CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
malawi baada ya kukoswakoswa wao wamepiga marufuku safari za viongozi wao nje ya nchi, hii ni ili wabane matumizi, vipi bongo? Inawezekana? Make christopher columba anazidi kudiscover dunia
utapinga safari za nje wakati nchi yako inategemea kuomba misaada!. Mwambie kikwete apige simu kwa obama aombe $300 million kama atapewa!. Misaada inataka uwe na business case ukweli ni kwamba kama nchi yako inategemea misaaada basi itabidi usafiri hakuna njia!. Hivyo kupinga kusafiri ni kutokujua nchi yetu inaendeleaje kuanzia kwenye afya, elimu, mazingira ni misaada tu. Sijui nchi nyingine lakini hapa usa uje na sababu za kupewa msaada!!!. Malawi sio nchi ya kuiga ni pwagu na pwaguzi!
tanzania hali yetu kiuchumi mbaya, lakini ya malawi sijui nitumie maneno gani - it is very bad. Wa mutharika na uprofesa wake amekuwa kituko. He has thrown that country to the dogs!
Utapinga safari za nje wakati nchi yako inategemea kuomba misaada!. Mwambie Kikwete apige simu kwa obama aombe $300 Million kama atapewa!. Misaada inataka uwe na business case ukweli ni kwamba kama nchi yako inategemea misaaada basi itabidi usafiri hakuna njia!. Hivyo kupinga kusafiri ni kutokujua nchi yetu inaendeleaje kuanzia kwenye afya, elimu, mazingira ni misaada tu. Sijui nchi nyingine lakini hapa USA Uje na sababu za kupewa msaada!!!. Malawi sio nchi ya kuiga ni pwagu na pwaguzi!
c kweli, malawi wako freshi hata katika swala la agriculture wamepiga hatua sana, kule kilimo kwanza kina tekelezwa kwa vitendo c huku porojo tu.
Kwa kifupi viongozi watanzania wanapenda kusafiri sana, na hwa wanaenda kuwakilisha familia zao huko