ siku sh 35000,...kusurvey kwenye EA yako siku 3 kabla ya sensa kila siku 35000,...zoezi lenyewe siku7 kwa siku sh. 35000,.....jumla 595000 hii ni kwa dodoso fupi....baada ya hapo jiandae kwa zoezi la vitambulisho vya taifa
 
Tatizo lako nini? Wewe kula hela ya kodi zetu wafanyakazi.Mfano ukijua kuwa Dar Es Salaam wanalipwa laki kwa siku utafanya nini? Utagoma kupokea hizo 35k? Au unataka kutujulisha kuwa umepata ukarani wa sensa? Mimi na walimu wenzangu ujue inatuuma hivyo, ebo!!

sasa kafanya kosa gani wewe kukosa hyo chance. Acha roho ya korosho
 
Mbona uandikishaji wa vyeti vya uraia hapa DSM tayari? Au uandikishaji unarudiwa?Pia huku Dar zile siku 3 za kusurvey na kujaza Dodoso la jamii hakuna malipo.Ambaye amelipwa atujuze.
 
Back
Top Bottom