Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujasoma maana ya rangi za bendera ya taifa darasa la tatu
acha 'ushamba' wako wewe, niambie mbona hakuna rangi nyeusi, blue hapo?!
yellow its for mineralsGreen = enviromental friendly, yellow/orange = ?
Uwezo wako wa kufikiria ndy huo! shabiki wa simba akiona hivo atasema wanapendelea YANGA!! teh teh
mimi nadhani wameweka hizo rangi kulingana na shughuli wanayofanya
kijani uoto wa asili unaotegemea kuukuta huko ngorongoro
njano inaonaoneshautajiri/mali asili zilizopo huko ngorongoro
Kazi ipo!
kwa hiyo mkuu ulitaka waweke rangi ambayo hakuna chama cha siasa inazitumie au vipi?unadhani ni kweli wamepaka rangi hii kwa sababu ni wana CCM?hizi ni siasa za kitoto.....