Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
I see, wake za watu wengi wanasoma ni watu wazima, hawana uwezo darasani, kwa hiyo wanaamua kutumia strategy ya kutembea na malecturer ili angalau wapate marks za nyongeza. NI kweli wake za watu wanatufunwa kushinda hata hao wasio wake za watu, na tatizo ni kwamba wanajipeleka wenyewe. Lakini kunambia kwamba eti lecturer anakusapisha au kukucarisha kisa umemnyima ngono, hilo sikubaliani kabisa. Otherwise unambie huyo mwanamke ni zezeta wa kutupwa. Kitu rahisi kama hicho anashindwa nini kumtega huyo lecturer? Hawezi kumwomba namba ya simu halafu aendeleza hayo mawasiliano ya kuomba ngono kwa njia ya sms? Au hawezi kutafuta digital recorder au hata akatumia simu kurecord mazungumzo na kuyapeleka utawala. Kulingana na sheria za chuo, kosa kama hili likithibitika tu, huwa hakuna mjadala. Ni off you go. Uwe ni professor au mtu mhimu namna gani, unaondoka. Huyo anayeleta story hizi bila shaka na yeye anapenda hako kamchezo. Not otherwise.Yaan mkuu hii ni live bila chenga, tena wake za watu ndo wanavua kabisa wanavua hadi pete za ndoa ili ..........