tangu kijana mpambanaji kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kutangaza nia ya kumng'oa mwanasiasa mzee bw samwel malecela. hali ya mzee huyo imezidi kuwa mbaya kisiasa kiasi cha hivi sasa kuhamia jimboni kila mara..
tangu kijana mpambanaji kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kutangaza nia ya kumng'oa mwanasiasa mzee bw samwel malecela. hali ya mzee huyo imezidi kuwa mbaya kisiasa kiasi cha hivi sasa kuhamia jimboni kila mara..
Ado, nadhani umemmisi tuu FMEs Wazee wa Sauti za Umeme, hivyo unaanza uchokozi ili akatize likizo yake humu JF!.tangu kijana mpambanaji kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kutangaza nia ya kumng'oa mwanasiasa mzee bw samwel malecela. hali ya mzee huyo imezidi kuwa mbaya kisiasa kiasi cha hivi sasa kuhamia jimboni kila mara..
Naunga mkono hoja...MODs hebu liangalieni hili tusije fanya ukumbi huu sawa na barasa la kuuzia kahawa!!Pangetakiwa pawe na filter inayochuja topic kabla haijawekwa hapa jukwaa la siasa.
pangetakiwa pawe na filter inayochuja topic kabla haijawekwa hapa jukwaa la siasa. :angry:
ni kweli make no colleration between the content and the topic posted!
thread yako pumba, au kwakuwa humu jf kuna manazi wengi wa chadema ulitegemea kuungwa mkono kwakuwa umetaja chadema. jenga vizuri hoja yako