Malezi ya watoto wadogo yanaboa jamani, mweeeeeeee!

watoto raha sana yani wanakufanya kuwa so happy ingawa muda mwingine wana maudhi mpaka basi. nakumbuka mama yangu alikuwa anawasema wadogo zangu wangekuwa ni watoto wa ndugu yake angewarudisha kwa wazazi wao ila wadogo zangu wakienda tu shule kesho yake unamsikia duh nimewakumbuka watoto zangu tunabaki kucheka tu. ila watoto raha huwa tunawaita kwa jina la utani ''kibonzo''.
 
watoto raha sana yani wanakufanya kuwa so happy ingawa muda mwingine wana maudhi mpaka basi. nakumbuka mama yangu alikuwa anawasema wadogo zangu wangekuwa ni watoto wa ndugu yake angewarudisha kwa wazazi wao ila wadogo zangu wakienda tu shule kesho yake unamsikia duh nimewakumbuka watoto zangu tunabaki kucheka tu. ila watoto raha huwa tunawaita kwa jina la utani ''kibonzo''.

hapo kwenye bold: Una vituko weweeeee!
 
we ndyoko maneno gani hayo bhana? kama hukutaka hiyo wodi ya watoto ungeingia kwenye ule mlango wa nyota ya kijani, pia kumbuka nyoka hazai mjusi ndivyo ulivyonipa hasara ulipokuwa mdogo sasa unajidai eti umesahau. Atajifunzaje asipoharibu?
 
we ndyoko maneno gani hayo bhana? kama hukutaka hiyo wodi ya watoto ungeingia kwenye ule mlango wa nyota ya kijani, pia kumbuka nyoka hazai mjusi ndivyo ulivyonipa hasara ulipokuwa mdogo sasa unajidai eti umesahau. Atajifunzaje asipoharibu?

Kweli aisee, kuna baadhi ya mambo nayakumbuka, enzi zangu nilikuwa matata sana, na isitokee unitengenezee manati halafu uniudhi, ndo utajua kama hiyo manati ilikuwa kwa ajili ya ndege au watu! Naona ni kama mambo yana backfire madam!
 
Back
Top Bottom