Malawi vows to continue oil-gas exploration, dismissing demand by Tanzania which claims half

Wafanye exploration kwanza. Wasipopata oil life is as usual. Tunaendelea kuvua samaki. Wakipata oil au gas tunalazimisha muungano. Hakuna cha uamsho wala nini!
 
Imenikumbusha miaka ya nyuma rais Banda wa Malawi wakati huo alileta choko choko mpakani wakati huo tulikuwa na viongozi full of patriotism. Alipigwa mkwara wa kijeshi ndani ya juma moja akasalimu amri. Ndiyo chanzo cha zile nyimbo tulikuwa tunaimba kwenye mchaka mchaka shuleni:

KIONGOZI
:
"Wamalawi watuvalia,
Watuvalia ngozi ya simba,
Kututishia watanznia, hatujali, hatujali!"

TUNAITIKIA:
"Bandaaaa wa Malawi,
Atuvalia ngozi ya simba,
Kututishia watanzania,
Hatujali, hatujali!"



Those old good days!

Naam! the oldies hizi, ni kumbukumbu nzuri zinazoturejesha kwenye ''Golden moments'' sasa nguvu ya kutetea maslahi ya Taifa katika wigo wa kimataifa itatoka wapi wakati tunashughulishwa na maslahi binafsi dhidi ya wenyewe kwa wenyewe?
 
Naam! the oldies hizi, ni kumbukumbu nzuri zinazoturejesha kwenye ''Golden moments'' sasa nguvu ya kutetea maslahi ya Taifa katika wigo wa kimataifa itatoka wapi wakati tunashughulishwa na maslahi binafsi dhidi ya wenyewe kwa wenyewe?

Duh! Watanzania wa kuipigania nchi hii wamepungua sana,yawezekana hata Malawi wamelitambua hili! Jeshi letu la Navy kaputi,kama meli zinazama hakuna msaada wa maana toka ktk JWTZ unatarajia nini? Na kwasababu issue yenyewe inahusu mafuta na gesi tujiandae kwenda vitani ama tuufyate!
 
..mipaka yote ya Tanzania iko kutokana na mikataba iliyosainiwa na wakoloni yaani Wajerumani, Waingereza, na Waarabu.

..hoja ya Malawi ni kwamba wakoloni walikubaliana kwamba ziwa Nyasa kati ya Tanganyika na Malawi lote litakuwa ni eneo la Malawi. Pia kuna mikataba kati ya Wareno na Waingereza ambapo walikubaliana mpaka upite katika ya ziwa kwenye eneo baina ya Mozambique na Malawi.

..mimi naomba kujua argument yetu wa-Tanzania ni nini? Naomba kuelezwa Wajerumani na Waingereza walikubaliana nini kuhusu mpaka wa ziwa Nyasa. Pia tunachojaribu ku-negotiate na Wamalawi ni nini haswa?

..zaidi, tukumbuke kwamba mwaka 1963 OAU ilielekeza kwamba mikataba yote iliyosainiwa na wakoloni kuhusu mipaka ya mataifa ya Afrika iheshimiwe.

NB:

..mapendekezo yangu ni suala hili kuamuliwa na mahakama ya kimataifa kama ilivyofanyika kwa eneo lenye utajiri wa mafuta la Bakasi lililokuwa likigombaniwa baina ya Nigeria na Cameroun.
 
Nimewahi kusikia Nyerere aliwapa Malawi sharti la kulipia kila wimbi linalogusa ardhi ya Tanganyika sasa why mtego huu usitumike kuwanyamazisha hawa wajumbe?
 
Membe, kiunzi hicho kiruke basi japo uongeze marks za kutimiza ndoto zako 2015.


Kongosho,

..Membe anasema Tanzania inataka ku-negotiate, lakini haielezi hoja zake ktk hizo negotiations ni zipi.

..unfortunately, Malawi wameweka mguu chini katika suala hili, na wanadai kabisa kwamba eneo lote la ziwa Nyasa ni la kwao.

NB:

..wikileaks walimnukuu JK akilalamika kwa balozi wa USA kwamba Malawi inanua boti za kulinda ziwa Nyasa wakati inaeleweka kuna mgogoro baina yetu na wao.
 
hii nimeicoppy kutoka huko Nyasatimes, watu wamedai wana hii anglo german treaty.

Kama alivosema JokaKuu, basis ya claim zetu ni zipi? tunadai nini hasa na kwa misingi ipi?

The Anglo German Treaty reads as follows:
"1. To the north by the line that commences on the northern bank of the mouth of the Umba River, runs directly to Lake Jipe and, after passing along the eastern shore and around the northern shore of that lake, crosses the Lumi River and bisects the territories of Taveta and Chaga. Skirting the northern slope of the Kilimanjaro range, this line continues to the point on the eastern shore of Lake Victoria Nyanza that is intersected by the 1st degree of south latitude. It crosses the lake on this parallel and follows it to the border of the Congo Free State, where it terminates. It is understood, though, that the German sphere of interest on the western side of the aforementioned lake does not include Mount Mfumbiro. Should it turn out that this mountain lies to the south of the aforementioned parallel of latitude, the line of demarcation shall be drawn so as to exclude the mountain from the German sphere of interest; but the line shall nonetheless terminate at the previously described point.
2. To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma. From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the mouth of the Songwe River. It then continues up that river to its intersection point with the 33rd degree of east longitude. The line continues along the river until its closest point with the border of the geographical Congo Basin as described in Article I of the Berlin Conference and marked on the map appended to its ninth protocol. From here the line runs directly to the previously described border, follows this to the point of intersection with the 32nd degree of east longitude, turns and continues directly to the meeting point of the northern and southern branches of the Kilambo River. It follows that river until it enters Lake Tanganyika."

Clearly the Tanzanians have no claim on the northern part of the lake as the boundary is the shore of the lake.

 
Last edited by a moderator:
Huyu naona ametumia busara kidogo, maana anaelewa kuwa nini matokeo yake kama tukiingia vitani. from Nyasa times.

I talked about this on this very forum. I pointed out these very issues namely that:
(a) the boundary demarcating the lake we both share with Tanzania has not been settled. The individuals in the relevant Ministries (Justice; Surveys; and OPC) are fully aware of this matter. It is a well settled legal precedent that where a body of water forms a boundary between two land masses, the boundary is mid point along the body mass. Malawi has purposefully sought to ignore this principle. Those interested should look at the map of Malawi and observe how the lake boundary has been delineated. We (Malawians) lay ownership claim of the lake up to the shores of the lake on the Tanzania side. Really staggering. When I heard the Malawi govt has commissioned survey operations in the lake I knew we were headed for trouble.
(b) Tanzania has never referred to the lake as "Lake Malawi". To them it is known as "Lake Nyasa". The boundary dispute between Malawi and Tanzania over the lake goes back to Banda's time. It is not a new thing. Unfortunately successive governments have chosen to put it on the back burner on the basis nothing of strategic interest was there and was not envisaged. The Tanzanians too did not bother because Malawi, despite its territorial claims on paper, did not do or make any physical moves that could be interpreted as seeking exclusive proprietary rights over the entire lake. Unfortunately the move by Malawi to start prospecting for oil can be said to be that very physical act that Tanzania can interpret as expanding territorial ambitions. Trust me, the oil venture will not go anywhere until the vexing issue of border delineation is resolved.
I hope we do not proceed with this folly of going it alone. Folly because we only need to look back at Shire project and the ensuing consequences having ignored inter-country spatial issues.
It is not too late for our government to move to reach an accommodation with our neighbour (Tanzania). If we have to share proceeds so be it!
Coming to blows with Tanzania is not even thinking about. We will be blown to pieces.
 

Ya Zanzibar Haijachimbwa na hata Uchunguzi bado; Inaweza Ikawa sio nyingi... Wanasema Kati ya Pemba na Tanga

Ndio ni Hatari kuna Gas na OIL; Sio Zanzibar...

* Kwahiyo Msifurahie ambacho hakipo.... ni Makuti...
We ngadu uchunguzi wa mafuta ya Zanzibar haukuanza jana wala juzi ni tokea wakati wa Sultanate of Zanzibar ,Kama unaijua pemba kuna sehemu inaitwa meli mbili tokea Chake kuelekea Mkoani ,sio Bunda kuelekea Nansio ,hapo meli mbili kuna visima vya mafuta au tuseme kuna matobo yalichimbwa na halafu kuzibwa ,kwa wale wachimbaji wa visima vya mafuta wanafahamu vipi visima vinazibwa ,iwe vya mafuta au gesi,na wenyeji wazee wanazijua alama za visima hivyo ,mbali ya ChakeChake ambako ndio kuna hazina kubwa ya mafuta njenje.
 
Angekuwa Nyerere apa angesema Nguvu tunayo,uwezo tunao,nia tunayo.....................................
Ndani ya mda mfupi kalonga yote upside down ngoma tuko mzuzu tunaitafuta LIlongwe.................
Uyu mama anataka tukumbushie vita ya Uganda
 
We ngadu uchunguzi wa mafuta ya Zanzibar haukuanza jana wala juzi ni tokea wakati wa Sultanate of Zanzibar ,Kama unaijua pemba kuna sehemu inaitwa meli mbili tokea Chake kuelekea Mkoani ,sio Bunda kuelekea Nansio ,hapo meli mbili kuna visima vya mafuta au tuseme kuna matobo yalichimbwa na halafu kuzibwa ,kwa wale wachimbaji wa visima vya mafuta wanafahamu vipi visima vinazibwa ,iwe vya mafuta au gesi,na wenyeji wazee wanazijua alama za visima hivyo ,mbali ya ChakeChake ambako ndio kuna hazina kubwa ya mafuta njenje.

Yeah ndio na sema Maeneo ya Pemba na Tanga Gas na OIL kibao lakini Maeneo ya Zanzibar NADA
 

Ya Zanzibar Haijachimbwa na hata Uchunguzi bado; Inaweza Ikawa sio nyingi... Wanasema Kati ya Pemba na Tanga

Ndio ni Hatari kuna Gas na OIL; Sio Zanzibar...

* Kwahiyo Msifurahie ambacho hakipo.... ni Makuti...

Nadani nikuwache uporo kwa leo
 
Askari wa uhamiaji wa malawi (au border patrol) wapo kyela? au Mbozi?
Kama wapo upande wa pili, basi nadhani wamalawi wanajua ni nini kinachoendelea, wasitupotezee muda.
 
Miye kwa kweli ningependa Wamalawi waje na kuexplore mafuta hadi mwisho wa ziwa "lao"; angalau labda watasababisha viongozi wetu kujipembua kidogo kuwa wanaweza kuongoza. Wamepata kila kitu rahisi hawa.
 
"'We categorically put it to them [Tanzania] that as far as we are concerned, the entire lake belongs to Malawi,' Patrick Kabambe, principal secretary in the ministry of foreign affairs, said in a statement."

Nakumbuka enzi ya ukoloni chini ya Waingereza, ramani tulizokuwa tunatumia nchini pamoja na darasani tangu primary school miaka ya hamsini - at least since the mid-fifties in my case - zilionyesha mpaka uko katikati ya Ziwa Nyasa. Pia jina la ziwa lilikuwa ni Nyasa, siyo Malawi.

Ramani hizo zilikuwa ni za wakoloni Waingereza ambao walikuwa ni watawala wa Tanganyika na Nyasaland. Walijua mpaka uko wapi kati ya Nyasaland na Tanganyika kwenye ziwa hilo, especially since it was the same people, the British, who ruled both countries. Walikosea kuweka mpaka katikati ya Ziwa Nyasa? Hawakujua mpaka uko wapi wakati walikuwa ni hao hao Waingereza waliokuwa ni watawala wa nchi hizo mbili?

Was is it a unilateral decision by Great Britain to change the border, if there was any change at all, in violation of the Anglo-German Agreement of 1890 - signed by Britain and Germany in 1901 - which defined the border between the two countries? Or was it an elastic interpretation of the agreement by the British - under the terms stipulated by the agreement - which justified the shift of the demarcation line from our shores to the middle of the lake; assuming that's what the British did unilaterally?

Pia Waingereza walisema waliliweka ziwa lote under the jurisdiction of Nyasaland baada ya vita kuu ya kwanza; a statement which implies or is an implicit admission that before then, there was a substantial part of the lake which was or should have been, legally, within the boundaries of German East Africa before the war. Had the lake been an integral part of the Nyasaland Protectorate all the time, as the country was then known, there would have been not need for them to say that.

The Anglo-German Agreement itself, on which Malawi's case rests, is subject to broad interpretation. There is also the question of customary international law - in cases like this - which can be invoked to justify our claim to a substantial part of Lake Nyasa, should there be no resolution of the dispute based on previous agreements: The border runs in the middle of the lake.
 
Hata hivyo wanajeshi wetu wanapata mishahara mikubwa bila kufanya kazi. Hii itakuwa ni upepo tu kwao. Tena na hawa FFU angalau sasa watapata mahala pa kupiga risasi za moto..
 
Hivi ndivyo inavyoonekana kwa mujibu wa ramani ya dunia kwa mujibu wa google. Kama inavyoonekana, mpaka umepita pembeni (ufukweni) kabisa mwa lake nyassa (lake malawi).
Swali:
1. Kwa sababu google maps ni ramani inayoaminika duniani kote, je wamepata wapi michoro ya mpaka huu wakat sisi tunasema umepita katikati?
2. Je sisi tuna vithibitisho / kumbukumbu zozote za kutu guide kwamba sehemu ya ziwa nyasa ipo Tanzania?

Iwapo hatuwezi jibu swali la pili, basi jeshi letu inabidi liweke base kubwa tu sehemu za Kyela na Mbinga na tujiandae kutumia ubabe kudai sehemu ya ziwa Nyasa.
LAKE NYASA.png
 
Kwa mwongozo tu, angalia vielelezo vya ramani zote. Mipaka yenye dotted lines hua ni yenye migigoro baina ya nchi kama hawakuweka basi sina la kusaidia.
 
Back
Top Bottom