Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Malecela ameungana na watz wengi wanaolaani uandishi mbovu na wenye hila wa gazeti la Jambo leo.Amesikitishwa na kitendo cha gazeti hilo chochezi cha kuandika kuwa Nape alitaka yeye Malecela na Sita ndo waende Igunga na kusema kuwa ni uongo kwa kuwa Nape anafaham afya ya mzee huyo hairuhusu ashirika katika rabsha kama hizo. Source, itv.