Malezi...Step Parenting.

AshaDii rudi haraka nimekumiss sana na umalizie bana


Miss you too Rocky... Nimerudi na kipato....

Kipato....

Mbu kipato is a defination ya mafanikio ama kuanguka kwa mambo mengi katika maisha hasa katika mahusiano, Whether we like it or not!... Kipato kizuri kwa wahusika woote wawili hufanya hata kupokea a new step kid kua rahisi ukilinganisha na usipokua na kipato kizuri... Kipato kizuri chaweza kua beneficial huo step kid akiishi na wazazi ama hata kama kalelewa na Grand parents....

Kipato kizuri /kibaya na mtoto mgeni...

Mhusika mke/mume haoni kua huyo mtoto atakua kikwazo humo ndani hasa katika material needs za huyo mtoto... for they can provide anything; labda tu in rare cases ambazo wengine wana roho mbaya regardless ya hali zao nzuri kimaisha... Kuna mwingine ana nia nzuri kabisa ya kutaka mpokea step kid, lakini anaangailia je huyo mwenza wake mudu kumlea mwanae (kifedha)??, nafasi yao hapo nyumbani (mazingira) yanatosheleza?? Huyo mtoto ana age gani - yaani ni yule ambae anawachakachua umri - in the sense kua wawazungukao wakiona hao/huyo mtoto wanashangaa (maybe mtoto mkubwa mpaka hawalingani na mzazi wake)?? Hayo maswali yakiwa na majibu negative - then kweli kabisa ni kazi saana huyo mtoto kua accepted na huyo new step parent...
 

...Mwanajamii One na Asha Dii mmegusia la maana sana hapo kwenye Imani ya Dini.
Mr.Rocky,...hitilafu zinaweza zikawa iwapo mzazi unataka wanao waendelee kufuata Imani za
dini kama ulivyowalea kipindi upo na mkeo.

Mfano, kwenda kanisani/msikitini, kwenda mafundisho/madrassa, kufunga Mwezi Mtukufu, nk nk
lakini kwasababu zisizoweza zuilika, tangu mmeachana na Ex-spouse wako ameamua kwa makusudi/kutofuatilia
mafunzo ya kiimani ya watoto.
[Huo ni mfano tu.]

Hitilafu nyingine ya malezi inaweza kuwa,
ulimjengea mwanao mazingira ya kusoma na kucheza kwa nyakati maalumu.
Tangu mmeachana na mzazi mwenzio, maendeleo ya mtoto kielimu,
na kimichezo kumeshuka...

Je, na hili unaamin i ni sababu tosha kung'ang'ania upewe mtoto umlee mwenyewe?
Au kuna umuhimu wa wazazi kukaa chini kupanga muafaka wa malezi ya mtoto/watoto hao?
 
AshaDii mydia aksante kwa maelezo yako but naona leo akili yangu mh.....mengi yanazunguka humo. Nahisi kama sijakuelewa hapa kwenye dini, je unazungumzia sababu za kuachana au vipi maana kama mlishakubaliana tokea mwanzo wa mapenzi yenu na kisha mkajaaliwa m/watoto sioni dini itawaathiri vipi iwapo (samahani pengine nakosea) utahesabu kuwa watoto wanakuwa upande wa Baba??

MJ1 akili yako iko pouwa bana.... hapa nililenga kwa watoto ambao From one side ni wakristo and the other side ni waislam (hizo dini ni mfano mzuri for zimetawala hapa TZ) Alafu hao wazazi wakakutana na kuoana....

But hata upande wa wale ambao wazazi wa pande mbile wamesha oana ndio hii part imegusa hapo... (Hivo dhana ya kuachana sababu tu ya dini kwa kweli sio rahisi...)

However kwa wale ambao wanaoana dini tofauti athari ya malezi kwa mtoto naona sio mbaya saana but sometimes yaweza kua hata for the better… Yule mtoto anakua exposed to two sides of the religion i.e. Islam vs Christianity.. IMO naona kama mtoto anakua na exposure nzuri, na pia humuwekea busara Fulani ambayo imetokana na ile tolerance ya wazazi ya dini ya mtu mwingine na the like….
 
AshaDii hapo ndipo watu wanavyofanya kosa. Kama unajua kabisa una mtoto weka hilo wazi ili kukuweka wewe huru kumtembelea na kumpa huduma maana utakavyoficha ndo utengano kati yako na mtoto unapokuwa wa hali ya juu. Ni bora kuwa huru kuliko kuficha maana kuficha kwako ni kuwa mtoto unamweka katika wakati mgumu sana wa kutopata ukaribu wako kama mzazi haswa kwenye huduma na malezi


Ni rahisi in theory Rocky... wengine huanza mahusiano bila kujua kua mtafika mbali... mko katika mahusiano unasikia siku moja mpenzi wako anatamka mimi siwezi kubali kuoa/olewa na mtu mwenye mtoto... (huo ni mfano); Na mshapendana na kufanya mipango kibao, nitamwambia nitamwambia turns out mda umepita na mhusika anashindwa pa kuanzia.... Sad.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sidhani maana ni jukumu lake kuhakikisha kuwa mtoto wake anapata ile right ya kuwa mtoto ikiwepo matunzo na kila haki ya mtoto inayotakiwa. Asionyeshe ubaguzi wala upendeleo kati ya watoto wake waliozaliwa katika ndoa au ambao walizaliwa nje ya ndoa. Mtoto asione tofauti na hata mke anatakiwa kujua hilo kuwa ana mtoto wa nje na ambaye anahitahitaji huduma.
 
MJ1 akili yako iko pouwa bana.... hapa nililenga kwa watoto ambao From one side ni wakristo and the other side ni waislam (hizo dini ni mfano mzuri for zimetawala hapa TZ) Alafu hao wazazi wakakutana na kuoana.... <br />
<br />
But hata upande wa wale ambao wazazi wa pande mbile wamesha oana ndio hii part imegusa hapo... (Hivo dhana ya kuachana sababu tu ya dini kwa kweli sio rahisi...)
<br />
<br />
 

....umeuliza maswali ya maana sana.
Katika hili, nachukulia muda ndio suluhisho la haya yote.
Katika kosa kubwa wanalofanya wazazi wengi ni pamoja na kumtaka mtoto
aanze kumwita mzazi mpya Baba/Mama... nadhani hii inaletesha confusion fulani kwenye akili zao.


Mbu umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliwahinambia ....yeye hatojali kama mtoto wa Mpenzi wake atamwita Uncle............... mwanzoni sikumwelewa kwa kweli na kusema ukweli nilimchuulia kama anayetaka ku'jivua gamba' la ulezi mapema kabla hata hajaingia kwenye hayo mahusiano yake mapya. But nlipokujafikiria kiundani nilimwelewa. Concern yake kubwa iko kwenye 'kusafeguard 'interest' za mtoto kwa kutomkonfyuzi zaidi maana tayari anajiuliza why Mama na Baba wanaishi separate?; why naongea na baba/mama kwa simu tu na why pengine namwona mara moja kwa wiki au mwezi au miezi........sasa ukimwongezea na ....kuanzia sasa huyu ndo baba/mamako.unakuwa hauko fair kwake. NIMEMWELEWA SASA.




Jingine ni la Kumpa heshima yake stahili baba/mama mzazi wa mwanao wa kambo.
Hapo wengi bado wanafeli kwa vijisababu vya kijinga kabisa. Kuna wale wanaodhani wakimu entertain
Ex-spouse wa mke/mume eti anakaribisha janga la wawili hao kurudiana. Ndio utayasikia ya " 'si mmeshaachana nyie!'
ya nini kupigiana simu na yeye kujileta hapa?
"

Hahahaha Bwana we penye loophole jaribu kupaziba Mbu, do not take anything for granted bana. Si wanasemaga wazazi huwa ni rahisi kurudiana (hasa pale ambapo mmoja wao yungali ana hisia kwa mwenzake bana. HAlafu na wewe kama kweli unampenda current partner wako kwa nini umrushe roho?! ATAM/WAONA/VISIT M/WANAE KWAKE au KWINGINEKO ambako mie sipo. ...isipokuwa kwenye kesi ya Ugonjwa na nyinginezo kama hizo!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
As a Step parent all you can do is assist the parenting of the child bila ku-force chochote kile unless unaona mtoto anapotea..
  • Issue ya dini mwenza wako mwenye mtoto ndio atakuwa na first choice and all you can do ni kushauri na sio ku-force
  • Biological father/mother kama yupo na is a good father/mother kumkataza mtoto asimtembelee baba/mama yake itakuwa si busara lakini as before (mwenza wako mwenye mtoto atakuwa na first say ) and all you can do is assist na itadepend na busara za mwenza huyo cause kama ni druggie then inabidi akae mbali sana na mtoto
Kwa ufupi utafanya yote unayoona ni sahihi kwa malezi ya mtoto kwa kumshirikisha mwenza wako (giving her/him first say) na kama biological parent wake yupo na ana busara na mwenza wako anakubali ashirikishwe basi inabidi ashirikishwe...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mimi nadhani tatizo kubwa ni kuwa watu wanapotengana si wote maisha yanawanyookea. Ikiwa wote mmeweza kuendelea na maisha kwa maana ya ku pata right candidate na ku correct mistakes sidhani kama malezi ya watoto yatawaumiza kichwa. Tatizo kuna mmoja ana regret kwa nini ali divorce.

Tukija kwa watoto wakiwa wadogo sana hakuna shida, ila wakiwa na tayari na akili inaweza kuwa affect kisaikolojia kwa kukaa mbali na mzazi mmoja ambaye wao hawaoni kasoro yake bali mapenzi tu. Nilisoma moja ya vitabu vya Ben Carson alikuwa anasimulia jinsi alivyokuwa anashika mkia darasani kwa sababu ya wazazi kutengana na wao kuamia state ya watu black wasiopenda shule. Ni sad na confusing kwa sababu hata kama una solution sahihi you have to convice your ex who's now your enemy, sasa hapo sijuhi kama kuna discussion yeyote ya kujenga.
 
Sijakuelewa vizuri. Unataka kusema mwenza wako ambaye ni step mother/father ndiye awe kwanza kushirikishwa kwenye swala la mtoto asiye wake??? Mimi ni mmoja wa wamama ambaye I will die to have a say in raising up my kid labda kama sikumzaa.
As a Step parent all you can do is assist the parenting of the child bila ku-force chochote kile unless unaona mtoto anapotea..
  • Issue ya dini mwenza wako mwenye mtoto ndio atakuwa na first choice and all you can do ni kushauri na sio ku-force
  • Biological father/mother kama yupo na is a good father/mother kumkataza mtoto asimtembelee baba/mama yake itakuwa si busara lakini as before (mwenza wako mwenye mtoto atakuwa na first say ) and all you can do is assist na itadepend na busara za mwenza huyo cause kama ni druggie then inabidi akae mbali sana na mtoto
Kwa ufupi utafanya yote unayoona ni sahihi kwa malezi ya mtoto kwa kumshirikisha mwenza wako (giving her/him first say) na kama biological parent wake yupo na ana busara na mwenza wako anakubali ashirikishwe basi inabidi ashirikishwe...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu suala la dini ipi wafuate watoto ni issue sana. Ni imani gami uwalele watoto nayo ni issue sana. Ningependa ifikie kuwa watoto waachie uhuru wao wa kuchagua ni imani gani watafuata kwa ridhaa yao bila kuingiliwa na wazazi na hili lifikie wakati wakiwa wanajua ni nini wanataka kufanya na sio walazimishwe kufuata dini za wazazi
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...Maisha yanapelekea wengi wetu kujikuta tunaingia mahusiano mapya tayari tuna mtoto/watoto. Ili kuondoa ile hofu ya baba/mama wa kambo si sawa na 'mzazi'...Je? wazazi wapya (Step parent) tuna nafasi gani katika malezi na makuzi ya mtoto au watoto wa mume/mke?...

Utamlea na kumkuza unavyotaka wewe ukimhusisha mume/mkeo, au utamhusisha (biological) pia na mzazi wake?
Fikiria kwenye dhana ya mzazi wa kambo unavyoweza laumika/sifika kwa malezi ya mtoto/watoto hao.

gal_obama_family_3.jpg

Tafakari umuhimu wa visitation rights, baba/mama kumtembelea mtoto, au kumshinikiza mtoto aende likizo kwa baba/mamake.

Je, kipato, Imani ya dini, mila na desturi zina athari gani kwenye malezi ya mtoto/watoto hawa iwapo wazazi wanatofautiana dini, mila na desturi...?

Hapa inahitaji ushirikiano wa hali ya juu wa watoto hasa kama wana akili zao na wazazi husika. Watoto wengine hawana makuu hata pale mzazi wa kambo anataka kutoa discpline kutokana na kuvunja sheria za nyumbani pale, lakini watoto wengine huwa hawakubali asilani kuadhibiwa kwa namna moja au nyingine na mzazi wa kufikia akishatamka "you're not my father/mother" basi hapo uje huwezi kusikilizwa tena na inakuwa ngumu sana yule biological parent anapomuunga mkono na mguu mwanae kwamba wewe kama mzazi wa kufikia huna mamlaka yoyote ya kumpa adhabu ya aina yoyote mwanae pale anapokosea.

Pia chuki zilizojengeka kati ya Wazazi walioachana zinaweza kabisa kuchangia kuongeza ugumu wa malezi ya watoto hao hasa pale ambapo wanamuona mzazi mmoja ndiye mkosaji mpaka kufikia kwa ndoa kuvunjika.

Ni kazi mno kusema kweli lakini wengine wana bahati zao hupata watoto wenye tabia njema sana kama huwajui unaweza kudhani mzazi yule si wa kambo na hata Wazazi wengine pia huwapenda watoto wao wa kufikia kama vile ni watoto wao kabisa.
 

...Mwanajamii One na Asha Dii mmegusia la maana sana hapo kwenye Imani ya Dini.
Mr.Rocky,...hitilafu zinaweza zikawa iwapo mzazi unataka wanao waendelee kufuata Imani za
dini kama ulivyowalea kipindi upo na mkeo.

Mfano, kwenda kanisani/msikitini, kwenda mafundisho/madrassa, kufunga Mwezi Mtukufu, nk nk
lakini kwasababu zisizoweza zuilika, tangu mmeachana na Ex-spouse wako ameamua kwa makusudi/kutofuatilia
mafunzo ya kiimani ya watoto.
[Huo ni mfano tu.]

Hitilafu nyingine ya malezi inaweza kuwa,
ulimjengea mwanao mazingira ya kusoma na kucheza kwa nyakati maalumu.
Tangu mmeachana na mzazi mwenzio, maendeleo ya mtoto kielimu,
na kimichezo kumeshuka...

Je, na hili unaamin i ni sababu tosha kung'ang'ania upewe mtoto umlee mwenyewe?
Au kuna umuhimu wa wazazi kukaa chini kupanga muafaka wa malezi ya mtoto/watoto hao?

Aksante umeniamsha nadhani nilikuwa nimelala kidogo kiakili ndo maana nikawa nimeimiss point ya AshaDii.
MJ1 akili yako iko pouwa bana.... hapa nililenga kwa watoto ambao From one side ni wakristo and the other side ni waislam (hizo dini ni mfano mzuri for zimetawala hapa TZ) Alafu hao wazazi wakakutana na kuoana....

But hata upande wa wale ambao wazazi wa pande mbile wamesha oana ndio hii part imegusa hapo... (Hivo dhana ya kuachana sababu tu ya dini kwa kweli sio rahisi...)

AshaDii mamiii sasa nimekupata LOL shame on me (sijui kwa kuwa wangu ni mdogo hajafikia bado kwenye hizo changamoto za -niende dini gani) basi nikadhani am 'safe', So ni kama vile tuseme Ex wako ni dini tofauti na Spouse wa sasa; na kwa bahati m/watoto walifuata dini ya Ex wako; malezi hapa yanakuwaje mwe!! wawapikia watoto ftari wakati spouse analeta kitimoto nyumbani ?!!
 
Observation yangu mama mpya inakuaga ngumu sana kum accept mtoto ambaye si wake,but kina baba mara nyingi huwa so kind sijui kwanini.Mama wachache wanaweza kutoonyesha tofauti kati ya watoto wa kuwazaa na wakambo.But mtoto bado ana right ya kuona wazazi/mzazi wake hata kama separation ilikuwa ni ya ugomvi
 

Hitilafu nyingine ya malezi inaweza kuwa,
ulimjengea mwanao mazingira ya kusoma na kucheza kwa nyakati maalumu.
Tangu mmeachana na mzazi mwenzio, maendeleo ya mtoto kielimu,
na kimichezo kumeshuka...
Je, na hili unaamin i ni sababu tosha kung'ang'ania upewe mtoto umlee mwenyewe?
Au kuna umuhimu wa wazazi kukaa chini kupanga muafaka wa malezi ya mtoto/watoto hao?

Mbu hapo kwenye blue... (Sorry katika mada yako nimelenga saana anakoelekea mtoto kuliko kabla ya wazazi kuachana for shida kubwa iko hapo); Ni wazi kua wazazi wamepishana kufuatilia watoto na nafasi wachezayo katika maisha ya mtoto hata kama kipato ni sawa... Mie naona ni bora wahusika wanapoachana, sio wakomoane (Umenikumbusha Thread ya RR)... Kama you know kua mwenza wako is the best parent kati yenu, it is better toka ile ile mwanzo mnaachana mkubaliane kua huyo mtoto awe mikononi mwa best parent, huku yule mwingine nae akiwa karibu... For believe me you, kama alishindwa toka mwanzo, ina maana ndo alivo and it is in her/his nature kushindwa kufanya hivo....
 
Hapa inahitaji ushirikiano wa hali ya juu wa watoto hasa kama wana akili zao na wazazi husika. Watoto wengine hawana makuu hata pale mzazi wa kambo anataka kutoa discpline kutokana na kuvunja sheria za nyumbani pale, lakini watoto wengine huwa hawakubali asilani kuadhibiwa kwa namna moja au nyingine na mzazi wa kufikia akishatamka "you're not my father/mother" basi hapo uje huwezi kusikilizwa tena na inakuwa ngumu sana yule biological parent anapomuunga mkono na mguu mwanae kwamba wewe kama mzazi wa kufikia huna mamlaka yoyote ya kumpa adhabu ya aina yoyote mwanae pale anapokosea.

Pia chuki zilizojengeka kati ya Wazazi walioachana zinaweza kabisa kuchangia kuongeza ugumu wa malezi ya watoto hao hasa pale ambapo wanamuona mzazi mmoja ndiye mkosaji mpaka kufikia kwa ndoa kuvunjika.

Ni kazi mno kusema kweli lakini wengine wana bahati zao hupata watoto wenye tabia njema sana kama huwajui unaweza kudhani mzazi yule si wa kambo na hata Wazazi wengine pia huwapenda watoto wao wa kufikia kama vile ni watoto wao kabisa.

...dahhh, hapo penye wekundu ni pazito sana kiongozi. Wazazi wengine hufikia hata kutamka, "nitakurudisha kwa baba/mama yako!"
hiyo yote ni kukosa busara. Kama Mwj1 alipogusia suala la kumshawishi mtoto amuite vipi Baba au mama wa kambo, ipi ni busara katika hili?

Unapoanza kumjengea mtoto akili kwamba yeye ni wa 'kambo,' nadhani kidogokidogo unaanza kujenga resentments. Kwangu mimi huo mfano wa kumwita mtoto 'Uncle' ina workout vizuri zaidi, kwani unamuwekea mazingira ya kukuheshimu kama mlezi wake angali anatambua Baba yake Mzazi ana cheo chake mahsusi kwenye mahusiano yenu.

Aksante umeniamsha nadhani nilikuwa nimelala kidogo kiakili ndo maana nikawa nimeimiss point ya AshaDii.


AshaDii mamiii sasa nimekupata LOL shame on me (sijui kwa kuwa wangu ni mdogo hajafikia bado kwenye hizo changamoto za -niende dini gani) basi nikadhani am 'safe', So ni kama vile tuseme Ex wako ni dini tofauti na Spouse wa sasa; na kwa bahati m/watoto walifuata dini ya Ex wako; malezi hapa yanakuwaje mwe!! wawapikia watoto ftari wakati spouse analeta kitimoto nyumbani ?!!

Dahh, hii sasa nayo kali,...ndio yale yale mtoto aliondokea tabia nzuri tangu wakati wa malezi na baba yake/mama yake, halafu anakuja kutana na visa na mikasa ya malezi yasiyoeleweka kwa mzazi mpya. Naamini Watoto nao hutushangaa uchaguzi wetu wa mama/baba mpya.

Kazi ya ziada inahitajika kuji respect bana bila mzazi mpya kujishuku "analinganishwa!"
 
Sijakuelewa vizuri. Unataka kusema mwenza wako ambaye ni step mother/father ndiye awe kwanza kushirikishwa kwenye swala la mtoto asiye wake??? Mimi ni mmoja wa wamama ambaye I will die to have a say in raising up my kid labda kama sikumzaa.
Hujanielewa mimi nimesema mzazi biological parent ndio anafirst say wewe ambae mtoto sio wako all you can do is assist to the best of your capacity unless kama unaona kama anachofanya kitakuwa na madhara kwa mtoto

Duh imebidi niisome post yangu mara ya pili nione kama sikueleweka..., mhh naomba uisome tena am sure you will agree with what am saying... (laters kidogo ngoja nikaone ile chenji yetu ambayo allegedly imekwapuliwa imefikia wapi)
 
AshaDii mamiii sasa nimekupata LOL shame on me (sijui kwa kuwa wangu ni mdogo hajafikia bado kwenye hizo changamoto za -niende dini gani) basi nikadhani am 'safe', So ni kama vile tuseme Ex wako ni dini tofauti na Spouse wa sasa; na kwa bahati m/watoto walifuata dini ya Ex wako; malezi hapa yanakuwaje mwe!! wawapikia watoto ftari wakati spouse analeta kitimoto nyumbani ?!!

Ila akiwa young MJ1 you are a bit safe... tegemea na the guy you get.... Unajua kaka/baba zetu wa ajabu saana, hivi hujagundua mara nyingi kua mwanaume akikupenda kwa dhati, anapenda the whole package, sometimes hata hajali kua una watoto hata kumi! lol... As long you are his... yeye ndo furaha yake, na siku moja moja hata atataka aspend time na wanao kidogo (yaani wala sio kwa kujifanisha bali kutaka...)

-Strange-
 
...dahhh, hapo penye wekundu ni pazito sana kiongozi. Wazazi wengine hufikia hata kutamka, "nitakurudisha kwa baba/mama yako!"
hiyo yote ni kukosa busara. Kama Mwj1 alipogusia suala la kumshawishi mtoto amuite vipi Baba au mama wa kambo, ipi ni busara katika hili?

Unapoanza kumjengea mtoto akili kwamba yeye ni wa 'kambo,' nadhani kidogokidogo unaanza kujenga resentments. Kwangu mimi huo mfano wa kumwita mtoto 'Uncle' ina workout vizuri zaidi, kwani unamuwekea mazingira ya kukuheshimu kama mlezi wake angali anatambua Baba yake Mzazi ana cheo chake mahsusi kwenye mahusiano yenu.

Mkuu pamoja na busara za Mzazi wa kufikia lakini inafikia wakati inabidi unyooshe mikono juu tu na kukubali kushindwa baada ya juhudi zako zote kugonga ukuta. Namfahamu binti mmoja ambaye tangu udogo nadhani alikuwa 4 or 5 years alikataa kumuita Baba yake wa kufikia "Baba" bali alikuwa anamuita "uncle" na hadi hii leo ndiyo anavyomuita hivyo. Haina ubaya kuitwa "uncle" au "Aunt" kama huyo mzazi wa kufikia haoni tatizo kuitwa hivyo, wengine huona tatizo kama haitwi mama au baba. Kwa maoni yangu inapendeza zaidi mzazi wa kufikia kuitwa baba/mama.
 
Mbu hapo kwenye blue... (Sorry katika mada yako nimelenga saana anakoelekea mtoto kuliko kabla ya wazazi kuachana for shida kubwa iko hapo); Ni wazi kua wazazi wamepishana kufuatilia watoto na nafasi wachezayo katika maisha ya mtoto hata kama kipato ni sawa... Mie naona ni bora wahusika wanapoachana, sio wakomoane (Umenikumbusha Thread ya RR)... Kama you know kua mwenza wako is the best parent kati yenu, it is better toka ile ile mwanzo mnaachana mkubaliane kua huyo mtoto awe mikononi mwa best parent, huku yule mwingine nae akiwa karibu... For believe me you, kama alishindwa toka mwanzo, ina maana ndo alivo and it is in her/his nature kushindwa kufanya hivo....

Umeiweka vyema AshaDii, nashukuru.

Katika picha za hapo juu, nadhani wachache watakuwa wamegundua hiyo ya Barack Obama na wazazi wake. Indonesian Dad, American Mum, na dadake. Nitafanya jitihada kutafuta na kusoma kitabu kinachoelezea maisha yake bwana huyu. Yeye ni mfano mzuri wa hii mada, unajua kwanini?

Namfikiria huyu bwana Kuanzia Baba Muafrika, mama Mmarekani Mkristo, dada Indonesian American, amekulia Hawaii, Indonesia, na sasa ni American 1st Black president. Kuna kitu kilichompa 'uti wa mgongo' wa achievements zake. Kuna kitu kilimzuia na kuondoa prejudices maishani mwake.
Tofauti na sisi tulio sensitive hata kwa kuambiwa wewe mweusi...wewe dini fulani, nk...

Tukirudi kwenye mada. Kwa mtazamo wangu, namini malezi ya "mtoto wa mke wangu" yatahitaji ushirikishwaji wa baba yake haswa kwenye maamuzi ya msingi kabisa ambayo najua yanaweza kuathiri maisha ya mtoto mbele ya safari hata kama mama mtu atapinga. Mnakubaliana na hili au mnanishauri tofauti?
 
Back
Top Bottom