Malecela avunja ukimya!

Well,

Naona kama tunaandikia mate ilhali wino upo, wakuu niwaletee alichokiongea Mzee Malecela katika Audio Version? Endapo mnakubaliana nami naomba niifunge hii kwa muda tusikilize alichokiongea na kutokea hapo mjadala na uendelee kirahisi...
 
Well,

Naona kama tunaandikia mate ilhali wino upo, wakuu niwaletee alichokiongea Mzee Malecela katika Audio Version? Endapo mnakubaliana nami naomba niifunge hii kwa muda tusikilize alichokiongea na kutokea hapo mjadala na uendelee kirahisi...

Wewe weka vitu na thread isifungwe wala nini, kuna majadiliano mengine yanaendelea wala hayahusiani ha content za audio hiyo bali kaulimtu mbovu.
 
Well,

Naona kama tunaandikia mate ilhali wino upo, wakuu niwaletee alichokiongea Mzee Malecela katika Audio Version? Endapo mnakubaliana nami naomba niifunge hii kwa muda tusikilize alichokiongea na kutokea hapo mjadala na uendelee kirahisi...

Exactly! Tunaandikia mate kweli. Sijui hata ni kwa nini. Mazee hebu weka alichokiongelea Mzee Malecela. Please.
 
-Ukiheshimu independent thinking yangu utathamini ukweli kwamba Tanzania bado hatujawa na mbunge "illegal" and therefore it is unnecessary and misleading kuongea kuwa "legally alikuwa mbunge from a to b"

Nadhani Billy aliteleza ulimi tu kutumia hilo neno "legally" ambalo linaweza au linaleta implications zingine. Ni uchaguzi mbaya tu wa matumizi ya neno.
 
Nadhani Billy aliteleza ulimi tu kutumia hilo neno "legally" ambalo linaweza au linaleta implications zingine. Ni uchaguzi mbaya tu wa matumizi ya neno.

Sasa kama ni hivyo anaona ugumu gani kusema hivyo? Au na yeye ni kati ya demigods wasiokosea?
 
Kiranga;406503]- Hakuna jazba hapa, kama kuna jazba basi kuona hili nililolisema kama jazba ndiyo jazba yenyewe - Naona umeleta swala la kuelimishana, huwezi kuelimika mpaka ukubali kuwa umekosea na umeelimishwa, jambo ambalo mpaka sasa hujafanya

- Huwezi kuelimika kama huwezi kukubali kuwa huna elimu ya kutosha, nimekubali kuwa mkuu una elimu kubwa sana na upeo mkubwa, sasa kushindwa kwako kuliona hili ni moja ya mapungufu yako aynayosababishwa na jazba na ukali wako, katika kujaribu ku-intimdate mtu unayetaka kunifundisha ndio maana huwezi kumuelimisha mtu wa namna yangu ambaye ni intimdated tayari kutokana na jazba na ukali wako.

- Katika kukomoana na kushushiana hadhi sipo, katika "zero tolerance" nipo.Hii "zero tolerance" tunaihitaji sana, siyo tu katika kupambana na ufisadi na kuleta maendeleo, bali hata katika mawazo na kauli zetu.Moja ya sababu tunakuwa maskini ni hili la kujiachia kuwa na kauli tata, zisizoeleweka, zenye kuweza kutafsiriwa vibaya kama hii kauli ya "legally alikuwa mbunge kutoka a mpaka b". Hii kauli inabidi isahihishwe au unajionyesha haambiliki.

- Zero tolerance huku ukiwa una-deal na hoja za wengine bin-adam wenye mapungufu kama wewe? Eti umasikini wetu wa-Tanzania unatokana na ku-tolerate kauli tata za wananchi wengine? Mkuu kumbe na wewe mtupu? Eti unakuwa zero tolerance lakini unaambilika?

lakini kutakuwa hakuna maana kama unapoelimishwa unakataa kuelimika. Sina nia ya ku intimidate mtu, na wala sijaanza kutumia maneno makubwa, na kama umejua kuwa yako misplaced basi si makubwa hivyo, kwa sababu naamini katika kuelimishana naomba unielimishe nime misplace wapi hayo maneno.

- Zero tolerance katika mijadala na wananchi wenzio huoni kuwa hapa sio mahali pake mpaka nikuambie? Unafikiri wote hapa tuna elimu saawa na upeo sawa mkuu? Sasa bado huoni the misplace of your big words?

-Ukiheshimu independent thinking yangu utathamini ukweli kwamba Tanzania bado hatujawa na mbunge "illegal" and therefore it is unnecessary and misleading kuongea kuwa "legally alikuwa mbunge from a to b

- Ya illegally, sikuyasema ila nimesema ya legally, unakuwaje mbunge legally kama huwezi hudhuria vikao vya wabunge nje ya bunge? Na huwezi kuitwa mbunge?

William.
 
halafu huyu mkuu alikuwa wapi muda wote mpaka asubiri wakati keshakuwa mzee ndiyo afikirie kwenda kugombea ubunge(2010)?
hivi vizee vipumzike bure vinazibia nafasi vijana..
 

...kuna majadiliano mengine yanaendelea wala hayahusiani ha content za audio hiyo bali kaulimtu mbovu.

Kiranga,

Hizo "kaulimtu mbovu" ni kitu kinachonisumbua sana. Wabongo na kauli na usahihi na umakini na details tuko nyuma. "Comoro yaomba kujiunga na Tanzania." Kumbe Rais kasema ana wish! Wameomba, wametuma maombi?

"Malecela alikuwa mbunge wa Mtera miaka 40." Come to find out Mtera yenyewe haikuwepo mwaka 1969! Kutegemeana na wangapi watakaosoma hiyo taarifa, Tanzania nzima inaweza kupotoshwa na hiyo kaulimtu.

Wabunge wanaojisifia usomi, kina Mwakyembe wanaenda mbele ya national audience kusema "mimi nilikuwa mkurugenzi wa NBC, wa kwanza"! Kumbe mwana bodi, 1997, tena hata sio mwenyekiti! Kaulimtu.

Kuna Prof. ameandika tanzia (Wana JF wanaaita wasifu) ameandika tanzia kuhusu marehemu Joshua Nkhululi. Anasema "...formerly known as Ken Edwards," halafu tanzia nzima anamutia jina ambalo kesha sema ni la zamani, Ken Edwards. Professor mzima!

Bwana W.J. Malecela anasema unavyomdai uhakiki wa kaulimtu ni ukali. La hasha! Tunajaribu kujenga ka jamii kanako jali taarifa na usahihi na details na kaulimtu zilizonyooka.

Inawezekana hakuna sehemu nyingine, hakuna Tanzania, forum hii tu ambapo panaweza kuwa panajali kaulimtu.

Audio ya Mzee Malecela atakayoleta Invisible hapa sitoshangaa kusikia maajabu ya sarakasi za kaulimtu.
 
sawa lakini samaki akioza mmoja ndio wote wameoza CCM wamekuwa kama chui wa kufuga haaminiki wakati wowote mbuzi wapo hatarini
 
Nadhani Billy aliteleza ulimi tu kutumia hilo neno "legally" ambalo linaweza au linaleta implications zingine. Ni uchaguzi mbaya tu wa matumizi ya neno.

- Mkuu wangu kisheria ya Tanzania ya bunge, DK. Malecela legally alianza kuitwa mbunge rasmi baada ya kushinda uchaguzi wa jimbo mwaka 1975, na not before that, na kwa mara ya kwanza alianza kupewa legal rights za ubunge lakini not before that.

- Ingawa alikuwa waziri wa nje na anaingia bungeni, how do you call that sijui, lakini hakuwa mbunge, na hakuwahi kuitwa mbunge period, mpaka aliposhinda legally mwaka 1975.

Hakuna nilipoteleza on this kwa sababu sikutoa jina la state ya uwaziri bila ya kuwa mbunge legally, as he was akiwa waziri wa nje, hakuwa any legal rights za ubunge. kila bunge linapokutana wakurugenzi wa mashirika mbali mbali ya umma na makatibu wakuu wa wizara huenda bungeni sometime, sasa wao legally ni members of bunge?

Ahsante.

William.
 
halafu inaonekana sasa hawa jamaa wanaanza kupoteza muelekeo kama mna kumbuka marehemu Horace Kolimba aliwahi kuikosowa CCM hadharani na punde alishikishwa adabu kwa kulazimishwa malalamiko yake akayatolee katka vikao vya chama, jamaa hakurudi dodoma na roho yake, leo hii ule utaratibu wa kuongea katika forum za chama na kufichiana maovu haupo tena kila mtu anasemea kipembe anachokipata leo Raza, kesho, kilango , spika,na yeyote atakaepata upenyu ukumbi wa maelezo haya!
 
- Huwezi kuelimika kama huwezi kukubali kuwa huna elimu ya kutosha, nimekubali kuwa mkuu una elimu kubwa sana na upeo mkubwa, sasa kushindwa kwako kuliona hili ni moja ya mapungufu yako aynayosababishwa na jazba na ukali wako, katika kujaribu ku-intimdate mtu unayetaka kunifundisha ndio maana huwezi kumuelimisha mtu wa namna yangu ambaye ni intimdated tayari kutokana na jazba na ukali wako.

Ona vipande vya watu walioelimika hao, lakini kadiri walivyoelimika zaidi ndivyo walivyoelimika kwamba hawajaelimika

Newton

"I was like a boy playing on the sea-shore, and diverting myself now and then finding a smoother pebble or a prettier shell than ordinary, whilst the great ocean of truth lay all undiscovered before me."

"If I have seen further than others, it is by standing upon the shoulders of giants."


Kwa hiyo bin adam hajaelimika, na akielimika kidogo, kadiri anavyoelimika ndivyo anavyojua zaidi kwamba hajaelimika.

Kuhusu ku intimidate na jazba nimeshaongea.Unanikumbusha wale vijana wa Taifa Stars walioleta malalamiko yao, wako sensitive kiasi kocha akitoa discipline wanashindwa kunywa kidonge kichungu na kuchukua somo wanaona wamekosewa staha.Wewe umeelezwa ulichokosea unaona watu wana jazba na wakali, wamekukosea heshima, si hivyo, bora unakosolewa hapa JF nyumbani, kesho keshokutwa utakuwa kwenye hadhira isiyojua chochote kuhusu wewe yukasema kitu sawa na "legally alikuwa mbunge from a to b" either uka mu implicate mtu legally au ukaonekana mahamume.



- Zero tolerance huku ukiwa una-deal na hoja za wengine bin-adam wenye mapungufu kama wewe? Eti umasikini wetu wa-Tanzania unatokana na ku-tolerate kauli tata za wananchi wengine? Mkuu kumbe na wewe mtupu? Eti unakuwa zero tolerance lakini unaambilika?

Naam, bin-adam kwa kuwa sote tuna mapungufu basi tunahitajiana zaidi kuelekezana katika kila jambo.Na mie nimo humo humo, sina maana ya kwamba usinikosoe, utakuwa hunitendei haki kama utaijua njia lakini hutanionyesha, na utaweza hata kukosa thawabu yako ya kunionyesha njia.

Umaskini wetu unatokana na Mengi, mojawapo ni hili la kutokuwa na upembuzi yakinifu wa fikra na kauli, kama macho ni mlango wa kuingia kwenye nafsi basi kauli ni mlango wa kuona fikra za mtu, ukitaka kujua mtu anafikiri vipi msikize anavyosema na soma anavyoandika. Kama hatuna tabia ya kuwa precise katika maneno basi hiyo ina maana hatuna mawazo precise, na kutoka hapo hata matendo yetu yatayumba. Kwa hiyo, kwa sababu hatuna "zero tolerance" wanasiasa wetu wanatudanganya tu, waandishi wetu wanatudanganya tu (Malecela amekuwa mbunge wa Mtera kwa miaka 40) na sisi wenyewe tunadanganyana tu, ili mradi shaghalabaghala.

Naam, zero tolerance inahitajika sana.Tunapokemea ufisadi na rushwa tunatumia zero tolerance, kwa sababu tungeweza kusema "ndiyo style yetu, waacheni wale".Kwa hiyo hizi principle za "zero tolerance" zinatakiwa hata kwenye mawazo na kauli yetu.


- Zero tolerance katika mijadala na wananchi wenzio huoni kuwa hapa sio mahali pake mpaka nikuambie? Unafikiri wote hapa tuna elimu saawa na upeo sawa mkuu? Sasa bado huoni the misplace of your big words?

Ukifikiri zero tolerance inabidi tumuwekee Rostam Aziz na mafisadi tu huoni kuwa utakuwa unatumia "double standards"? Naona "conflict of interest" imekuingia umekuwa makini sana, weka umakini huo huo katika concept ya "double standards", principe yoyote unayotaka kui apply kwa fisadi uweze kui apply kwako mwenyewe.

Ni kwa sababu wote hatuna elimu ya sawa ndiyo maana tunahitajiana kuelimishana, na hakuna flow ya ideas kwamba ni lazima huyu amuelimishe huyu, hata darasani mara nyingine mwalimu anafundishwa na wanafunzi wake.

Big words nimeshakuambia unionyeshe ni wapi, pengine ni changamoto kwako ku build up your vocab vile vile.


- Ya illegally, sikuyasema ila nimesema ya legally, unakuwaje mbunge legally kama huwezi hudhuria vikao vya wabunge nje ya bunge? Na huwezi kuitwa mbunge?

Ukiyataja ya legally umeyataja ya illegally by induction, hizi ni pande mbili za sarafu ile ile.

Tanzania tuna watu wabunge, na wengine si wabunge, hatuna wabunge legal, kuwa mbunge maana yake ni kwamba uko legal kwa hiyo mbunge legal ni an unnecessary and confusing misnomer.

Either mbunge, au si mbunge.Ukitaka kumleta mbunge legal basi hapo hapo umemuonyesha kwamba anawezekana kuwepo mbunge illegal.

William.
 
Kiranga,

Hizo "kaulimtu mbovu" ni kitu kinachonisumbua sana. Wabongo na kauli na usahihi na umakini na details tuko nyuma.

Bwana W.J. Malecela anasema unavyomdai uhakiki wa kaulimtu ni ukali. La hasha! Tunajaribu kujenga ka jamii kanako jali taarifa na usahihi na details na kaulimtu zilizonyooka.

- Again ya kaulimtu ni misguided, misinformed, igonarnce, au misplaced na it could be all the above, kwa sababu nimeongelea state of legally being an MP, lakini not the state of not being MP legally, ambayo ungeisaidia sana hii forum kama ungajaza hiyo blank badala ya kujaribu kuniwekea maneno mdomoni ya illegally ambayo sikuyasema.

- Na I stand to what I said, kwamaba Dr. Malecela, legally amekuwa mbunge kuanzia 1975, sasa kwa msomi yoyote mwenye kuona mbali kielimu as you guys claim to be mlipaswa kutafuta namna ya ku-fill in the blank, sikuwa mjinga kutokugusua state of what he was alipokuwa waziri wa nje kwa sababu sikuwa na words to fit the ishu, ndio maana nikaacha blank, sasa fill in tuelimishe what was he? Badala ya kujaribu hizi gotcha games.

Ahsanteni Tena.
 
Wakuu haina haja ua ku complicate kuhusu hilo la "Legally" Ni wazi alikuwa akicompare sheria za wakati ule na sasa na ukifanya comparison unaweaza kutumia lugha aliyoitumia during explanation kwamba legally(baada ya mabadiliko ya kisheria) huwezi kuwa waziri kama si mbunge,kwa standard za sasa ni illegal licha ya kwamba haikuwa illegal kwa wakati huo(before 1990) kuwa waziri hata kama wewe si mbunge.
Kwahiyo comparison wise ni illegal,lakini referencewise siyo kwani sheria za wakati huo ziliruhusu kuingia bungeni na kushiriki bila kuwa mbunge,hivyo mjadala usije ukabadilika na kupoteza meaning kwasababu tu ya makosa madogo madogo....Najuwa wengine tuna mu hold ndugu yetu Malecela on high standards kama tunavyofanya kwa members wengine hapa ambao ni watumishi wa jamii in one way or another ie Dk Slaa, and Zitto,hata hivyo ni muhimu tuka concentrate kwenye hoja especially kama tumeweza kuelewa kuwa ni kosa dogo tu la kimatamshi.
 
Last edited:
- Again ya kaulimtu ni misguided, misinformed, igonarnce, au misplaced na it could be all the above, kwa sababu nimeongelea state of legally being an MP, lakini not the state of not being MP legally, ambayo ungeisaidia sana hii forum kama ungajaza hiyo blank badala ya kujaribu kuniwekea maneno mdomoni ya illegally ambayo sikuyasema.

- Na I stand to what I said, kwamaba Dr. Malecela, legally amekuwa mbunge kuanzia 1975, sasa kwa msomi yoyote mwenye kuona mbali kielimu as you guys claim to be mlipaswa kutafuta namna ya ku-fill in the blank, sikuwa mjinga kutokugusua state of what he was alipokuwa waziri wa nje kwa sababu sikuwa na words to fit the ishu, ndio maana nikaacha blank, sasa fill in tuelimishe what was he? Badala ya kujaribu hizi gotcha games.

Ahsanteni Tena.

Amekuwa mbunge legally kuanzia 1975, alikuwa mbunge illegally lini? na kama hajawahi kuwa mbunge illegally kwa nini useme legally amekuwa mbunge kutoka 1975?

Mtu amabaye kaingia Marekani illegally 1980, akaja kupata legal status 1990, na ameishi Marekani miaka yote kuanzia 1980, ananaweza kusema "legally nimeishi marekani kuanzia 1990"

Kwa mtu amabaye amekuja Marekani legally na kuishi legally kuanzia 1990, akisema "legally nimeishi Marekani kuanzia 1990" watu watamuuliza kabla ya hapo ulikuwa unaishi illegally?"

Thats my point, kama Malecela amekuwa mbunge legally kuanzia 1975, kabla ya hapo alikuwa mbunge illegally?
 
Wakuu haina haja ua ku complicate kuhusu hilo la "Legally" Ni wazi alikuwa akicompare sheria za wakati ule na sasa na ukifanya comparison unaweaza kutumia lugha aliyoitumia during explanation kwamba legally(baada ya mabadiliko ya kisheria) huwezi kuwa waziri kama si mbunge,kwa standard za sasa ni illegal licha ya kwamba haikuwa illegal kwa wakati huo(before 1975) kuwa waziri hata kama wewe si mbunge.
Kwahiyo comparison wise ni illegaly,lakini referencewise siyo kwani sheria za wakati huo ziliruhusu,hivyo mjadala usije ukabadilika na kupoteza meaning kwasababu tu ya makosa madogo madogo....Najuwa wengine tuna mu hold ndugu yetu Malecela on high standards kama tunavyofanya kwa members wengine hapa ambao ni watumishi wa jamii in one way or another ie Dk Slaa, and Zitto,hata hivyo ni muhimu tuka concentrate kwenye hoja especially kama tumeweza kuelewa kuwa ni kosa dogo tu la kimatamshi.

Hapa ndiyo hamna kitu kabisa.
 
Ukiyataja ya legally umeyataja ya illegally by induction, hizi ni pande mbili za sarafu ile ile. Tanzania tuna watu wabunge, na wengine si wabunge, hatuna wabunge legal, kuwa mbunge maana yake ni kwamba uko legal kwa hiyo mbunge legal ni an unnecessary and confusing misnomer. Either mbunge, au si mbunge.Ukitaka kumleta mbunge legal basi hapo hapo umemuonyesha kwamba anawezekana kuwepo mbunge illegal.

- Incredible! wagombea ubunge wawili wakipelekana kwenye sheria kwa sababu mmoja haridhiki na ushindi wa mwingine, ni wajibu wa mahakama kutangaza rasmi kwamba legally mmojawao ndiye mbunge anayetambuliwa rasmi. Sasa how do you explain that mkuu?

William
 
Back
Top Bottom