Malezi ya leo

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,877
2,758
Jirani zangu wawili ambao ni vijana kiumri wana watoto wachanga/wadogo. Wa kwanza aliwahi kuzalishwa na mtoto alipoanza kutembea akampost mkoa kwa babu zake. Yeye anakula raha tu kwa ninavyomwona. Ndio kwanza anasoma ile stail ya 2 in 1 ya sec. Wa pili ni binti yuko chuo kikuu. Ana bwanaake wanaishi wote. Nae anasoma ila sijui wapi. Hawa mtoto wao alipofikisha miezi 3 walimpost kwa bibi hapahapa dar kwa kisingizio cha shule. Malezi ya hawa watoto yanakuwaje? Swali langu ni kuwa kuna ulazima wa kukimbilia kuzaa wakati mambo mengine yamekubana? Tulijadili hili
 
kila mtu ana system yake ya malezi na uzazi, kama walikaa chini na kuamua iwe hivyo na wenyewe wapo happy mimi sioni tatizo hata kidogo

kupanga ni kuchagua
 
Kwa nini wazae wengine walee wengine? Sidhani kama hao mabibi walipelekwa kwa mabibi zao wakiwa wadogo
 
Wana sababu zao binafsi hao jirani zako, na hamna haja ya kuzaa kama hujawa tayari kulea!..Mtoto kulea siyo kulelewa!!
 
Jirani zangu wawili ambao ni vijana kiumri wana watoto wachanga/wadogo. Wa kwanza aliwahi kuzalishwa na mtoto alipoanza kutembea akampost mkoa kwa babu zake. Yeye anakula raha tu kwa ninavyomwona. Ndio kwanza anasoma ile stail ya 2 in 1 ya sec. Wa pili ni binti yuko chuo kikuu. Ana bwanaake wanaishi wote. Nae anasoma ila sijui wapi. Hawa mtoto wao alipofikisha miezi 3 walimpost kwa bibi hapahapa dar kwa kisingizio cha shule. Malezi ya hawa watoto yanakuwaje? Swali langu ni kuwa kuna ulazima wa kukimbilia kuzaa wakati mambo mengine yamekubana? Tulijadili hili
...'insurance' tu hiyo. Hata mimi nilijiwahi na mapeema. Ya nini kusubiria umalize madarasa ilhali elimu haina mwisho? Hakikisha last born wako yupo chuo kikuu kabla hujastaafu, otherwise 'kiinua mgongo' hakitakutosha!
 
...'insurance' tu hiyo. Hata mimi nilijiwahi na mapeema. Ya nini kusubiria umalize madarasa ilhali elimu haina mwisho? Hakikisha last born wako yupo chuo kikuu kabla hujastaafu, otherwise 'kiinua mgongo' hakitakutosha!
nakubaliana kabisa na wewe kwenye sual la kuwahi, ila ndo mtoto wa 3 mon umpeleke kwa bibi yake!? i dont agree here!!!
 
ukiona hivi ujue ni mimba ambazo hazikutarajiwa.

Mimba zisizotarajiwa ndio mimba gani hizo? Kwa sababu kama mlikuwa hamtumii kinga au kama mwanamke hayuko kwenye kidonge na mwanaume hajafanyiwa vasectomy mlikuwa mnategemea nini? Heck, kwanza kuna baadhi ya wanawake ambao hupata mimba hata kama wako kwenye kidonge.

Mimba ambazo hazikutarajiwa ni zile ambazo labda mwanamke alibakwa. Zaidi ya hapo mtu unapojamiiana na mtu mwingine kwa hiari basi uwezekano wa mimba kutungwa na mambo mengine ambayo husababishwa na ngono ni mkubwa. Njia iliyo na uhakika angalau wa 99.9% kama hutaki mimba ni abstinence.

NB: Hivi kucheza na matoy - vibrator, dildo, vidole, n.k. nako kunahesabikia kama abstinence?
 
kila mtu ana system yake ya malezi na uzazi, kama walikaa chini na kuamua iwe hivyo na wenyewe wapo happy mimi sioni tatizo hata kidogo

kupanga ni kuchagua

Tatizo sio kuwa happy, tatizo ni kuwa sahihi. Hili ni tatizo, na malezi mabovu yana athari, sio kwa watoto wenyewe tu, bali kwa taifa pia.

Kwa kifupi, hiii haijakaa sawa. Ukizaa unalea, sio unalelewa.
 
mnh,
hata mie napenda watoto,
lakini nimeona dada yangu akilea wake..si kazi ndogo atii
ningependa kuzaa ila mtu akinihakikishia atanisaidia kulea...
hivi hivi sizai ng'oo...unaweza kufa kwa presha walahi!,
hao wanaopeleka kwa bibi waache wale starehe,
hata mie ningefanya hivyo,nile maisha...
nchi za watu hakuna wa kumpelekea mtoto wako..
unahangaikaaaaaaaaaaaaaaaa naye mwenyewe,!
basi tu kwanza mie mwanangu akiwa na mama yangu nitafeel yuko safe...na atapata malezi mazuri kuliko akiwa na housegirl/boy...
ni njia nzuri ya kumkuza mwanao i think...na sio kuepuka rensponsibility...
 
mnh,
hata mie napenda watoto,
lakini nimeona dada yangu akilea wake..si kazi ndogo atii
ningependa kuzaa ila mtu akinihakikishia atanisaidia kulea...
hivi hivi sizai ng'oo...unaweza kufa kwa presha walahi!,
hao wanaopeleka kwa bibi waache wale starehe,
hata mie ningefanya hivyo,nile maisha...
nchi za watu hakuna wa kumpelekea mtoto wako..
unahangaikaaaaaaaaaaaaaaaa naye mwenyewe,!
basi tu kwanza mie mwanangu akiwa na mama yangu nitafeel yuko safe...na atapata malezi mazuri kuliko akiwa na housegirl/boy...
ni njia nzuri ya kumkuza mwanao i think...na sio kuepuka rensponsibility...

Roselyne ndiyo maana idadi ya wanandoa wasiotaka watoto hasa katika dunia ya kwanza inazidi kuongezeka na nchi nyingine hadi kufikiria kuweka incentives za kuwalipa wana ndoa michuzi mikali ili waamue kuwa na watoto, lakini pamoja na hizo incentives bado birth rates ni ndogo sana.
 
Kazi ipo. Kitendo cha kusema uhakikishiwe malezi kwani wewe huwezi toa huduma? Upande mmoja ni wewe kuwa huru na kuwa na mtoto. Upande wa pili ni malezi ya mtoto husika. Kwa nini mwanao akuone mgeni kwake? Kuna raha gani mwanao akuite shangazi? Bado mapenzi ya mama na baba ni bora zaidi. Sio kuwa wazazi wako wanafurahia sana kuwa na mjukuu asie na mpangilio. Wanakustahi tu. NN kasema vyema ila ajue kuwa hata kwenye ridhaa ya ngono kuna bahati mbaya. Pia mkuu NN hizo vibrators na punyeto sio abstinance bali ni ngono mbadala
 
Roselyne ndiyo maana idadi ya wanandoa wasiotaka watoto hasa katika dunia ya kwanza inazidi kuongezeka na nchi nyingine hadi kufikiria kuweka incentives za kuwalipa wana ndoa michuzi mikali ili waamue kuwa na watoto, lakini pamoja na hizo incentives bado birth rates ni ndogo sana.

kweli kabisaa BAK,bado ukiweigh huto tubenefits ambavyo serikali itatoa...
havitacompensate sleep deprivation,depression,and hardwork inayoassociate na ulezi wa mtoto!
siwashangai wana-opt kutokuwa na mtoto jamani,
kuna vitu vingine havinunuliki na pesa atii...
mnh the way i love my bed,hata unipe shiling ngapi nikae macho siwezi mie :yawn::spy:
 
Kazi ipo. Kitendo cha kusema uhakikishiwe malezi kwani wewe huwezi toa huduma? Upande mmoja ni wewe kuwa huru na kuwa na mtoto. Upande wa pili ni malezi ya mtoto husika. Kwa nini mwanao akuone mgeni kwake? Kuna raha gani mwanao akuite shangazi? Bado mapenzi ya mama na baba ni bora zaidi. Sio kuwa wazazi wako wanafurahia sana kuwa na mjukuu asie na mpangilio. Wanakustahi tu. NN kasema vyema ila ajue kuwa hata kwenye ridhaa ya ngono kuna bahati mbaya. Pia mkuu NN hizo vibrators na punyeto sio abstinance bali ni ngono mbadala

dont be sooo naive,
its hard kwa dunia ya sasa kwa wazazi kulea watoto wao au kuwa nao 24/7
i mean utafanya kazi saa ngapi na kama ndio unasoma uzeeni,utasoma saa ngapi?
wengi tumelelewa na watu baki,housegirl wameplay part kubwa sana katika malezi yetu kama sio ndugu mama mdogo etc
katika watu wote,wanaofaa kuwa na mwanao,
bibi na babu still ndio best,watakuwa na uchungu na mwanao kushinda hao watu wengine...
 
kweli kabisaa BAK,bado ukiweigh huto tubenefits ambavyo serikali itatoa...
havitacompensate sleep deprivation,depression,and hardwork inayoassociate na ulezi wa mtoto!
siwashangai wana-opt kutokuwa na mtoto jamani,
kuna vitu vingine havinunuliki na pesa atii...
mnh the way i love my bed,hata unipe shiling ngapi nikae macho siwezi mie :yawn::spy:

Ni vizuri umeliona hilo mapema kuliko kuamua kuzaa tu na mtu ambaye unamuona kabisa kwamba hatakuwa na msaada wowote katika malezi ya mtoto/watoto na baadaye kuanza kujuta kwa makosa uliyoyafanya. Hawakukosea waliotunga methali, "kubeba mimba si kazi, kazi kulea."
 
dont be sooo naive,
its hard kwa dunia ya sasa kwa wazazi kulea watoto wao au kuwa nao 24/7
i mean utafanya kazi saa ngapi na kama ndio unasoma uzeeni,utasoma saa ngapi?
wengi tumelelewa na watu baki,housegirl wameplay part kubwa sana katika malezi yetu kama sio ndugu mama mdogo etc
katika watu wote,wanaofaa kuwa na mwanao,
bibi na babu still ndio best,watakuwa na uchungu na mwanao kushinda hao watu wengine...

sijakukatalia ila ndo umpelekee mtoto wa miezi mitatu? Subiri basi mtoto afikishe miaka 2 ndo ufanye mambo yako. Kukwepa malezi kisa majukumu ndio u naive
 
Ni vizuri umeliona hilo mapema kuliko kuamua kuzaa tu na mtu ambaye unamuona kabisa kwamba hatakuwa na msaada wowote katika malezi ya mtoto/watoto na baadaye kuanza kujuta kwa makosa uliyoyafanya. Hawakukosea waliotunga methali, "kubeba mimba si kazi, kazi kulea."

BAK hapo ndipo wengi wetu hatukumbukagi, tunajisahau kabisa na mtu anaona ni rahisi tu si ntabeba tumbo miezi tisa (kwamba kubeba mimba miezi tisa ndio kazi nzito) na baada ya hapo sina shida ntaweza tu kumlea mwanangu (hw damn wrong people are on this)
 
hao wanawake may be were too busy not taking contraceptions.....
 
Back
Top Bottom