Uhakaba ndiyo nini? Hao mahakaba wa Malawi ni wazungu?
Amandla.......
Endelea na dhana...Mkuu sidhani kama kuna uhusiano wowote wa uhalalishaji na UKIMWI...
Mkuu habari za UKIMWI unasubiri data ndo uamini kuwa watu wanateketea?Unaongea kwa kiimani au unaongea kwa kutumia data?
We bana nawe kwani nani hapo juu kakataa ukimwi haupo? Hapa ishu ni Kuhalalisha Ukahaba na Kuongezeka kwa Ukimwi! Lete data ya Nchi ambazo wamehalalisha Ukahaba kwa kutengewa sehemu na kutambuliwa na then compare na nchi ambazo zinapiga marufuku ukahaba....wapi maambukizi ya ukimwi ni makubwa!Endelea na dhana...
Mkuu habari za UKIMWI unasubiri data ndo uamini kuwa watu wanateketea?
Tazama kwa mujibu taarifa zilizotolewa baada ya utafiti wa mwisho wa kugundua chanjo ya UKIMWI,uliofanywa kati ya serikali ya Marekani na Thailand...mbao umefanikiwa kugundua chanjo inayoweza kukinga kwa asilimia 31 tu...wametoa takwimu zao wanasema, kiasi ya watu 2.7 milioni wanaambukizwa UKiMWI kila mwaka..kati ya idadi hiyo...1.5 milioni ni maambukizo kutoka Afrika (kwasababu tofauti)...kwa takwimu hizo...wanasema kuwa ni wastani wa watu 7500 wanaombukizwa kila siku...ndugu UKIMWI upo na nchi ambazo zina mporomoko mkubwa wa maadili ndo zinachukuwa asilimia kubwa ya takwimu za hapo juu.Upo!
Naona unawaza kibilisi bilisi tu.We bana nawe kwani nani hapo juu kakataa ukimwi haupo? Hapa ishu ni Kuhalalisha Ukahaba na Kuongezeka kwa Ukimwi! Lete data ya Nchi ambazo wamehalalisha Ukahaba kwa kutengewa sehemu na kutambuliwa na then compare na nchi ambazo zinapiga marufuku ukahaba....wapi maambukizi ya ukimwi ni makubwa!
Naona unawaza kibilisi bilisi tu.
Eti ndo Great Thinker huyu....!!!!Mkuu vipi umeishiwa point? Tumekupa mifano kuwa Uholanzi, Ubelgiji, Norway, hata huko Thailand na Marekani wameruhusu ukahaba .....
Kwa mfano ukienda Red Light Uholanzi kununua malaya na ukakataa kutumia kondom utashitakiwa na una weza kukuta unatumikia kifungo, Huoni kama tutakuwa na sheria kama hii tutawalinda makahaba na wateja wao?
Huna hoja wewe! hapa hatupo kwenye kona ya mipasho!Eti ndo Great Thinker huyu....!!!!
Kamanda, taratibu haya mambo yapo na yataendelea kuwepo. Kama uyapendi jaribu kutafuta njia muafaka ya kuyakemea...Naona unawaza kibilisi bilisi tu.