Taz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 304
- 158
Nani kasema nimekerwa na picha za warembo na kuridhika na picha za wanasiasa? Mbona unapenda sana kutafsiri maneno yangu? Nimesema niliona hizo picha, sijasema kama zimenikera.1. Kwanza hakuna pahali popote nilipoomba maoni kuhusu blog, nilichosema ni kwamba blog ni mpya ipo kwenye matengenezo haijaisha, lakini kwa mawazo yako ukaona kwamba hata kama blog haijaisha lazima iwe na misimamo yangu ya siasa! ha! ha! ha! mis-communicatiion!
2. Unasema umeona picha zangu na wanasiasa na pia na warembo, za warembo zimekukera maana zinaonyesha kwamba nipo karibu na warembo, lakini hukukerwa na picha na viongozi, kwa maana ya kwamba unataka ile blog lazima iwe ya siasa, meaning kwamba huna uwezo wa kuwa objective wala kuuliza, ndio wanaita kudandia treni kwa mbele, maana hujui wala huna uhakika, lakini tayari una conclusion!
I mean nimeshindwa kumaliza post yako bro!
William.
Kama hujaelewa nilisema hivi: As a politician (as you descibe your profession) I did not see your political views. Instead, I saw your pictures with political leaders and other person (mostly female). I also mentioned that kuwepo kwa picha hizo, bila kuweka political views zaku kunaifanya blog yako kuonekana kua ki-PIMP zaidi kuliko kuonekana politician.
Kama hukutaka watu watoe maoni kuhusu blog yako sababu bado hujamaliza kiujenga (I wonder unajenga nini wakati it is a template) kwa nini basi ulitupa link tukatizame?
The first pages of your blog zimeonesha trend ya content we can expect. Asante kwa kusoma post yote, na kupigilia mistari hadi nukta ya mwisho. usiku mwema.
Bado tupo kwenye majaribisho, matenegenezo bado yanaendelea kwa sasa tupo kwenye 80%, karibuni sana tutakamilika ninaomba uvumilivu tu kidogo.
William J. Malecela.
Posted by Malecela WJ Blog at 9:31 AM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook