Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Zamani ilikuwa ukienda na totoz gesti au kwenye hizi hoteli za Sinza, walikuwa wanachaji kwa chumba.
Lakini siku hizi naona mtindo umebadilika. Wanachaji kwa kichwa.
Chumba cha 80,000 kwa mtu mmoja ukienda na totoz wanaweza hadi kukuchaji hadi laki na 20.
Inaboa sana.
Lakini siku hizi naona mtindo umebadilika. Wanachaji kwa kichwa.
Chumba cha 80,000 kwa mtu mmoja ukienda na totoz wanaweza hadi kukuchaji hadi laki na 20.
Inaboa sana.