Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
- Thread starter
- #61
watanzania hawajui haki yao mimi nimegoma kulipia takribani miezi mitano sasa juzi juzi walinipigia kwa nini sijalipia, niliwaambia sina hela ya kuchezea na wakakata simu. Naamini kabisa wataeje dstv wakiamua kulazimisha bei ishuke inawezekana kabisa
Nimelipia mpaka tar...15/2/2012 ikiisha tu naachana nao kabisa. Ni bora kuonyesha mikanda ya lufufu mara mia kuliko kuendelea kufaidisha makaburu.