WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,921
- 1,233
Wanachodai ni kuwa Mpaka uliochorwa na mwingereza ndiyo wenyewe na huo uliochorwa na mjerumani ni feki, kwa hiyo ziwa lote liko malawi.waache waendelee kujidanganya...........kinachotakiwa kwetu sisi ni kuchukua hatua........kulinda mpaka wetu.........