Mzee malecela amesema kwa mujibu wa magazine moja linalochapishwa marekani, Tanzania itakuwa ya 11. Aliisoma magazine hii akiwa Marekani (hivi karibuni) hajasema lini.
Hiyo magazine ilisema miaka 20 ijayo, China itakuwa ya kwanza ikifuatiwa na India, ya tatu Marekani na Tanzania Ya 11. Amesema Tanzania ni ya 3 Africa kwa utoaji dhahabu, Soda ash ni ya pili Duniani baada ya Marekani, Makaa ya mawe tunayo mengi sana.
SISI SIYO MASKINI!..
Source: Dkk 45, ITV
[USER=15188 said:Ngambo Ngali[/USER] Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.
Katika interview iliyokuwa inarushwa na ITV leo, Mzee Malecela aliulizwa na mtangazi kuhusu inflation inavyomgusa Mtanzania. Kwa kweli it was very poor analysis for a person with such extensive CV.
- Secondary Education - Minaki secondary school 1957-1958
- Bachelor of Commerce - Bombay University 1958-1959
- Post Graduate Studies - Cambridge University 1961-1962
- Ph.D. Honoris Causa (Humanities) - University of Texas 1977
Malecela once again has proved kwamba nje ya Sokoine na Nyerere, Tanzania haijawahi kuwa na Waziri mkuu mwingine mwenye uwezo wa kiuongozi kama mzee huyu; I remain to wonder mambo mawili:
1. Uhuni wake ambao tuliambiwa ndio ulipelekea ashinikizwe kujiuzulu ulikuwa ni uhuni wa namna gani? Wengine tulikuwa wadogo kuelewa mambo kwa undani;
2. Ingetokea Malecela akawa Rais wa tatu au wa nne wa Tanzania, angefanya kitu gani tofauti?
kati ya watu walioongea bila point ni huyu mzee wangu. nilivumilia sana kuangalia kipindi chake tangu mwanzo hadi mwisho. hakuna hata point aisee, ndo maana tunasema hii nchi inatakiwa kuongozwa na vijana, wazee hawana kitu aisee, amekuja tu kuwaaibisha wazee wenzie kuwa ukizeeka mwili hata akili inazeeka.
KWELI HUYU MZEE ANA DISPLOMASIA ZA KIRRUSI NA mpambe WA NCHI ZA KIARABU. Si unajua Mama migiro alipokwenda kuwa Naibu katibu mkuu wa UN. Mzee malecela alimuaga na kusema " ukifika huko UN, kaseme, Tanzania haitaki majeshi ya Uvamizi Iraq! KUmbuka muda wote aliokaa madarakani kama vice president, hakuwahi kuilaani Uganda hata siku kwa kukalia ardhi ya Zaire.ukiwa na rais kama huyu, nchi inaweza kurudi kwenye zama za ujima. hivi mzee kumbe huwa namheshimu nikijua kuwa anao uelewa wowote wa namna ya kuikomboa hii nchi, kumbe hamna kitu kabisa aisee, sijui uzoefu wake wote ni diplomasia za kirussia zinazowafanya watu wawe mambumbumbu kwa kudanganywa kwenye chama chake....nimepoteza muda kuangalia kipindi kile aisee.
Hii elimu ya mwaka moja moja kila mahali ikaaje au kuna makosa?
"mtu mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu halafu
anajua unajua ni ... ukiyakubali anakudharau" J.K Nyerere.
KWELI HUYU MZEE ANA DISPLOMASIA ZA KIRRUSI NA mpambe WA NCHI ZA KIARABU. Si unajua Mama migiro alipokwenda kuwa Naibu katibu mkuu wa UN. Mzee malecela alimuaga na kusema " ukifika huko UN, kaseme, Tanzania haitaki majeshi ya Uvamizi Iraq! KUmbuka muda wote aliokaa madarakani kama vice president, hakuwahi kuilaani Uganda hata siku kwa kukalia ardhi ya Zaire.
Hawa ndio watu waliotufisha hapa tulipo katika umasikini mkubwa sana ingawa tuna mali. Kashika posts mbali mbali nyingi sana na nyeti serikalini, lakini hajawahi hata siku moja kutatua kero ya masikini! Ni mtu aliyejitenga sana na jamii na alikuwa mbali sana na matatizo ya watu.