Jamani enbu mwenye data atuambie ukiacha mshahara TRA hua wanatoa allowances gani kwa employees wake?
​Halafu unakuwa wa kwanza kuwa-ponda Wabunge...
inaonyesha unafanya kazi huko tra sasa unaona kama wanagusa mslahi yako ndiyo maana unajaribu kuficha ukweli.TRA Hakuna Allowances zozote zaidi ya mishahara tena haikidhi sikuizi inatofauti kidogo sana na ya watumishi wa kawaida wa serikali. watumishi wengi vijana hukimbilia taasisi zingine kutafuta ajira baada ya kupata uzoefu. Huo ndiyo ukweli wa mambo pia wamedhibitiwa sana hata rushwa hakuna siku hizi.
Hehe nice one. Huyu jamaa hapo juu mpotoshaji. Kuna sehemu shavu kuliko TRA?