Gazeti la Mwanahalisi Tarehe 27/04/2011:
Gazeti hili lilipomtafuta William Malecela anayeishi New York, Marekani, kujua iwapo ni mwanachama wa Chadema alisema, Si kweli hata kidogo.
Alisema yeye ni mwanachama mwaminifu wa CCM, na kwamba hivi sasa yuko mbioni kufungua tawi la chama hicho mjini New York Marekani.
Alisema, Tatizo la watu wa CCM hawataki kusoma, badala yake wanakuja na ripoti za kuokoteza mitaani. Mimi ni mwanzilishi wa JF, nimekuwa huko tangu kuanzishwa kwake mwaka 2006.
Kwa upande wake Maxence Melo, anasema wakati mtandao huo unaanzishwa mwaka 2006 kabla ya kampuni kusajiliwa mwaka 2008, kulikuwa na watu wengi sana, wakiwamo vigogo wa CCM.
Anasema miongoni mwa wanachama wa mtandao huo, ni Nape Nnauye, Hussen Bashe na Khamisi Kigwangala.
Anasema mbali na wanachama hao wanaofahamika kwa majina yao, wapo wanachama na viongozi wengi wa CCM, wanaotumia majina bandia.
Soma zaidi : Mukama amdanganya Kikwete | Gazeti la MwanaHalisi
Gazeti hili lilipomtafuta William Malecela anayeishi New York, Marekani, kujua iwapo ni mwanachama wa Chadema alisema, Si kweli hata kidogo.
Alisema yeye ni mwanachama mwaminifu wa CCM, na kwamba hivi sasa yuko mbioni kufungua tawi la chama hicho mjini New York Marekani.
Alisema, Tatizo la watu wa CCM hawataki kusoma, badala yake wanakuja na ripoti za kuokoteza mitaani. Mimi ni mwanzilishi wa JF, nimekuwa huko tangu kuanzishwa kwake mwaka 2006.
Kwa upande wake Maxence Melo, anasema wakati mtandao huo unaanzishwa mwaka 2006 kabla ya kampuni kusajiliwa mwaka 2008, kulikuwa na watu wengi sana, wakiwamo vigogo wa CCM.
Anasema miongoni mwa wanachama wa mtandao huo, ni Nape Nnauye, Hussen Bashe na Khamisi Kigwangala.
Anasema mbali na wanachama hao wanaofahamika kwa majina yao, wapo wanachama na viongozi wengi wa CCM, wanaotumia majina bandia.
Soma zaidi : Mukama amdanganya Kikwete | Gazeti la MwanaHalisi