Malaysian firm picked to produce Tanzania National IDs

ni nchi ya kitu kidooogoo
ni nchi ya watu wadoogooo
ukitaka chai wewe kaka nunua tatepa

ukitaka pesa wee kaka
fanya serikaliiini
Kaka kama sikosei hili dili Masha litakuwa limemtoa pia.
 
I am sure there is going to be some IPTL like ugly Malaysian shady deal somewhere there.

Huwezi kusikia Mtanzania anampa deal kama hili Mswidi, utasikia character za ajabu tu, mara Mfilipino, mara Muhindi, mara Mmalay.

I am sorry, not to be biased, but I can't help letting our track record guide me to skepticism.

Si bure.
 
I am sure there is going to be some IPTL like ugly Malaysian shady deal somewhere there.

Huwezi kusikia Mtanzania anampa deal kama hili Mswidi, utasikia character za ajabu tu, mara Mfilipino, mara Muhindi, mara Mmalay.

I am sorry, not to be biased, but I can't help letting our track record guide me to skepticism.

Si bure.
Mkuu i am also skeptic nikiangalia background of our shady deals
 
Huwezi kusikia Mtanzania anampa deal kama hili Mswidi, utasikia character za ajabu tu, mara Mfilipino, mara Muhindi, mara Mmalay.
Kwa nini Mfilipino, Muhindi na Mmalay ni "character za ajabu"?
 
Tataizo la serikali na watendaji wetu ni kufanya kazi na maamuzi amabyo yanaweza kuwa ni mazuri lakini hayana tija. SIina data za hiyo kampuni but nachojua serikali yetu ina some system ambazo nyingine zinafanya dublication ya kazi zinazofanyika na system nyingine au ni kama redundant.

Tunasema hatuna fedha lakini hatungalii namna kutumia mapesa kuua ndege wawili. kwa jiwe moja

Kwangu noana kuna some system zinatakiwa ziwe intergrated kupunguza gharama na kurahisha management. Hata kama ni subsyetms mbili tofauti kuna integration inatakiwa ili hii miradi iwe ya faida na usiwe mzigo.

Mfano ni Kitambulisho na daftari la mpiga kura na Natiaonal idenity.
Au kwa nini huu mradi usingefanyika chini ya mradi wa Paassport kwamba Kila mtanzania awe na pssport kama Nationa Id.

Sielwi kwa nn tuwe na separate unrelated systems ambazo zinafaya kazi zile zile .Wataalam wa IT wataelewa namaanisha nini

Seriakli ina miradi zaidi ya mitatu tofauti tena isyoingiliana ya vitambulisho . Why??????

Miaka michache utasikia wizara ya ardhi watakuja na mradi residence database.
 
Hakuna lolote bali ni ubabaishaji. Talk about smart card hivi ni nchi ngapi duniani zinatoa smart card kama vitambulisho? Sipingi tuwe na vitambulisho lakini hii ni beyond reason kama kweli tunahitaji aina hiyo ya technology kwa nini tuwalipe Mafedhuli tena kwa kipindi cha miaka mitano tu fedha zote hizo then what? Technology ya kuweka chip kama kwenye credit card etc, haiwezi kuwa ghali kiasi hicho kama kweli serikali ina nia ya kuwasaidia Watanzania kuondokana na wageni kutafuna keki ya taifa tena bila kunawa mikono.

Inakuwaje fedha nyingi namna hii kutumiwa kuwanufaisha makuwadi wa nje. Je kama tukiwa na technologia ya namna hii sisi wenyewe itatugharimu kiasi gani? Je kwa nini tusiweze wenyewe kufanya hii shughuli na tunapenda kila wakati kuzipa faida nchi za wenzetu then tunalalamika hatuendelei. Ni wakati wa kupinga swala hili na kufanyika within our own country this technology can be bought na tuweze wenyewe kutengeneza plastic cards bila mkwaruzo. Nina uhakika kabisa haiwezi kuzidi hata $1 kwa sababu hutengenezi kidogo bali volume ndio inakupa faida hawa Mafisadi wanataka kutengeneza faida kwa kila card absolutely pathetic.


BTW kumbukeni Credit Cards zinatumia same type of technology na haziuzwi kwa bei mbaya kiasi hicho - kitu kitakachoongezwa ni picha pamoja na finger prints etc.
 
Kwa nini Mfilipino, Muhindi na Mmalay ni "character za ajabu"?

TICTS (MFilipino) , RITES (Mhindi), IPTL (Mmalay) .

Just based on recent history and track record like I have said before.

Tutakuja kusikia baada ya miaka michache uchafu unaoendelea, by then it will be too late.

Ningeweza kutaka kuwa politically correct and all that, lakini nikasema that's just not me.
 
On my behalf it sounds reasonable. Hata mi nilifanya mahesabu kama yako mara ya kwanza.

Ipo reasonable kwa nani? Mtu asiyeweza ku-afford $1.00 kwa siku? You must be joking!

Hii nchi ina vioja tumeshindwa kuchapisha pesa zetu wenyewe na sasa tunashindwa hata kuchapisha vitambulisho na bado tunashindwa kuwa na uongozi madhubuti ambao unaweza kusimama na kusema hapa tunafanya kwa maslahi ya Watanzania na sio matumbo yao. Vile vile ukitaka kujua huo ni mradi wa kifisadi angalia wanaongelea busu ya raia wa Tanzania ambao baada ya miaka mitano watakuwa karibu 50 million huoni hapa tunapozwa kwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia? Watanzania wataendelea kufa pamoja na wengine kuzaliwa sasa kwa nini tuwe na zima moto style ya vitambulisho? je, ni nani walengwa? raia wanaoingia kutoka EAC countries pamoja na wageni? Wanataka kujihalalisha wao ni Watanzania?
 
Lakini sio waje kuzigawa kama njugu, watapata wakenya na wanigeria na sio watanzania
laana ya kufisadiwa bado ipo

Uliza kwanza utaratibu wa kumtambua na kumsajiri raia wa Tanzania utapitia mchakato gani? Badala ya kuanza kudhania tofauti.
 
TICTS (MFilipino) , RITES (Mhindi), IPTL (Mmalay) .

Just based on recent history and track record like I have said before.

Tutakuja kusikia baada ya miaka michache uchafu unaoendelea, by then it will be too late.

Ningeweza kutaka kuwa politically correct and all that, lakini nikasema that's just not me.
Kiranga ukiongelea RITES nasikia hasira kweli.
 
Kiranga ukiongelea RITES nasikia hasira kweli.

Hao Rites hata kabla ya mkataba wao kuwepo tulipiga kelele hapa lakini Waziri pamoja na Kikwete waliziba masiko, pamoja na kampuni ya simu walipowauzia Canadians tukawaambia lakini wapi hii serikali ya m k w e r e bure kabisa.
 
I am sure there is going to be some IPTL like ugly Malaysian shady deal somewhere there.

Huwezi kusikia Mtanzania anampa deal kama hili Mswidi, utasikia character za ajabu tu, mara Mfilipino, mara Muhindi, mara Mmalay.

I am sorry, not to be biased, but I can't help letting our track record guide me to skepticism.

Si bure.
Hao wenyewe wajinga kuliko hata sisi, mi nashangaa sijui ni alhaji waziri wa ndani katoa kwa mamwinyi wenzake wa malaysia, hawa wako nyuma sana.
miaka iliyopita ilitolewa oda nyingine ya ku boost in electronic system DSE, na eti kampuni iliyopewa ni ya Sri Lanka, jamani jamani hawa jamaa tumewaacha mbali sana, bora hata ingetafutwa tume ya wasomi wa ndani wapewe fedha na vifaaa wapige kazi, ikibidi wamkodi mtaalamu kutoka Ulaya, Japan, Usa au nchi za juu zozote.
Huu ni wizi kwani wa asia ni wazuri kwa kutoa chochote kwa mkubwa!
 
That part of NIDA giving $9 million to Gotham International sounds fishy! We give NIDA a job to do and they simply hire someone else to do it, at our cost!

Kuna upuuzi hapa. Kwanini NIDA wapo kama sio wenyewe wanasimamia? Mie nadhani tumelizwa tena na mafisadi.
Kuna wakati Rostam alikwenda kutafuta wawekezaji katika usafiri wa anga...Nafikiri sasa amepatikana mwekezaji wa kusafirisha fedha za watanzania kwa njia ya angani!

Wajemeni ilitoka hapa kuwa jama amekamatwa huko Malaysia..lakini alikwenda kumtafuta Mwenye mitambo ya Dowans! Aliporudi tu, yule Mmiliki wa Mitambo alijitokeza lakini alikataa asipigwe picha!

Sasa kampuni ya Malaysia imeshinda Tender!!????
 
Taarifa nilizozipata ni kuwa Mkataba umesainiwa tarehe 21.04.2011 ktk Wizara ya Fedha.
 
Hakuna lolote bali ni ubabaishaji. Talk about smart card hivi ni nchi ngapi duniani zinatoa smart card kama vitambulisho? Sipingi tuwe na vitambulisho lakini hii ni beyond reason kama kweli tunahitaji aina hiyo ya technology kwa nini tuwalipe Mafedhuli tena kwa kipindi cha miaka mitano tu fedha zote hizo then what? Technology ya kuweka chip kama kwenye credit card etc, haiwezi kuwa ghali kiasi hicho kama kweli serikali ina nia ya kuwasaidia Watanzania kuondokana na wageni kutafuna keki ya taifa tena bila kunawa mikono.

Inakuwaje fedha nyingi namna hii kutumiwa kuwanufaisha makuwadi wa nje. Je kama tukiwa na technologia ya namna hii sisi wenyewe itatugharimu kiasi gani? Je kwa nini tusiweze wenyewe kufanya hii shughuli na tunapenda kila wakati kuzipa faida nchi za wenzetu then tunalalamika hatuendelei. Ni wakati wa kupinga swala hili na kufanyika within our own country this technology can be bought na tuweze wenyewe kutengeneza plastic cards bila mkwaruzo. Nina uhakika kabisa haiwezi kuzidi hata $1 kwa sababu hutengenezi kidogo bali volume ndio inakupa faida hawa Mafisadi wanataka kutengeneza faida kwa kila card absolutely pathetic.


BTW kumbukeni Credit Cards zinatumia same type of technology na haziuzwi kwa bei mbaya kiasi hicho - kitu kitakachoongezwa ni picha pamoja na finger prints etc.

Inabidi usome kwanza kidogo kuhusu Smart Card Technology na ndipo utaelewa tofauti, halafu Tender ilitolewa kwa watu wote , hayo makampuni yako ya Tanzania hakuna mwenye hiyo Technology, walikuwa wanalazimisha BarCode Technology ambayo imepitwa na wakati , sio kwa kua Nchi nyingi hazitumii SmartCard na sisi tufuate mfumo huo huo, Marekani bado most of the Fortune 500 Companies zinatumia Mainframe Technology na hawana mpango wa kuziacha maana ubadilishaji wake unahitaji Hela na Resources nyingi sana wanafanya tuu Maintanance lakini , kampuni Mpya zikiiianza hazianzi na Mainframe technology kwa kuwa watu wengine wanatumia, Tanzania hivyo hivyo Haitakiwi Ianze na the BarCode Technology kwakuwa hata Marekani bado wanazitumia huko ni kurudi nyuma, tumepata fursa ya kuanza mradi umeanzishwa kwa Technologia ya sasa
 
Wacha1,
Nilipokuwa naanza kusoma ulichokiandika nikadhani utatupa taarifa nzuri ambazo tutachangia vizuri, lakini nilipoendelea kusoma ulichoandika nikaona upuuzi mkubwa sana. Kwanini unajifanya unaelewa mradi huu wakati ni mbumbumbu kabisa?
Kuna ubabaishaji gani ktk mradi huu? Umefanya utafiti na kujua ni nchi ngapi zinatoa Vitambulisho vya Technology ya Smart Card? Je, unajua kwanini wanatumia Technology hiyo? Hivi unajua Contractor anakuja kufanya nini? Unajua gharama ya Credit Card? Leseni za kuendeshea magari huko nyumbani unajua zinauzwa kiasi gani? Ni nani aliyekwambia kuwa Vitambulisho vya Taifa vitauzwa? Na bei gani? Unasema tena bila aibu kuwa tunaweza kutengeneza Vitambulisho vya Plastic, are you real serious? Acheni ujinga ktk mambo muhimu ya maendeleo ya nchi.
 
Hiki ni kipaumbele chetu cha kwanza?

Ebu waulize usikie wanavyotetea vitambulisho utadhani vitaboresha maisha yetu. Kwanini tupewe Smart Card technology?, wangempa mpiga chapa wa serikali tukatengenezea kitu simple ambacho ndiyo size yetu!

Ndiyo maana wakati wa kununua magari wanachagua V8 ni kwasababu ya hii tabia ya kupenda vitu vya kifahari, Viongozi wetu wameishalowea kwenye mambo ya kifahari...!

Utasikia " Hata Japan wanatumia vitambulisho kama hivi...!"
 
Kuna mbumbumbu mwingine anasema eti kwanini mradi wa Vitambulisho usiwe chini ya Passport? are you serious with what you talking about? Passport ni kwa ajiri ya kusafiria tu. Driving License ni kwa ajiri ya kuendeshea magari tu. Voters card ni kwa ajiri ya kupigia kura tu. National Identity Card ni kwa ajiri ya Utambuzi wa utaifa wa mtanzania. Kuweni makini na munachosema, kama huna uhakika ni vizuri uulize kuliko kujifanya bingwa wa maneno yasiyokuwa kuwa ya kweli na ya maana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom