Malecela's politics & social interaction in fb, twitter: A strategy towards political career?

- Ha! ha! ha! ha! Great Thinker bwana unanivunja mbavu sana, yaani unataka nivae gwanda level ya nyumba kumi kumi? ha! ha! ha! ha!

- HUKU BONGO USIKU SAA IZI, USIKU MWEMA SANA MKUU WANGU!

William.

Mkuu wa kazi aka Le Mutuz siasa wewe huiwezi kwasababu una upeo mdogo sana wa kufikiri kama sio uvivu wa kufikiri.Huwa hujiamini kwa kile unachofanya hata siku moja,ungekuwa unajiamini usingetoa post na pics kwa wall yako ya fb kipindi cha mchakato wa kugombea uwakilishi kwenye bunge la Afrika mashariki.Jipange kamanda safari yako bado ni ndefu sana.

Ungekuwa unasoma alama za nyakati kipindi hichi ungekaa sana karibu na baba yako akupe mbini za kushinda/kukabiliana na baadhi ya wanafiki wa magamba, kwani hata yeye na unguli wake kwenye medani ya siasa walimuadhibu.Ila kama hujaamua kubadilisha maisha yako ya kuigiza hata hizo pesa kidogo ulizozichanga kipindi hicho unazunguka 90% ya dunia (kama unavyojitapa kila kukicha) zitaisha na watakutungia nyimbo kama Mac Muga.

Binadamu huwa anatabia ya kuunganisha matukio pindi anapotaka kumtafutia makosa adui/mpinzani/mshindani wake.Jifunze zaidi kuliko kujiona unajua mengi,kwa exposure unayojigamba nayo ,wewe sio mtu wa kufungua blog na kuanza kuwasifu kina Sinta/Jokete.Kuna mambo mengi sana ambayo unaweza ukatufundisha kwa njia ya blog ikiwa ni pamoja na kutoa burudani lakini si kwa hicho unachokifanya.Ukweli ni kwamba wewe maisha yako halisi huwezi yaacha,hivyo endelea na ndoto zako ulizokuwa nazo tokea utotoni acha kupoteza muda kunye mambo ambayo ni magumu kulingana na upeo wako hususani Siasa.

 
Hawa wanawake anaopiga nao mapicha ndio wataomualibia lakini hajui tu, yeye kila mwanamke anasema my best friend.
super.JPG


Kweli huyu ndio mtu anayetaka awekwe kwenye kundi moja na watu kama Zitto Kabwe,J. Makamba,John Mnyika,Deo Filikunjombe,Beno Malisa,Kafulila,Julias Mtatiro...nk .
Hapa hakuna mtu ,Mb Mr II ni msanii na msela ila huyu jamaa huku ameteleza kama sio kuanguka
 
Waungwana wengi wamejaribu kumpa darasa William J. Malecela, lakini haambiliki. Anavyofikiri yeye ndivyo anavyoona inafaa. Ujue hapa JF unabishana na watu usiowajua na huenda wakawa dada zako, wazazi wako, wakuu wako unaotazamia wakuone kama unafaa kukabidhiwa jukumu kwa manufaa ya taifa. Inatosha nilivyokuambia, unaakiwa kuwa mtu wa critical thinking.
 
View attachment 54325


Kweli huyu ndio mtu anayetaka awekwe kwenye kundi moja na watu kama Zitto Kabwe,J. Makamba,John Mnyika,Deo Filikunjombe,Beno Malisa,Kafulila,Julias Mtatiro...nk .
Hapa hakuna mtu ,Mb Mr II ni msanii na msela ila huyu jamaa huku ameteleza kama sio kuanguka

Ukweli hujieleza, na ukiamua kuingia kwenye siasa siku hizi siasa ni za mfumo wa kisayansi ya jamii. Kwa mtazamo wangu hapa Le - Mutuz amejitangaza alivyo na tumpokee alivyo.
 
Ukweli hujieleza, na ukiamua kuingia kwenye siasa siku hizi siasa ni za mfumo wa kisayansi ya jamii. Kwa mtazamo wangu hapa Le - Mutuz amejitangaza alivyo na tumpokee alivyo.
Kwa hiyo asiambiwe pale inapo onekana amekosea? Hivi kwa nini asiweke picha zake na hao watu wa vijijini anao enda kuwapa moyo na kuwaeleza kua maisha ni kupambana? kwa nini asiweke hotuba anazo tumia kwa kuwapa matumaini ili tuweze kupata hope na sisi hapa tulipo? Kuweka picha ya wanawake (indecently dressed for local standards) kunamsaidiaje? Au sio politician? tujue moja basi, lengo la blog ni kujijengea umaharufu kwa kupitia njia yoyote, zaidi kwa kupose na wanawake and/or ma 'celeb' (U-Turn strategy) au ni blog ya kusambaza political beliefs?
 
[h=6]William J. Malecela
[/h][h=6]‎@ WILLIAM'S EXPERIENCE: MATOKEO YA MAJARIBIO YA OUR NEW BLOG, HIZI NI SAMPLES; PICHA ZA WANAWAKE KILA MMOJA IMEANGALIWA NA WATU 500; PICHA NA HABARI ZA SIASA ZIMEANGALIWA NA WATU 10 TU!
- Now naomba kuelewa vizuri, what does this says kuhusu oue society? Kule Jamiiforums nimeona kilio cha kwanini nimeweka pics za Dada zetu, MFUMO DUME KUMBE BADO AT WORK,; HOWEVER;- my ques!tion is nani anayeangalia pics za kina dada zetu? Ni kina dada tu? ha! ha! ha! ha! MATATIZO YA SOCIETY YETU SIO UONGOZI WA SIASA TU NI MORE THAN THAT, SOCIETY NZIMA TUNAHITAJI KUJIREKEBISHA, NDIO TUTAPATA VIONGOZI SAFI! - Willie![/h]Like · · about an hour ago ·
 
Kwa hiyo asiambiwe pale inapo onekana amekosea? Hivi kwa nini asiweke picha zake na hao watu wa vijijini anao enda kuwapa moyo na kuwaeleza kua maisha ni kupambana? kwa nini asiweke hotuba anazo tumia kwa kuwapa matumaini ili tuweze kupata hope na sisi hapa tulipo? Kuweka picha ya wanawake (indecently dressed for local standards) kunamsaidiaje? Au sio politician? tujue moja basi, lengo la blog ni kujijengea umaharufu kwa kupitia njia yoyote, zaidi kwa kupose na wanawake and/or ma 'celeb' (U-Turn strategy) au ni blog ya kusambaza political beliefs?

Mwenzangu unashangaa nini tena? Hayo unayaona wewe, na William J. Malecela ameona cha muhimu kujitangaza katika ulimwengu wa siasa ni kujianika na vimwana, ndo maana nimesema tumpokee alivyo, kilichobaki chuja mwenyewe namaanisha nini.

Ujue ndivyo anavyokusudia kutangaza sera zake za kujimwaga na vimwana awapo jimboni kwake, au atasahau jimbo na kujimwaga na vimwana mijini. Wapiga kura watachuja wenyewe.

 


Mkuu wa kazi aka Le Mutuz siasa wewe huiwezi kwasababu una upeo mdogo sana wa kufikiri kama sio uvivu wa kufikiri.
Huwa hujiamini kwa kile unachofanya hata siku moja,ungekuwa unajiamini usingetoa post na pics kwa wall yako ya fb kipindi cha mchakato wa kugombea uwakilishi kwenye bunge la Afrika mashariki.Jipange kamanda safari yako bado ni ndefu sana.

Ungekuwa unasoma alama za nyakati kipindi hichi ungekaa sana karibu na baba yako akupe mbini za kushinda/kukabiliana na baadhi ya wanafiki wa magamba, kwani hata yeye na unguli wake kwenye medani ya siasa walimuadhibu.Ila kama hujaamua kubadilisha maisha yako ya kuigiza hata hizo pesa kidogo ulizozichanga kipindi hicho unazunguka 90% ya dunia (kama unavyojitapa kila kukicha) zitaisha na watakutungia nyimbo kama Mac Muga.

Binadamu huwa anatabia ya kuunganisha matukio pindi wanapotaka kumtafutia makosa adui/mpinzani/mshindani wake.
Jifunze zaidi kuliko kujiona unajua mengi,kwa exposure unayojigamba nayo ,wewe sio mtu wa kufungua blog na kuanza kuwasifu kina Sinta/Jokete.Kuna mambo mengi sana ambayo unaweza ukatufundisha kwa njia ya blog ikiwa ni pamoja na kutoa burudani lakini si kwa hicho unachokifanya.Ukweli ni kwamba wewe maisha yako halisi huwezi yaacha,hivyo endelea na ndoto zako ulizokuwa nazo tokea utotoni acha kupoteza muda kunye mambo ambayo ni magumu kulingana na upeo wako hususani Siasa.



- Mkuu sana unaziidi kunivunja mbavu sana! ha! ha! ha!, KWANZA NAOMBA NIKUHAKIKISHIE KWAMBA SINA MPANGO WA KUJIUNGA NA CHADEMA, NEVER!; HOWEVER;- NITAKUJIBU KAMA IFUTAVYO;-

1. KUJIAMNI:- Brother, ukweli ni kwamba hunijui wala huna idea who I am, nilizaliwa na FULL CONFIDENCE 100% on that one sihitaji kabisa ushauri wako wala wa mtu yoyote, just keep it to yourself wewe unataka kunifundisha kuwa low self-esteem, ni FULL CONFIDENCE in myself ndiyo iliyonipeleka kwenye ubaharia bila kuepelekwa na mtu, wala serikali. Sio Facebook wala JF, zinazochagua Viongozi wa taifa au wa siasa, naona na hujui sababu ya Facebook, ni kwa ajili ya matukio ya Social life ya members, sio siasa tu kila kukicha. Safari yangu ya maisha ilikuwa ngumu mwanzoni sio sasa, baada ya kuishi baharini na ugahibuni kwa muda wote nilioishi kule, kufanya kazi masaa 18 kila siku na kuamka saa nane za usiku kwenda job kila siku kwa miaka 30.

2. SAFARI YANGU YA SIASA: Haiwezekani mtu asiyejua siasa akawakosesha usingizi hapa namna hii, fumbo unafumbia mjinga, ninaijua siasa ndio maana ninawakosesha usingizi na for sure sina MPANGO WA KUJIUNGA NA CHADEMA NEVER!

3. BABA YANGU; Hayo yako ni mawazo mufilisi na ni simply FOOLISH, eti nikae na baba yangu kujifunza siasa? Are you kidding me or what? Wewe ndio manaishi kwa kutegemnea baba unataka na mimi nimtegemeee baba, yaani wewe Great Thinker unataka nifuate huu ushauri bogus hivi? Damn!

4. MY BLOG: Ile blog ipo kwenye matengenezo haijaisha, nimekwua kwenye blogs for years, ninajaribisha samples za what is good as a product, sasa tizama the shock: PICHA ZA KINADADA ZIMEANGALIWA NA WATU 500 EACH; HABARI ZA SIASA WATU 10 TU EACH, ZINGINE HAZIKUGUSWA KABISA, PICHA ZA WANASIASA WATU 5 TU,

- Now what are you telling me bro kama sio nonsense!, ha! ha! ni nani hao wananchi 500? I mean maneno yako makubwa na ya bluu kupata attention lakini ni pure nonsense, please keep huo ushauri wako siuhitaji kabisaa! Wewe unataka niwe mjinga, wewe umejuaje kule kuna Jokate na Sintah? Wewe ni mnafiki mkubwa sana, please sihitaji ushauri wako maana ni simply FOOLISH!, Nimeshindwa hata kumaliza post yako cause ni simply waste!

- MUCH RESPECT BRO!

William.
 
Waungwana wengi wamejaribu kumpa darasa William J. Malecela, lakini haambiliki. Anavyofikiri yeye ndivyo anavyoona inafaa. Ujue hapa JF unabishana na watu usiowajua na huenda wakawa dada zako, wazazi wako, wakuu wako unaotazamia wakuone kama unafaa kukabidhiwa jukumu kwa manufaa ya taifa. Inatosha nilivyokuambia, unaakiwa kuwa mtu wa critical thinking.

- Great Thinker, hamna substance hapa sasa ushauri wako ni nini hasa? Dhana ya JF sio kujuana ila hoja, sasa rudi kwanza kajifunze hoja ndio uje utoe ushauri hapa, I mean wewe Great Thinker unasema nikubali ushauri tu kwa sababu wanaonishauri siwajui maana ningewajua ingekuwa tofauti, yaani this is very childsh! ha1 ha! ha! ha!

William.
 
- Mkuu sana unaziidi kunivunja mbavu sana! ha! ha! ha!, KWANZA NAOMBA NIKUHAKIKISHIE KWAMBA SINA MPANGO WA KUJIUNGA NA CHADEMA, NEVER!; HOWEVER;- NITAKUJIBU KAMA IFUTAVYO;-

1. KUJIAMNI:- Brother, ukweli ni kwamba hunijui wala huna idea who I am, nilizaliwa na FULL CONFIDENCE 100% on that one sihitaji kabisa ushauri wako wala wa mtu yoyote, just keep it to yourself wewe unataka kunifundisha kuwa low self-esteem, ni FULL CONFIDENCE in myself ndiyo iliyonipeleka kwenye ubaharia bila kuepelekwa na mtu, wala serikali. Sio Facebook wala JF, zinazochagua Viongozi wa taifa au wa siasa, naona na hujui sababu ya Facebook, ni kwa ajili ya matukio ya Social life ya members, sio siasa tu kila kukicha. Safari yangu ya maisha ilikuwa ngumu mwanzoni sio sasa, baada ya kuishi baharini na ugahibuni kwa muda wote nilioishi kule, kufanya kazi masaa 18 kila siku na kuamka saa nane za usiku kwenda job kila siku kwa miaka 30.

2. SAFARI YANGU YA SIASA: Haiwezekani mtu asiyejua siasa akawakosesha usingizi hapa namna hii, fumbo unafumbia mjinga, ninaijua siasa ndio maana ninawakosesha usingizi na for sure sina MPANGO WA KUJIUNGA NA CHADEMA NEVER!

3. BABA YANGU; Hayo yako ni mawazo mufilisi na ni simply FOOLISH, eti nikae na baba yangu kujifunza siasa? Are you kidding me or what? Wewe ndio manaishi kwa kutegemnea baba unataka na mimi nimtegemeee baba, yaani wewe Great Thinker unataka nifuate huu ushauri bogus hivi? Damn!

4. MY BLOG: Ile blog ipo kwenye matengenezo haijaisha, nimekwua kwenye blogs for years, ninajaribisha samples za what is good as a product, sasa tizama the shock: PICHA ZA KINADADA ZIMEANGALIWA NA WATU 500 EACH; HABARI ZA SIASA WATU 10 TU EACH, ZINGINE HAZIKUGUSWA KABISA, PICHA ZA WANASIASA WATU 5 TU,

- Now what are you telling me bro kama sio nonsense!, ha! ha! ni nani hao wananchi 500? I mean maneno yako makubwa na ya bluu kupata attention lakini ni pure nonsense, please keep huo ushauri wako siuhitaji kabisaa! Wewe unataka niwe mjinga, wewe umejuaje kule kuna Jokate na Sintah? Wewe ni mnafiki mkubwa sana, please sihitaji ushauri wako maana ni simply FOOLISH!, Nimeshindwa hata kumaliza post yako cause ni simply waste!

- MUCH RESPECT BRO!

William.

1 lov Lemutuz ,Le baharia @DSM
Safari bado ni ndefu sana ila tutafika
 
Kwa hiyo asiambiwe pale inapo onekana amekosea? Hivi kwa nini asiweke picha zake na hao watu wa vijijini anao enda kuwapa moyo na kuwaeleza kua maisha ni kupambana? kwa nini asiweke hotuba anazo tumia kwa kuwapa matumaini ili tuweze kupata hope na sisi hapa tulipo? Kuweka picha ya wanawake (indecently dressed for local standards) kunamsaidiaje? Au sio politician? tujue moja basi, lengo la blog ni kujijengea umaharufu kwa kupitia njia yoyote, zaidi kwa kupose na wanawake and/or ma 'celeb' (U-Turn strategy) au ni blog ya kusambaza political beliefs?

- Now tizama huyu naye masikini wa Mungu, Kusambaza Political Beliefs! ha! ha! ha! yaani hata kusoma yote nimeshindwa!

William.
 
1 lov Lemutuz ,Le baharia @DSM
Safari bado ni ndefu sana ila tutafika

- Mwakalinga you have no idea na what kind of a human being unaye-deal naye huku upande wa pili bro, HOWEVER; TAREHE 26 NIMEALIKWA MAKUMBUSHO KUTAKUWA NA MHADHARA MAALUM NITATOA PAPER YA MAONI YANGU KUHUSU VIJANA NA AJIRA, NJOO BRO UNIJUE VIZURI, KWAMBA KWENYE MAISHA KILA KITU KINA WAKATI WAKE!

- MUCH RESPECT BRO!

William.
 
View attachment 54325


Kweli huyu ndio mtu anayetaka awekwe kwenye kundi moja na watu kama Zitto Kabwe,J. Makamba,John Mnyika,Deo Filikunjombe,Beno Malisa,Kafulila,Julias Mtatiro...nk .
Hapa hakuna mtu ,Mb Mr II ni msanii na msela ila huyu jamaa huku ameteleza kama sio kuanguka

- Mwakalinga unataka nifanye nini kwenye my Social life? Nisiende kwenye Clubs kuburudika na wananchi wengine? Wewe ni mnafiki mkubwa sana yaani hao Viongozi wanatukanwa hapa kila siku leo unawaona ni wazuri? I mean nimekuona hata kule Facebook I mean kama kweli unaamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuongea siasa all the times na hatakiwi kuwepo Facebook, then wewe unaenda kule kufanya nini bro?

- I mean wewe ni mnafiki sana, yaani unasema kiongozi mzuri ni yule tu ambaye ni un-social au ambaye hajichanganyi na wasichana kwenye Clubs? WEwe sio mbaguzi then ni mtu gani? Umenisikitisha sana bro! ha! ha! ha!

William.
 
Matumizi ya mtandao ni mengi sana. Nafikiri inabidi kuvumiliana hakuna anayekosea kama hatumii lugha mbaya au hakosei wengine heshima. Utu wa mtu hauondolewi kwa mawazo hasi ya wengine. Wakati mwingine tujifunze kupitia kwa wengine tusiwe tunakumbatia yanayopita au yasiyo wezekana. Nani alijua leo matumizi ya barua yatakwisha au kupungua kwa kiasi hiki? Nani alijua leo tutakuwa tunaongea bila kuonana kila siku kila saa??

Tuheshimu mawazo, utashi na mitindo ya wengine. Sioni Tatizo la Willy kutumia njia mpya ya kujiwakilisha, tangaza, wasiliana. Nani alijua Obama angeshinda kwa kutumia facebook, tweeter, mitandao mbalimbali ya kijamii. Leo hii tunawasilaina kwa njia hii hii ya mitandao.

Kama inamsaidia yeye na anaipenda kwa nini uchukie??? Mafanikio ni pamoja na kufeli mara nyingi bila kukata tamaa.
 
- Now tizama huyu naye masikini wa Mungu, Kusambaza Political Beliefs! ha! ha! ha! yaani hata kusoma yote nimeshindwa!

William.
Cha ajabu nini hapo mkuu? wewe si unasema ni politician? sasa what are the core beliefs of your politics? Binafsi nilidhani utatumia blog yako kutupa taarifa zaidi juu ya suala hili. Hadi sasa haijulikani kama uko left, right or center. Kuna changamoto nyingi zinazo likumba taifa letu na niliamini kua utatoa maoni yako kuhusu changamoto hizo kwa kupitia blog yako. Nilipo itembelea na kuona imekaa ki-PIMP zaidi nikaona sio vibaya nirudi kutoa maoni yangu.

Wakati natumia muda wangu kujaribu kukwambia nilicho kiona wewe unanionea huruma kwa sababu nimeandika "kusambaza political beliefs"? ungechukua basi muda na kusoma post nzima kabla ya kuchangia mkuu.
 
Cha ajabu nini hapo mkuu? wewe si unasema ni politician? sasa what are the core beliefs of your politics? Binafsi nilidhani utatumia blog yako kutupa taarifa zaidi juu ya suala hili. Hadi sasa haijulikani kama uko left, right or center. Kuna changamoto nyingi zinazo likumba taifa letu na niliamini kua utatoa maoni yako kuhusu changamoto hizo kwa kupitia blog yako. Nilipo itembelea na kuona imekaa ki-PIMP zaidi nikaona sio vibaya nirudi kutoa maoni yangu.

Wakati natumia muda wangu kujaribu kukwambia nilicho kiona wewe unanionea huruma kwa sababu nimeandika "kusambaza political beliefs"? ungechukua basi muda na kusoma post nzima kabla ya kuchangia mkuu.

- Yaaani uko unazidi kunishangaza sana, Blog ina matangazokila kona kwamba haijaisha ipo kwenye matengenezo wewe unataka nitoe msimamo wangu kuhusu siasa, inaitwa mis-communication ndio maana hili taifa kila siku tunaambiwa watekelezaji ni tatizo sana, hii ndio mifano hai yenyewe usiende mbali, maana mtu anaambiwa Blog haijisha ipo kwenye matengenezo, yeye anadai msimamo wa kisiasa wa mwenye blog, ndio maana nikasema masikini wa Mungu na kukuonea huruma sana!

- Tizama sasa unavyozidi kujivua nguo, kwamba umeona Blog ni ya ki-PIMP zaidi, maana kwako ni maajabu sana kuona watu wengine wana-Celebrate uzuri wa dada zetu, masikini ya Mungu sasa mkuu miss universal na miss Tanzania kwako ni nini hasa? Ndio watu kama wewe wanaishia kuwa viongozi wa taifa, jiulize taifa litaenda wapi? Celebration ya woman beauty wewe kwako ni pimp,

- Halafu unalalamika kwa nini sikusoma post nzima, ili na mimi niwe na mawazo kama yako, Great Thinker inasikitisha sana! ha! ha! ha! ha!

William.
 
Kwamtazamo wangu mimi, naona pana mambo mwili ambayo watu tunayachanganya. Mambo haya ni social interaction na future carrier. Pia ndani ya haya mambo mawili panazaliwa vitu viwili tena navyo ni hobbies Vs maadili. As Africans lazima to socialize na watu wote. Ni wazi kwamba interaction kati ya kijana na binti itakuwa tofauti kati ya kijana na kijna au kijana na mzee au hata mtoto. Interaction hii ndiyo kwa kiasi kikubwa itachangia nafasi ya wewe kumeet future carrier expectation.

Hapohapo pana kitu kinaitwa hobbies hizi ni zao la interaction zako yaani unapenda kuinteract vipi na jamii yako. mathalani mtu anapenda kwenda disco definately huko atakutana na watu ambao ni wapenz wa disco. Ingawa hobbies zetu ndizo ziletazo ladha katika interaction lakin as Africans kuna mipaka yake ambayo sisi hupenda kuiita maadili. Maadili haya yakifuatwa ipasavyo, wakati mtu unapo interact kwa kufuata hobbies zako basi ni wazi kuwa unawez kuwin your future carrier vizuri na bila jasho.

Kwangu mim kulingana na future carrier yangu, nitainteract na watu wengi sana of different sex lakin kufuatana na maaadili yetu basi kunamengine sitayafanya ya public. Nitafanya hivyo kwa kujua kuwa haya yakiwa ya public hayanafaida kwenye hili ninalotaka.

Kama williamJ.C unayajua haya basi nakushauri sana, wewe unayoblag sawa, unataka kueka picha sawa, lakini focus pia na carrier yako. Pia analia maadili ya kwetu hapa tz ninaamn kabisa yapo mengine yatakuharibia kiasi kwamba hutamin.


Kuhusu kutumia ushaur kutaka kwa baba yako busara ukamsikilza ili ujue vizur siasa za kwetu bongo na kisha ujipange.Angalia usije ukafrustrate ukajahapa unalaumu eti hujatendewa hali. watu wanaangalia na wanaona. Wote alio post hapa siyo wajinga.
 
Last edited by a moderator:
- Yaaani uko unazidi kunishangaza sana, Blog ina matangazokila kona kwamba haijaisha ipo kwenye matengenezo wewe unataka nitoe msimamo wangu kuhusu siasa, inaitwa mis-communication ndio maana hili taifa kila siku tunaambiwa watekelezaji ni tatizo sana, hii ndio mifano hai yenyewe usiende mbali, maana mtu anaambiwa Blog haijisha ipo kwenye matengenezo, yeye anadai msimamo wa kisiasa wa mwenye blog, ndio maana nikasema masikini wa Mungu na kukuonea huruma sana!

- Tizama sasa unavyozidi kujivua nguo, kwamba umeona Blog ni ya ki-PIMP zaidi, maana kwako ni maajabu sana kuona watu wengine wana-Celebrate uzuri wa dada zetu, masikini ya Mungu sasa mkuu miss universal na miss Tanzania kwako ni nini hasa? Ndio watu kama wewe wanaishia kuwa viongozi wa taifa, jiulize taifa litaenda wapi? Celebration ya woman beauty wewe kwako ni pimp,

- Halafu unalalamika kwa nini sikusoma post nzima, ili na mimi niwe na mawazo kama yako, Great Thinker inasikitisha sana! ha! ha! ha! ha!

William.
Mkuu, usitafsiri maneno yangu. Sikusema usome post nzima ili uwe na mawazo kama yangu. Kila mtu ana mtazamo wake.
Umesema Blog ipo katika hatua za kwanza na bado inatengenezwa, sijakataa. na uliomba watu waende kujionea. Naamini nia yako wakati unaomba watu kutembelea blog ambayo bado inaundwa ilikua ni kwa sababu ttutoe maoni ili kuwe na improvement (Kama nimekosea basi twambie nia ilikua nini).
Binafsi nilipo fika kwenye blog yako niliona hizo picha za 'kucelebrate beauty', nikaona na picha zingine ukiwa na viongozi mbali mbali wa siasa, ila sijaona mtazamo wako kuhusu masuali ninayo jiuliza kama mwananchi. Basi nikarudi kutoa mchango wangu kua hakuna political views zako kwenye blog yako. kama unaamini utakuja kuzungumzia political beliefs basi weka kuanzia sasa.
Inajulikana wazi kua For those valuables, worthiness doesn't wait the number of years.(Corneille, Le Cid)

Kama nia yako ni kutangaza na ku-celebrate uzuri wa watanzania basi weka hilo wazi na badili profession kuelekea beauty zaidi. Kama unataka kutumia beauty katika kupitisha ujumbe wako kwa taifa basi weka nia yako wazi pia na uwe msanii. Wasanii wengi ni political activists pia. kwa sasa, namna blog imekaa, msomaji anaona kama nia yako ni kuonesha ukaribu wako na warembo fulani, jambo ambalo halina manufaa kwa baadhi ya wasomaji. Nakupa ushahuri huu sababu uliomba kupewa maoni.
 
Kwamtazamo wangu mimi, naona pana mambo mwili ambayo watu tunayachanganya. Mambo haya ni social interaction na future carrier. Pia ndani ya haya mambo mawili panazaliwa vitu viwili tena navyo ni hobbies Vs maadili. As Africans lazima to socialize na watu wote. Ni wazi kwamba interaction kati ya kijana na binti itakuwa tofauti kati ya kijana na kijna au kijana na mzee au hata mtoto. Interaction hii ndiyo kwa kiasi kikubwa itachangia nafasi ya wewe kumeet future carrier expectation.

Hapohapo pana kitu kinaitwa hobbies hizi ni zao la interaction zako yaani unapenda kuinteract vipi na jamii yako. mathalani mtu anapenda kwenda disco definately huko atakutana na watu ambao ni wapenz wa disco. Ingawa hobbies zetu ndizo ziletazo ladha katika interaction lakin as Africans kuna mipaka yake ambayo sisi hupenda kuiita maadili. Maadili haya yakifuatwa ipasavyo, wakati mtu unapo interact kwa kufuata hobbies zako basi ni wazi kuwa unawez kuwin your future carrier vizuri na bila jasho.

Kwangu mim kulingana na future carrier yangu, nitainteract na watu wengi sana of different sex lakin kufuatana na maaadili yetu basi kunamengine sitayafanya ya public. Nitafanya hivyo kwa kujua kuwa haya yakiwa ya public hayanafaida kwenye hili ninalotaka.

Kama williamJ.C unayajua haya basi nakushauri sana, wewe unayoblag sawa, unataka kueka picha sawa, lakini focus pia na carrier yako. Pia analia maadili ya kwetu hapa tz ninaamn kabisa yapo mengine yatakuharibia kiasi kwamba hutamin.


Kuhusu kutumia ushaur kutaka kwa baba yako busara ukamsikilza ili ujue vizur siasa za kwetu bongo na kisha ujipange.Angalia usije ukafrustrate ukajahapa unalaumu eti hujatendewa hali. watu wanaangalia na wanaona. Wote alio post hapa siyo wajinga.

- Bado unazidi kujichanganya sana, maana as a Great Thinker huwezi kuchanganya maadili ya Ki-Africa na Facebook ni total Confusion hapo na wala sina haja ya kuendeleza hiii hoja, nitakuwa ninapoteza muda bure naomba jipange tena!

- Hoja za baba ni absolutely waste, ninatakiwa kusimama mwenyewe kama nilivyokuwa baharini, na kule New York nilipokuwa ninafanya kazi masaa 18 kwa siku, hakuwepo baba kule nilikuwa mwenyewe, I mean naona unahangaika sana lakini bado sijaona hoja ya maana ya mimi kuichukua!

- Unasema maadili, lakini unashinwa kujibu wananchi 500 wanaopedezewa na picha za kina-dada ni nani hao kwenye Society? Maaaana unsema kwa kuwepo hizo picha kwenye blog kunaharibu maadili una maana basi hili ni taifa la watu wasio na maadili?

I mean nenda ujipange tena bro!

William.
 
Mkuu, usitafsiri maneno yangu. Sikusema usome post nzima ili uwe na mawazo kama yangu. Kila mtu ana mtazamo wake.
Umesema Blog ipo katika hatua za kwanza na bado inatengenezwa, sijakataa. na uliomba watu waende kujionea. Naamini nia yako wakati unaomba watu kutembelea blog ambayo bado inaundwa ilikua ni kwa sababu ttutoe maoni ili kuwe na improvement (Kama nimekosea basi twambie nia ilikua nini).
Binafsi nilipo fika kwenye blog yako niliona hizo picha za 'kucelebrate beauty', nikaona na picha zingine ukiwa na viongozi mbali mbali wa siasa, ila sijaona mtazamo wako kuhusu masuali ninayo jiuliza kama mwananchi. Basi nikarudi kutoa mchango wangu kua hakuna political views zako kwenye blog yako. kama unaamini utakuja kuzungumzia political beliefs basi weka kuanzia sasa.
Inajulikana wazi kua For those valuables, worthiness doesn't wait the number of years.(Corneille, Le Cid)

Kama nia yako ni kutangaza na ku-celebrate uzuri wa watanzania basi weka hilo wazi na badili profession kuelekea beauty zaidi. Kama unataka kutumia beauty katika kupitisha ujumbe wako kwa taifa basi weka nia yako wazi pia na uwe msanii. Wasanii wengi ni political activists pia. kwa sasa, namna blog imekaa, msomaji anaona kama nia yako ni kuonesha ukaribu wako na warembo fulani, jambo ambalo halina manufaa kwa baadhi ya wasomaji. Nakupa ushahuri huu sababu uliomba kupewa maoni.

1. Kwanza hakuna pahali popote nilipoomba maoni kuhusu blog, nilichosema ni kwamba blog ni mpya ipo kwenye matengenezo haijaisha, lakini kwa mawazo yako ukaona kwamba hata kama blog haijaisha lazima iwe na misimamo yangu ya siasa! ha! ha! ha! mis-communicatiion!

2. Unasema umeona picha zangu na wanasiasa na pia na warembo, za warembo zimekukera maana zinaonyesha kwamba nipo karibu na warembo, lakini hukukerwa na picha na viongozi, kwa maana ya kwamba unataka ile blog lazima iwe ya siasa, meaning kwamba huna uwezo wa kuwa objective wala kuuliza, ndio wanaita kudandia treni kwa mbele, maana hujui wala huna uhakika, lakini tayari una conclusion!

I mean nimeshindwa kumaliza post yako bro!

William.
 
Back
Top Bottom