Malecela and Dr. Salim - Into Oblivion?

Bi. Senti 50 nimeangalia maneno yako na wasiwasi walioonesha wakongwe wengine hapa. Nikuhakikishie kuwa hakuna mtu anayeogopwa hapa au kupendelewa. Hoja hujibiwa kwa hoja, na hoja zilizojaa matusi au zinazolazimishwa kwa matusi tunazipangua kila kukicha. So, zungumza ukijua ya kuwa hautakuwa peke yako na hakuna mtu ambaye ni mkubwa kuliko hii forum. Heshima ya Forum hii ni paramount! keep up the good work!
 
Bi Senti 50,

Ogopa hao wanaotuma PM, wanakuwa na yao. Ukiwasikiliza sana wataanza kugeuza mazungumzo.

Wanamuonea bure mzee ES kwani hatishi hivyo. Angelikuwa anatisha
wala tusingelikuwa tunamtafuta akipotea.
 
asante kwa kunitoa woga, maana nilivyotishwa jana hata sina hamu. Watu wanaweza kumpa mtu ugonjwa wa moyo kimzaha mzaha. Anyway, hivi Malecela mwenyewe au Salim, wanaweza kujivunia rekodi yeyote wakiwa watumishi wa Jamhuri ya Muungano?
 
Guys...sometimes it's good to have fun...
Nothing was meant to be serious...Most of the comments were made only half in jest
 
Bwana Zero/Bi Centi 50/Mzalendo halisi/Hasara/Halisi/Mtumwitu/Jemba Jemba/Mwana-CCM/Mama Lao/Bigman.

Ninaomba nikujibu kama ulivyoomba, ni kwamba serikali ya Muungwana haijamaliza hata mwaka, kwa hiyo kwangu kuisakama ni kwa yale tu yaliyojitokeza katika kipindi cha mwaka mmoja, na cha muhimu ni Richimond, pia ninamsakama kwa ajili ya kutowafikisha kwenye sheria waliohusika na mikataba ya IPTL na Radar, otherwise bado ninampa nafasi zaidi ya kutawala kwa angalau miaka mitano ndio nimpe hukumu yangu, lakini in the meantime nitaendelea kumsakama kwa yaliyofanyika katika mwaka wake mmoja wa madaraka, ndio maana nilizilalia macho data za Richmond na zote ninazo, na nilishazifikisha zinapotakiwa!

Now, ngoja niguse subject ambayo ninatakiwa sana na wananchi hapa, ya kichwa cha hii mada, ninaamini kuwa imeletwa hapa na Mzee MMJ, ikiwa ni hasira ya kuguswa kwa Mheshimiwa Freeman, na bwana Wooh, kwa sababu siku zote Malecela ni mmoja wa viongozi ambao huwa ninawatetea kuwa ni safi, na mfano bora kwa taifa letu, yaani waliolitumikia taifa letu kwa karibu maisha yao yote kwa jasho na damu, na taifa letu kwa kuheshimu hilo limeamua kisheria, kumtunza kwa hali na mali mpaka atakapoitwa na muuumbwa wake, hiyo ni heshima kubwa sana kwa taifa letu, kama alivyosema Dr. Kaunda alipokuja siku ya kumsimika urais Muungwana!

Sasa labda nijaribu kuwalinganisha Dr. Malecela na Mheshimiwa Freeman, mwenyekiti wa Chadema, kuanzia na CV zao, na mambo yote waliyoyafanyia taifa letu ili kuona kama kuna ukaribu wowote wa kuwahusisha kila anapoguswa Mheshimiwa Freeman, kwa kweli ningeomba msaada wako kuiweka CV ya Mheshimiwa Freeman, ambayo sina ila nitajitahidi kuitafuta, na pia za viongozi wote wa upinzani na nitaziweka hapa, ili tuone ukweli wa mambo, na baadaye tutahamia kwenye legacy zao kwa taifa letu kisiasa, na hasa kiuongozi, baada ya kumaliza hii post nitaanza kuyashughulikia hayo, na nitaendelea na hizo series, pole pole sina haraka, unajua niko vacation kwenye visiwa lakini inabidi niwatumikie wananchi hapa ambao huwa hawa-get enough of my political views na vigongo pia, maana sasa pm yangu huwa imejaa kila siku wakitaka more, sina noma nitawapatia tu wananchi!

Sasa kuhusu, chanzo cha hiii drama, DR. WHO amesema maneno yake au maoni yake kufuatia kauli ya Mheshimiwa Freeman, kuwa afadhali kuwa chini ya mokoloni kuliko kutawaliwa na serikali iliyochaguliwa kwa kura za wananchi Asilimia 80%, against Aslimia 9& za chama cha Freeman!

Sikubaliani na matusi yaliyoambatana na hoja za Wooh, lakini ninaheshimu msimamo wa kusimama mbele ya forum ya Chadema na Freeman, na kusema ukweli, in fact Wooh alitakiwa kuihoji kauli tu bila matusi, na wenye forum walitakiwa kuyafuta matusi na kuacha hoja ili zijibiwe kama zilivyotolewa na Wooh, na ndio kilichonivuta pamoja na kuwa kwenye mapumziko mazito huku kwenye bahari, kilichonitisha ni kutolewa kwa ile topic, mpaka leo bado sija-recover na ule mshituko, sikutegemea hata siku moja this forum itakuwa capable wa kufanya kitu cha ovyo kama kile, na sidhani kama nitakuja ku-recover tena na ule mshituko, na maneno yako Mzee Zero, lakini pia ninaheshimu sentesi yako moja kuwa "...nani aliyekuambia kuwa hii forum ni ya wananchi, au una haki na hii forum?.....", kwangu hayo maneno yalikuwa ni deep!

Kwako Mheshimiwa Freeman, ninaamini kiongozi wa siasa wa nafasi kama yako, huwa ana washauri wa kumshauri cha kusema katika siasa hasa hadharani, kwa kweli ningekuomba uwafukuze kazi hao washauri wako ndugu yangu, kweli wabongo sisi ni wajinga kisiasa, lakini sio mpaka kwenye line za kutokujua faida na hasara za kutawaliwa na mkoloni, au wananchi wenzetu ambao huwa tunawachagua kwa ridhaa zetu wenyewe tukiwa huru bila ya kutishiwa bunduki!

......Itaendelea..........
 
Patamu hapa....mi nasubiri uhondo na vigongo zaidi...
Pole na mshituko ulioupata kutokana na kufutwa kwa ile topic...
 
Kama nilivyoahidi kuwa tutajaribu kuyaangalia haya mambo kwa karibu zaidi ili tuelimishane kisiasa kuhusu ukweli uko wapi, kwa viongozi wetu wa Tanzania!

John Malecela
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
John Samuel Malecela

--------------------------------------------------------------------------------

7th Prime Minister of Tanzania
In office
November 9, 1990 – December 7, 1994
President Ali Hassan Mwinyi
Preceded by Joseph Sinde Warioba
Succeeded by Cleopa David Msuya

--------------------------------------------------------------------------------

Born 1934
Dodoma, Tanzania
Political party Chama cha Mapinduzi
John Samuel Malecela (born 1934) in Bugiri Dodoma, was Prime Minister of Tanzania from 1990-11-09–1994-12-07. He was born in Bugiri, Dodoma. He is currently vice-chairman of the CCM, and a member of the CCM Central Committee.


[edit] Education
Secondary Education - Minaki secondary school 1957-1958
Bachelor of Commerce - Bombay University 1958-1959
Post Graduate Studies - Cambridge University 1961-1962
Ph.D. Honoris Causa (Humanities) - University of Texas 1977

[edit] Positions Held
Tanzania Permanent Representative to the United Nations - 1964-1966
Tanzanian Ambassador to Ethiopia and the OAU - 1967
Minister of Foreign Affairs - 1972-1973
Communication and Transport - 1973-1974
Mineral Resources and Agriculture 1975-1975
Minister in the East African Community - 1975-1976
Regional Commissioner of Iringa - 1980-1984
Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
Prime Minister and First Vice President 1990-1994
Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to date
Member of Parliament for Mtera - 1990 to date
 
Mzee Nyani,

ahsante mkuu wangu, ila mshituko bado upo pale pale itachukua muda kuondoka,

Back to the ishu, Mheshimiwa Freeman, ninaelewa matatizo yote tuliyonayo wa-Tanzania kiuongozi na kisiasa, lakini uhuru tulionao wabongo, unapita matatizo yote kwa maoni yangu bro, hasa kwa sisi wananchi tuliosoma bure enzi za Mwalimu, na ambao bado tutakuwepo for the next at least 50 years, ndio maana huwa ninasema kuwa upinzani itapata madaraka kwa mtaji wa siasa tulionao sasa hivi labda baada ya hiyo miaka 50, ambapo generation mpya itachukua ujiko, lakini until then wananchi tutaendelea kumkumbuka Mwalimu, na kina Chifu Mkwawa, Kinjekitile, na kina Chifu Marealle, kwa kazi kubwa walioifanya kumuondoa mkoloni, kazi ya Baba wa taifa haikuwa ya bure, na kwa wale ambao tumewahi kuishi majuu tunaelewa kwa makini maana ya kuwa chini ya wa mkoloni, ndugu yangu nimenyanyaswa sana nikiwa melini Greece, na Belgium, huko US ndio kabisaa siwezi hata kusema, leo eti ninaweza kuwatamani wale wamanga na wa-flemmish waje wanitawale bongo, over wabongo wenzangu kina Muuungwana?

....Itaendelea............
 
.....Inaendelea.......!

First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type:
Constituent: Hai
Political Party: Chadema
Office Location:

Education

School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL

Employment History

Company Name Position From Date To Date
Bank of Tanzania Bank Officer - -

Member of parlament, 5 Years

Currently: Chairman Chadema
 
Mzee Nyani,

ahsante mkuu wangu, ila mshituko bado upo pale pale itachukua muda kuondoka,

Back to the ishu, Mheshimiwa Freeman, ninaelewa matatizo yote tuliyonayo wa-Tanzania kiuongozi na kisiasa, lakini uhuru tulionao wabongo, unapita matatizo yote kwa maoni yangu bro, hasa kwa sisi wananchi tuliosoma bure enzi za Mwalimu, na ambao bado tutakuwepo for the next at least 50 years, ndio maana huwa ninasema kuwa upinzani itapata madaraka kwa mtaji wa siasa tulionao sasa hivi labda baada ya hiyo miaka 50, ambapo generation mpya itachukua ujiko, lakini until then wananchi tutaendelea kumkumbuka Mwalimu, na kina Chifu Mkwawa, Kinjekitile, na kina Chifu Marealle, kwa kazi kubwa walioifanya kumuondoa mkoloni, kazi ya Baba wa taifa haikuwa ya bure, na kwa wale ambao tumewahi kuishi majuu tunaelewa kwa makini maana ya kuwa chini ya wa mkoloni, ndugu yangu nimenyanyaswa sana nikiwa melini Greece, na Belgium, huko US ndio kabisaa siwezi hata kusema, leo eti ninaweza kuwatamani wale wamanga na wa-flemmish waje wanitawale bongo, over wabongo wenzangu kina Muuungwana?

....Itaendelea............

Kheee! Kumbe babu umewahi kuwa baharia...duh!kweli umetokea mbali
 
.....Inaendelea........!

JINA : Ibrahim Haruna Lipumba

Mwenyekiti wa Taifa wa Civic United Front (CUF - Chama Cha Wananchi)
P.O. Box 10979
Dar es Salaam, Tanzania.
Tel. 255 (51) 860812, 255 (51) 861009
Fax 255 (51) 861010

E-mail: cuf@twiga.com, lipumba@homemail.com


MAENEO YA UTAALAM : International Trade and Finance, Macroeconomics, Development Economics and Agricultural Economics.


TAREHE YA KUZALIWA : June 06, 1952
KIJIJI : Ilolangulu
WILAYA : Tabora
MKOA : Tabora
NDOA : Nimeoa

ELIMU

Elimu ya Msingi
1959 - 62 : Swedish Free Mission Primary School, Sikonge
1962 - 66 : L.A Upper Primary School, Sikonge

Elimu ya Sekondari
1967 - 70 : Tabora Boys Secondary School
1971 - 72 : Pugu Secondary School


Elimu ya Chuo Kikuu
1973 - 77 : University of Dar es Salaam
1978 - 83 : Stanford University


SHAHADA

BA (Hon. Economics) University of Dar es Salaam 1976
MA (Economics) University of Dar es Salaam 1977
MA (Economics) Stanford University 1979
Phd (Economics) Stanford University 1983


UZOEFU WA UONGOZI NIKIWA MASOMONI.

Mweka Hazina - Umoja wa Vijana Tabora Boys Secondary School 1969 - 70
Mjumbe wa kamati ya Umoja wa Vijana - Pugu Secondary School 1970 - 71
Mwenyekiti - Umoja wa Vijana - Chuo Kikuu 1975 - 76.
Mwanzilishi na Rais wa Kwanza wa Stanford African Students Association (SASA), Stanford University; Stanford, California USA. 1978


KAZI

1976 - 77 Mkufunzi Msaidizi (T.A)
1977 - 83 Mhadhiri Msaidizi
1983 - 86 Mhadhiri
1986 - 89 Mhadhiri Mwandamizi
1989 - 93 Profesa Mshiriki
1991 - 93 Msaidizi wa Rais Mambo ya Uchumi
1993 - 95 Fulbright Visiting Professor, Williams College, Massachussets, United States of America.
1996 - 98 Senior Research Fellow, United Nations University, World Institute of Economic Research, Helsinki Finland.



.......Itaendelea..........!
 
Mzee ES,
Usipotoshe ukweli. Freeman alipoondoka Benki kuu alishiriki katika biashara na baba yake.
Matokeo ni kwamba Mbowe Hotel ikakarabatiwa na kuitwa Billicana. Na Billicana imefanikiwa sana kwa sababu ya vision na ideas alizokuwa nazo Freeman Mbowe. This is important to his CV. Baada ya kufanikisha Billicana akagombea ubunge Hai na kumshinda mgombea wa CCM. Huo ni ufanisi mwingine!
 
.......Inaendelea........!

From 1955 until 1963, Mrema attended primary and secondary education at Moshi, thereafter joining St.Patrick Teachers training college also in Moshi where he finished his Secondary education in 1965. In 1968 Mrema sat for the Cambridge University O-level exams, which he passed and was able to join the Kivukoni Political Education College, after which he was sent to Bulgaria for further training.


[edit] Government Positions Held
Mrema has been in the Tanzania Government, National Security Organisation and the CCM party since 1966, he held various positions including:

Rural Civics Teacher 1974-1980
Teacher at the National Security College 1980-1982
Assistant Deputy for National Security in the Dodoma Region 1982-1984
Chief Deputy for National Security in Dodoma Region 1983-1984
Chief Deputy for National Security in Shinyanga Region 1985-1987

[edit] Political career
Even though Mrema has contested every presidential election in Tanzania since the country instituted a multiparty system in the early 1990s, his political career started in 1985 when he tried to run for MP in his home district of Kilimanjaro. His candidacy was blocked by the High Court, and in 1987 he was officially announced as the winner after a lengthy appeals process. He was able to retain his seat in 1990 without stiff competition. The fact that he was an MP enabled the president to appoint him to various cabinet positions. From 1990 to 1995 Mrema held various cabinet and high level government positions:

Minister of Interior 1990-1994
Deputy Prime Minister (a position not in the Tanzanian Constitution) 1993-1994
Minister of Labour, Development and Sports 1994-1995
Mrema left CCM in 1995 and joined a new political party National Convention for Construction and Reform-Mageuzi. In the first multiparty election in 1995, he ran on the ticket of the National Convention for Construction and Reform-Mageuzi (NCCR-Mageuzi) party and won 27.77% of the vote. He finished third behind incumbent President Benjamin Mkapa of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and Ibrahim Lipumba of the Civic United Front (CUF), capturing 7.80% of the vote, this time on the ticket of the TLP. Running again as the TLP presidential candidate in the 14 December 2005 elections, Mrema was fourth out of ten candidates, winning 0.75% of the vote.



......Itaendelea............!
 
Mzee Jasusi,

Kwanza heshima yako mkuu, huo wasifu nimeutoa kwenye weekpedia, na pia nimewaomba wenye kuwa nao waulete hapa sina mpango wa kupotosha ukweli ndugu yangu,

Ndio maana nimesema mwenye nao aulete maana sina, na pia nitawaomba wataalamu wa kuweka picha humu fourm wanisaidie maana nina picha very interesting ambazo ninataka kuziambatanisha na hiii series,

Ahsante mkuu wangu, na heshima mbele!
 
Mzee ES,
Heshima kwako pia. Ndio maana tupo hapa kuelimishana. Ndiyo, historia ya Billicana ni historia ya ideas na visions za Freeman Mbowe. Huo ni wakati nilianza kumfahamu huyo kijana kama mtu ambaye anaona "things as they could be na kusema why not..?" Nilipenda hiyo spirit yake ya kuthubutu. To create things that others did not dare to. Kumbuka amejenga Billicana wakati wa hali ngumu ya uchumi Tanzania. Lakini alifanikiwa. Na akiendelea na moyo huo huo wa kuthubutu ndani ya Chadema basi tutaona maajabu katika siasa za Tanzania. Hata kama akina Mgongo2 na Dr WHO wataendelea kumtupia madongo.
 
Mzee Wangu Jasusi,

Tafadhali usiuharibu huu mjadala, ukaishia kufutwa sina jzba na mtu wala kiongozi yoyote, ninakuomba uulete wasifu wote wa Freeman au CV kama unayo, mimi pia nilimuona toka akiwa anasoma Ihungo blaza, kama una wasifu tafadhali ulete ndugu yangu tuache jazba!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom