Mali za muluzi zakamatwa malawi:

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Taasisi ya kuzuia rushwa malawi ACB imekamata mali za aliekuwa RAIS WA MALAWI BAKILI MULUZI....kama dhamana katika kesi ya rushwa inayomkabili....hatua hiyo imechukuliwa wakati bado inaendelea na uchunguzi katika kesi hiyo ambayo muluzi anadaiwa kujiingizia zaidi ya doller million 11...,taasisi hiyo imesema wamkamata magari 44 kati ya 149 anayomiliki muluzi...na jumba alimokuwa anaishi lenye thamani ya mamilion ya fedha katika mji wa blantyre...vingine vilivyokamata ni jumba lake la biashara la KEZA OFFICE PARK...ambalo lilizinduliwa kwa mbwembwe za ajabu na aliekuwa rais wa tanzania FISADI BENJAMINI WILLIAM MKAPA..
na pia imesema imekamata account zake zote...afisa huyo amesema uchunguzi bado unaendelea kujiridhisha ili kuendelea kukamata mali zaidi...

Kwa taarifa hii Je kuna umuhimu wa kuwa na PCCB TANZANIA???
 
Taasisi ya kuzuia rushwa malawi ACB imekamata mali za aliekuwa RAIS WA MALAWI BAKILI MULUZI....kama dhamana katika kesi ya rushwa inayomkabili....hatua hiyo imechukuliwa wakati bado inaendelea na uchunguzi katika kesi hiyo ambayo muluzi anadaiwa kujiingizia zaidi ya doller million 11...,taasisi hiyo imesema wamkamata magari 44 kati ya 149 anayomiliki muluzi...na jumba alimokuwa anaishi lenye thamani ya mamilion ya fedha katika mji wa blantyre...vingine vilivyokamata ni jumba lake la biashara la KEZA OFFICE PARK...ambalo lilizinduliwa kwa mbwembwe za ajabu na aliekuwa rais wa tanzania FISADI BENJAMINI WILLIAM MKAPA..
na pia imesema imekamata account zake zote...afisa huyo amesema uchunguzi bado unaendelea kujiridhisha ili kuendelea kukamata mali zaidi...

Kwa taarifa hii Je kuna umuhimu wa kuwa na PCCB TANZANIA???

Mkuu Pdidy TAKUKURU ipo kwaajili ya kukamata rushwa ndogo ndogo zisizo na madhara makubwa kwa taifa.TAKUKURU sana sana itashughulika na watumishi wa serekali wa kada ya chini kama nesi wanaowadai shilingi elfu tano akina mama wanakwenda kujifungua.Mahakimu wa mahakama za mwanzo na askari polisi wa vyeo vya chini hawa jamaa wanao uwezo mkubwa wa kudeal nao lakini hawana uwezo wa kuwashughulikia maafisa waandamizi wa serekali.
 
Back
Top Bottom