CCM bana wataiingiza nchi yetu tuipendayo katika machafuko makubwa huko mbeleni. We wanadhulumu hata haki za wakulima maskini wa korosho!!! Mi nilidhani wanaiba za kodi zetu tu kumbe wanaiba hata haki ya msingi ya mkulima maskini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.