Malecela and Dr. Salim - Into Oblivion?

inaoekana kuna njia moja tu ya kufind out, liwalo na liwe.

Dr. Salim - Bila ya shaka kabla ya Dr. Migiro Dr. Salim alikuwa ni mwanadiplomasia maarufu zaidi ambayo Tanzania imewahi kumtoa. Mchango wake Katika Baraza la Umoja wa Mataifa na utumishi wake kule OAU unajulikana. Hapa nyumbani hata hivyo, Dr. Salim alikuwa ni kama mtu wa hadithi, masimulizi mengi ya jinsi alivyojiendeleza mwenyewe kielimu na kuaminiwa na serikali yake akiwa na umri mdogo ni vitu vinavyojulika. Utumishi wake katika Jamhuri akiwa Waziri wa Ulinzi na Waziri Mkuu viliwafanya watu wengi waamini kuwa alikuwa ni kipenzi cha Mwalimu na bila ya shaka alikuwa anaandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri.

WAkati ulipofikia na mara moja alipoonesha nia ya kutaka kugombea na baadaye kugombea mchezo mchafu ulipikwa uliomhusisha Dr. Salim na mauaji ya Rais wa Zanzibar Bw. Karume na wengine kumshirikisha na chama cha Hizbu. Alipotokea kujitetea alikuwa amechelewa kwani the damage was already done. Kitendo cha Dr. Salim kushindwa kujitetea na kukemea mchezo mchafu aliochezewa kimemwacha akiwa hana interests na siasa za Tanzania na amebakia kuwa "mzungumzaji" katika medani za Kimataifa huku akiongoza taasisi ya Mwalimu. Kwa ujumla, Dr. Salim atakumbukwa kama mwanasiasa aliyefyata mkia na aliyekosa ujasiri wa kutetea hadhi na heshima yake na kuwaumbua wale wote waliofanikiwa kumwangusha kisiasa. Kwa ufupi, Dr. Salim ni failure wa kisiasa za nyumbani.

Dr. Malecela. Huyu kama Dr. Salim alikuwa ni kipenzi cha mwalimu na bila shaka alijitengenezea mtandao mkubwa wa wafuasi waaminifu. Kuchaguliwa kwake kwa kura nyingi ilidhihirisha mapenzi ya wanaCCM wengi kwake. Miaka yake ya Uwaziri na Uwaziri Mkuu haikumbukwi kwa kitu chochote muhimu au maamuzi yoyote ya kijasiri. Kosa kubwa alilolifanya na ambalo hadi leo limebakia kuwa doa ni kitendo cha kuruhusu hoja ya Tanganyika kuletwa Bungeni. Kitendo hicho na kile cha kuruhusu Tanzania kujiunga IOC kilimtibulia nafasi yoyote ya upendeleo aliyokuwa nayo kwa Mwalimu. Mwalimu alimkemea hadharani na tangu siku ile nyota yake katika uongozi wa kitaifa ilianza kuzima. Hata alipojaribu kuweka jina lake kwenye kugombea Urais alijikuta akipingwa wazi na Mwalimu na hata baadaye baada ya mwalimu kuondoka vyombo vya juu vya CCM vilimnyima kabisa nafasi. Inadaiwa mara ya mwisho baada ya jina lake kuenguliwa Dr. Malecela alitaka kukata rufaa. Dr. Malecela kama alivyofanya Dr. Salim alishindwa kufight back na kutetea rekodi yake au kusahihisha misemo yake ya kejeli aliyoitoa huko nyuma ambayo watanzania hadi hii leo hawajamsamehe. Ingawa wananchi wa jimbo lake wameendelea kuonesha imani kwake, kitaifa Malecela kama Salim ni failure wa kisiasa. Kilichobakia kwake ni kubeza na kukejeli wapinzani kwani ndani ya CCM hana ubavu wa kupata atakalo. Kwa ufupi, Dr. Malecela naye hatakumbukwa kwa makuu yoyote aliyoifanyia nchi yetu bali kwa atakumbukwa kama mwanasiasa aliyejitibulia mwenyewe na akalipa gharama kubwa ya kisiasa kwa kufanya hivyo.

so, into oblivion? jibu langu ni ndiyo mzee, ingawa wangeweza kukwepa.

Asanteni sana.
 
You missed the point Jokaa; Nyani, et al., had in mind. (Wow, look at those names! they send a chill over the spine, and yet..........)

But your contribution above is well deserved nevertheless.

I am still pulling those tissues whenever I remember your statement about 'dodging someone/thing in the dark, when everybody is dodging,' You need to 'patent' that before it is too late.
 
you are welcome! ila wakongwe hapa wakiwa wanaogopa mada fulani sisi wageni si tutakuwa tunapatwa na kigugumizi. Yaani sasa hivi nimekaa nachungulia kila baada ya dakika nione hilo "lisilosemwa"
 
you are welcome! ila wakongwe hapa wakiwa wanaogopa mada fulani sisi wageni si tutakuwa tunapatwa na kigugumizi. Yaani sasa hivi nimekaa nachungulia kila baada ya dakika nione hilo "lisilosemwa"

Keep fingers crossed Miss; but I think there is less danger now.
There was a 500 pound gorilla in the room, but I think he has disregarded that little tickling this time around. Go in peace.
 
inaoekana kuna njia moja tu ya kufind out, liwalo na liwe.

Dr. Salim - Bila ya shaka kabla ya Dr. Migiro Dr. Salim alikuwa ni mwanadiplomasia maarufu zaidi ambayo Tanzania imewahi kumtoa. Mchango wake Katika Baraza la Umoja wa Mataifa na utumishi wake kule OAU unajulikana. Hapa nyumbani hata hivyo, Dr. Salim alikuwa ni kama mtu wa hadithi, masimulizi mengi ya jinsi alivyojiendeleza mwenyewe kielimu na kuaminiwa na serikali yake akiwa na umri mdogo ni vitu vinavyojulika. Utumishi wake katika Jamhuri akiwa Waziri wa Ulinzi na Waziri Mkuu viliwafanya watu wengi waamini kuwa alikuwa ni kipenzi cha Mwalimu na bila ya shaka alikuwa anaandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri.

WAkati ulipofikia na mara moja alipoonesha nia ya kutaka kugombea na baadaye kugombea mchezo mchafu ulipikwa uliomhusisha Dr. Salim na mauaji ya Rais wa Zanzibar Bw. Karume na wengine kumshirikisha na chama cha Hizbu. Alipotokea kujitetea alikuwa amechelewa kwani the damage was already done. Kitendo cha Dr. Salim kushindwa kujitetea na kukemea mchezo mchafu aliochezewa kimemwacha akiwa hana interests na siasa za Tanzania na amebakia kuwa "mzungumzaji" katika medani za Kimataifa huku akiongoza taasisi ya Mwalimu. Kwa ujumla, Dr. Salim atakumbukwa kama mwanasiasa aliyefyata mkia na aliyekosa ujasiri wa kutetea hadhi na heshima yake na kuwaumbua wale wote waliofanikiwa kumwangusha kisiasa. Kwa ufupi, Dr. Salim ni failure wa kisiasa za nyumbani.

Dr. Malecela. Huyu kama Dr. Salim alikuwa ni kipenzi cha mwalimu na bila shaka alijitengenezea mtandao mkubwa wa wafuasi waaminifu. Kuchaguliwa kwake kwa kura nyingi ilidhihirisha mapenzi ya wanaCCM wengi kwake. Miaka yake ya Uwaziri na Uwaziri Mkuu haikumbukwi kwa kitu chochote muhimu au maamuzi yoyote ya kijasiri. Kosa kubwa alilolifanya na ambalo hadi leo limebakia kuwa doa ni kitendo cha kuruhusu hoja ya Tanganyika kuletwa Bungeni. Kitendo hicho na kile cha kuruhusu Tanzania kujiunga IOC kilimtibulia nafasi yoyote ya upendeleo aliyokuwa nayo kwa Mwalimu. Mwalimu alimkemea hadharani na tangu siku ile nyota yake katika uongozi wa kitaifa ilianza kuzima. Hata alipojaribu kuweka jina lake kwenye kugombea Urais alijikuta akipingwa wazi na Mwalimu na hata baadaye baada ya mwalimu kuondoka vyombo vya juu vya CCM vilimnyima kabisa nafasi. Inadaiwa mara ya mwisho baada ya jina lake kuenguliwa Dr. Malecela alitaka kukata rufaa. Dr. Malecela kama alivyofanya Dr. Salim alishindwa kufight back na kutetea rekodi yake au kusahihisha misemo yake ya kejeli aliyoitoa huko nyuma ambayo watanzania hadi hii leo hawajamsamehe. Ingawa wananchi wa jimbo lake wameendelea kuonesha imani kwake, kitaifa Malecela kama Salim ni failure wa kisiasa. Kilichobakia kwake ni kubeza na kukejeli wapinzani kwani ndani ya CCM hana ubavu wa kupata atakalo. Kwa ufupi, Dr. Malecela naye hatakumbukwa kwa makuu yoyote aliyoifanyia nchi yetu bali kwa atakumbukwa kama mwanasiasa aliyejitibulia mwenyewe na akalipa gharama kubwa ya kisiasa kwa kufanya hivyo.

so, into oblivion? jibu langu ni ndiyo mzee, ingawa wangeweza kukwepa.

Asanteni sana.

That might be it right there....that may activate the scud missiles...
 
Hii ni mbinu ya kumrudisha Mzee ES katika bunge hili tukutu...Acheni majaribuni wajameni. Mwenzenu yuko GYM anajiweka fresh kabla ya kuingia rasmi ulingoni.

Tanzanianjema
 
TanzaniaNjema,

Najua mzee ES ni muungwana na hashambulii akina dada, ndio maana
Bi senti 50 kapata ujasiri huo ambao jana alisema hana.

Chukua tano Bi Senti 50, ila jamaa akitoka huko, sisi wengine tutakaa kimya. Unaweza kumwongelea Dr. Salim utakavyo ila huyo mzee mwingine, inabidi uwe tayari umechimba mahandaki ili mabomu yasikufikie.
 
kwani arubaini ya marehemu lini vile? maana ikiisha tu kituo cha mwanzo hapa.

sasa nusu shilingi jitayarishe kama utakuwa pesa nane au shilingi kamili
 
TanzaniaNjema,

Najua mzee ES ni muungwana na hashambulii akina dada, ndio maana
Bi senti 50 kapata ujasiri huo ambao jana alisema hana.

Chukua tano Bi Senti 50, ila jamaa akitoka huko, sisi wengine tutakaa kimya. Unaweza kumwongelea Dr. Salim utakavyo ila huyo mzee mwingine, inabidi uwe tayari umechimba mahandaki ili mabomu yasikufikie.

Mbona munamtisha sana Bi thumuni? hebu muacheni awe huru kutoa hoja zake bila ya woga wowote. Huyu Mzee ES hana lolote lakumfaya atishe hapa kijiweni, acheni dasturi ya woga huo!!! hata hapa tunafanya woga kiasi hicho?

Lete vitu Bi Senti 50 mwanangu mpaka kieleweke
 
Mzee Admin,

shukrani kwa kuirudisha ile topic heshima mbele, sasa ngoja tusubiri siku Chadema na rais wetu mtarajiwa Freeman, watakaposhika nchi ili tuone haya ya forum,

Bi 50 centi na wenzako, uwezo wa kufuta post kama mliona sina, kwa hiyo siwezi kuwajibu ipasavyo maana mtafuta, kwa visingizio vingi ila I am glad kwamba finally, ukweli tumeuona kuhusu the powers za hii forum na what this forum is all about, tulianza kujionea kwenye ishu ya Zitto, wakali walipoanza kuwa mabubu,

Anyway Mungu ibariki bongo, wananchi wengi waliokata tamaa huwa wanakuja hapa kutafuta hope, Mungu Awabariki Wananchi, sikujua kuwa malalamiko yetu siku zote kwenye hii forum yamesababishwa na Salim na Malecela, sikujua kuwa IPTL, richmond, Radar zilinunuliwa na hawa viongozi wetu wawili wa zamani,

Mungu aibariki bongo yetu na wananchi wake, msimamo wangu siku zote ni ule ule sina haja ya kuurudia, anayetaka personal nipo, mimi sio Malecela kwa hiyo unaweza kumtukana tani yako, lakini ukinigusa Mzee Es nipo mkuu wangu hapa pembeni, otherwise siku njema wakuu! Maana wengi wetu tulikuwa tunakuja hapa kwa ajili ya serious business, lakini sasa tunajadili vipi siasa na watu wenye uwezo wa kufuta pots zetu na kuruhusu zao zisimame, na baada ya yale niliyoyaona jumamosi hapa nimekubali kunyooosha mikono, maana nilifikiri tatizo ni CCM na serikali yake lakini sasa ninajua better, kwa hiyo Mzee mike, kama yours ni ushujaa kama unavyojisifia na majina yako hayo mengi kwenye hiii topic, big up na way to go! ila ukinihitaki sipo mbali bro!

Mungu aibariki Bongo Yetu!
 
Mzee ES,

Heshima mbele!!

Kama kweli JK yuko honest kama watu wanavyotaka tumuone, mbona asiziibue scandle zote za nyuma kuanzia ITPL, Richmond, mikataba ya madini na the current one BOT na kuwaajibisha wahusika? Njisi anavyoihandle scandle ya BOT inaonyesha njinsi gani mambo yatakavyokuwa bada ya miaka kumi ya uongozi wake.

Watu wa BWM ambao walisemekana ni wala rushwa bado JK anawakumbatia na atawrudisha mmoja bada ya mwingine kwa kui-serve meli yake ambayo imeanza kuzama. Sasa hivi Ngasongwa yuko mipango, Mramba bado anapeta, the former AG ndiyo kwanza kapewa wizara yenye ulaji kuliko zote wakamtoa mchapa kazi Pombe Magufuri ambaye aliijua wizara na bajeti yake kichwani!!!
 
Mzee ES,

Mimi nilikuwa sijakusikia siku nyingi.Afadhali hii topic imeletwa tena maana nimejua wakuu bado mpo na mnasoma.

Mambo mengine ni porojo tu maana sio kila siku tutaongea serious issues.

Kazi njema.
 
ES,

Mike Mushi, aka Fillga hayumo tena kwenye hii forum, wala hana uwezo wa kufuta au ku edit maandishi ya watu. Nakosea ma Admins??

FD
 
Mzee ES,

Mimi nilikuwa sijakusikia siku nyingi.Afadhali hii topic imeletwa tena maana nimejua wakuu bado mpo na mnasoma.

Mambo mengine ni porojo tu maana sio kila siku tutaongea serious issues.

Kazi njema.

Pokea 5 Mtanzania!
Real life ni pamoja na utani, porojo, umbea nk. Think again- kama all the time tungekuwa tunafikiria very serious issues tu- life would be very boring!
JF ni wanadamu kama watu wengine- or are JF members unique? Haha haha ha!!
Have fun an tusonge mbele!
 
Pokea 5 Mtanzania!
Real life ni pamoja na utani, porojo, umbea nk. Think again- kama all the time tungekuwa tunafikiria very serious issues tu- life would be very boring!
JF ni wanadamu kama watu wengine- or are JF members unique? Haha haha ha!!
Have fun an tusonge mbele!

Bila shaka tunao au tupo wala rushwa wakubwa na mafisadi wa kutupwa humu, ambao wakipewa madaraka leo akina Billali itakuwa ni mchezo wa kuigiza.
Wakiwa (tukiwa) humu JF utadhani wao (sisi) wanauchungu kweli na nchi ile, kama akina Kikwete walivyotuhadaa kuwa wanao huo uchungu.

Ni mchezo wa 'pata potea.'
 
siyo kusudio langu kumuudhi mtu yeyote, na kuna mtu amenitumia PM ya kunionya kwanini nisimjadili mtu fulani ama sivyo nitatukanwa. Naomba niombe radhi mapema kuwa sikumaanisha jambo lolote baya kwa kuwajadili watu hawa wawili.

asante
 
Bi. Senti 50, Tumekusikia...itabidi tuliundie TUME hilo suala. Nasikitika kuwa ripoti yake itakuwa siri kwa sababu za kiusalama. kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom