Jamesh
Member
- Jul 15, 2008
- 31
- 2
Wana JF, kuna mtu yeyote anafahamu gharama za malipo ya gari (used) baada ya kufika bandarini. Mfano umeagiza used car kutoka Japan ikiwa imekwisha kulipiwa gharama za usafirishaji (freight cost) je kuna gharama gani (iwe ni kwa idadi ya pesa au asilimia) ambazo utatakiwa kulipia ili uweze kuanza kulitumia gari lako?
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaojitolea kunifahamisha.
Natanguliza shukrani za dhati kwa watakaojitolea kunifahamisha.