Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
- Thread starter
- #41
Ila akiwa young MJ1 you are a bit safe... tegemea na the guy you get.... Unajua kaka/baba zetu wa ajabu saana, hivi hujagundua mara nyingi kua mwanaume akikupenda kwa dhati, anapenda the whole package, sometimes hata hajali kua una watoto hata kumi! lol... As long you are his... yeye ndo furaha yake, na siku moja moja hata atataka aspend time na wanao kidogo (yaani wala sio kwa kujifanisha bali kutaka...)
-Strange-
...hapo sasa, halafu eti baba mzazi anamkurupua ex-wife wake kwanini mtoto kaenda outing na 'uncle' wake!
Mke/mtoto ana kosa gani kuendelea na maisha yao?