Malawi,Tanzania begin talks over Lake Malawi dispute

Hivi ukiachia hayo mafuta ziwa nyasa... Malawi wana madini mengine au richful resources??!!
 
Lake Malawi belongs to Malawi as per treaty. Every map I have ever seen agrees with this position. I fully support Malawi's position. Hopefully they can find oil and other resources inside that Lake, that can help uplift the living standards of their wonderful people.[/QU hell no! Ur wrong!%
 
Wakubali nusu 2. Kama vp watakosa hata pakutemea mate. Kama viongozi wamelala wananchi tuko macho. Chezea mbongo yeye?
 
Baro,

Ulichokisema hapo ndio UTANZANIA
Wala Utanzania hauna definition nyigine,

Utanzania ni UTU na Utu unaweza kuzima Mabomu yote ya Nuklia duniani in a second ...!!
Wamalawi walijue hilo na Wajipime ... When the hell will open loose no a Malawian will stand IT!!
They will see the impossible, nothing like that in their entire life ... !

Kwa Watanzania kuwa kitu kimoja kwa ajili ya Utaifa wetu na Mipaka yetu ..ni jambo la sekunde tu,
Si swala la kujifunza ni jadi yetu ... Tufanya UPDATE TU!!!

Tukiaanza vita kuanzia kaskazini lazima tumtokomeze adui ... upndade wa pili yaani Kusini ... Nk hatujui namna nyigine.
Uganda tuliingilia Kusini ..tukamalizia kaskazini ... Haya si mambo ya kujifunza kwa Mtanzania ...Ni jadi yetu ... Hao wamamlawi watafute nchi ya kukimbilia before its too late!!

Nafikiri salam hizi Joyce Banda, The President .. atazipata na kunijibu kupitia mtandao huu huu!!

Much Welcome Joy!!

Nashindwa kuipata picha!

Hebu fikiria tunaanza kuwaswaga kutokea Kusini kuwaleta Kaskazini si watajikuta wako Tanzania hawa? Maana njia ya kupita kufika Kusini ya Malawi iko wazi kwa wajeshi wetu. Cha moto huyu mama atakipata! Vijana watarudi na Vyu..p mkononi!!
 
Guys, let the Malawians do you a homework. Let them pay all fees required to do that, at the end of the day, Tanzania is still Tanzania, we got the data from Malawi, tunaanza kuchimba. Mwacheni Mama banda atufanyie kazi bhana.
 
Baro,

Ulichokisema hapo ndio UTANZANIA
Wala Utanzania hauna definition nyigine,

Utanzania ni UTU na Utu unaweza kuzima Mabomu yote ya Nuklia duniani in a second ...!!
Wamalawi walijue hilo na Wajipime ... When the hell will open loose no a Malawian will stand IT!!
They will see the impossible, nothing like that in their entire life ... !

Kwa Watanzania kuwa kitu kimoja kwa ajili ya Utaifa wetu na Mipaka yetu ..ni jambo la sekunde tu,
Si swala la kujifunza ni jadi yetu ... Tufanya UPDATE TU!!!

Tukiaanza vita kuanzia kaskazini lazima tumtokomeze adui ... upndade wa pili yaani Kusini ... Nk hatujui namna nyigine.
Uganda tuliingilia Kusini ..tukamalizia kaskazini ... Haya si mambo ya kujifunza kwa Mtanzania ...Ni jadi yetu ... Hao wamamlawi watafute nchi ya kukimbilia before its too late!!

Nafikiri salam hizi Joyce Banda, The President .. atazipata na kunijibu kupitia mtandao huu huu!!

Much Welcome Joy!!
naunga mkono, lets clobber these chowderheads
 
The best thing nikua wametushutua wa TZ kua wakati umefika wakuanza tafiti za mafuta na Gas ktk maziwa yetu kwani ni km vile tulikua hatujui...Tatizo letu tunasubiri mpaka US au UK ndo waje wafanye hizo tafiti utadhani walituzuia....Huu mgogoro ni pevu ata kwenye Ramani umewekewa dotted lines that means disputed area km ndivyo kwanini MALAWI waanze shuguli nauku suluhu ya mgogoro bado! What if na sisi tuanze tafiti mpaka kwao kwani ata sie tunaweza claim ZIWA LOTE NI LETU
 
I did not know that Malawi would be this crazy so to speak. Common sense dictates that nobody can own any water body alone allowing his or her neighbour to just be a spectator. If Malawi means what it says, why did it allow Tanzanians for decades to fish in its lake? Madam Banda just try to employ common sense.
 
Nawapenda watanzania kwa sababu katika ishu kama hizi tunaumoja. Me naona huyu mama anahamu na wanaume wa Tanzania so tumpe anachokitaka
 
Malawi,Tanzania begin talks over Lake Malawi dispute | www.malawitoday.com

Ukisoma hapo inaonekana negotiations wanazotaka wao ni kuchukua entire lake kwani hawako tayari kupoteza hata Inch ya lake Nyasa ama Malawi kama wanavyoliita wao. Labda kwakua sisi ni wapenda amani tutawaachia tu cause hadi sasa kama wanafanya utafiti ndani ya mipaka yetu na sisi tumekomaa na negotiations inaonekana hatuko tayari kulinda mipaka yetu vema labda kulinda Mafisadi tu.
 
Nawapenda watanzania kwa sababu katika ishu kama hizi tunaumoja. Me naona huyu mama anahamu na wanaume wa Tanzania so tumpe anachokitaka

Sina uhakika kama Tanzania sasa tnao uwezo wa kupigana vita na nchi yoyote ya East Africa kwa sasa. tujifunze non spuriously kilichotokea wakati wa vita na Uganda. watnzania walipoiteka uganda walikuta plan zote za vita zilizopangwa kabla na hata wakati wa vita. Tanzania ilishinda vita kwa kuwa wakati ule kulikuwa na Tanzania, kwa sasa hatuna unity tena.
Jambo la pili humimu ni kujua kuwa kwa muda kitambo sasa Tanzania inatawaliwa na Malawi: amngalia; wanyasa wa malawi wako wengi kuanzia Ikulu hadi kwa house boys and girls. hakuna sekata hapa Tanzania ambayo haina mutu wa malawi. so; katika vita kunatakiwa intelgency system ya hali ya juu, sasa hii utaifanyaje wakati Tiss ya tanzania imejaa raia wa malawi?. Kwa sasa wa malawi wanaumoja na wanaangalia mabli kuliko hata Tanzania na juu ya hili hajakurupuka bali walisha drow mchoro wenye plan A, B, C. Tanzania tunataka kwenda mezani tukiwa na nini?, ni nani anyeenda mezani?,

Mie macho yangu kwa ni kwa sasa Tanzania ya leo siyo ile ya Nyerere. ni Tanzania ya kushindwa kila kitu.

Ciao.
 
nakubaliana na wewe kwakiasi kikubwa, nchi haina coordination kama zamani, kila kitu kimeparaganyika, utaona namna hata ikulu ilivyokosa mshikamano mara siri zivuje, zimejaa kweny magazeti. wizara ya mambo ya nje naisifu kwa kitu kimoja ina mtu makini sana, lakini aibu ya nchi hii ingekuwa njenje ulaya. hata hivyo malawi ni jirani wa kawaida sana. kwangu sioni ugumu, kwa kuwa historia inaonyesha kwamba mama banda, alikuwa against nasi tangu tunatetea ukombosi kusini mwa africa so chanzo cha chokochoko zake ziko wazi.

katika diplomasia za kimataifa hii utaina state actor ambae ni raisi anaathari katika nchi raisi wa awali hatukuwan shida nae iweje huyu, so rudia historia utagundua kuwa huyu anafaa kumpa adabu bila kusababisha gharama kama za uganda na hata leo zinatusumbua kuziba gap la vita ila
 
nakubaliana na wewe kwakiasi kikubwa, nchi haina coordination kama zamani, kila kitu kimeparaganyika, utaona namna hata ikulu ilivyokosa mshikamano mara siri zivuje, zimejaa kweny magazeti. wizara ya mambo ya nje naisifu kwa kitu kimoja ina mtu makini sana, lakini aibu ya nchi hii ingekuwa njenje ulaya. hata hivyo malawi ni jirani wa kawaida sana. kwangu sioni ugumu, kwa kuwa historia inaonyesha kwamba mama banda, alikuwa against nasi tangu tunatetea ukombosi kusini mwa africa so chanzo cha chokochoko zake ziko wazi.

katika diplomasia za kimataifa hii utaina state actor ambae ni raisi anaathari katika nchi raisi wa awali hatukuwan shida nae iweje huyu, so rudia historia utagundua kuwa huyu anafaa kumpa adabu bila kusababisha gharama kama za uganda na hata leo zinatusumbua kuziba gap la vita ila

to me, my point of concern ni nani ama ni kwa njia ipi tutamshikisha adabu, kwa kutumia chombo gani?, mambo yanayofanyika ndani ya ofisi maalum ama chumba ;maalum cha rais ikulu yanavuja na kwenda mpaka kwa mtanzania wa kwenye periphery, mikataba mingi tunayofanya kwa makusudi watu wanaigeuza kuwa ya maslah binafsi na ikikosa maslah wanaiharibu. Angalia negotiation kati ya KLM na Tanzania(ATC),n.k. Hapa issue ni kuwa mtanzania wa leo hawezi kutetea maslah ya nchi dhidi ya foreigner. We are bound to loose.
 
Sina uhakika kama Tanzania sasa tnao uwezo wa kupigana vita na nchi yoyote ya East Africa kwa sasa. tujifunze non spuriously kilichotokea wakati wa vita na Uganda. watnzania walipoiteka uganda walikuta plan zote za vita zilizopangwa kabla na hata wakati wa vita. Tanzania ilishinda vita kwa kuwa wakati ule kulikuwa na Tanzania, kwa sasa hatuna unity tena.
Jambo la pili humimu ni kujua kuwa kwa muda kitambo sasa Tanzania inatawaliwa na Malawi: amngalia; wanyasa wa malawi wako wengi kuanzia Ikulu hadi kwa house boys and girls. hakuna sekata hapa Tanzania ambayo haina mutu wa malawi. so; katika vita kunatakiwa intelgency system ya hali ya juu, sasa hii utaifanyaje wakati Tiss ya tanzania imejaa raia wa malawi?. Kwa sasa wa malawi wanaumoja na wanaangalia mabli kuliko hata Tanzania na juu ya hili hajakurupuka bali walisha drow mchoro wenye plan A, B, C. Tanzania tunataka kwenda mezani tukiwa na nini?, ni nani anyeenda mezani?,

Mie macho yangu kwa ni kwa sasa Tanzania ya leo siyo ile ya Nyerere. ni Tanzania ya kushindwa kila kitu.

Ciao.

Haya Bwana hata Idd Amin alitudharua hivyohivyo kama nyie wamalawi mnavyotudharau lakini kwa hilo umoja upo usijidanganye na hujui kinachoendelea mpaka sasa! hao wajinga ma house boy unao wasema tunawajua sana na kwa taarifa yako kuna watanzania wengi malawi kuliko hata wamalawi waliopo hapa Tz! system yao tunaijua sana wewe subiri utaona tutawatia adabu!
 
Haya Bwana hata Idd Amin alitudharua hivyohivyo kama nyie wamalawi mnavyotudharau lakini kwa hilo umoja upo usijidanganye na hujui kinachoendelea mpaka sasa! hao wajinga ma house boy unao wasema tunawajua sana na kwa taarifa yako kuna watanzania wengi malawi kuliko hata wamalawi waliopo hapa Tz! system yao tunaijua sana wewe subiri utaona tutawatia adabu!

bora ukubali kushauriwa kuliko kufikiri uadui, kwasasa nadhani serikali ya tanzania inaongoza kwa kuvujisha siri, unaliona hilo?!, waganda walishindwa kwasababu ya kuchoshwa na idi amini aliyekuwa akiwgawa kwa makabila, origin na dini, hakuna aliyekuwa tayari kumfia amin. Hali hii unaionaje hapa tanzania?!, ushauri wangu ni kwa tanzania kwenda polepole katika kuanzisha lolote na lilongwe kwani wao wamekwisha jiandaa tayari, sisi tunakurupuka bila maandalizi. R we not going to loose?!. Shauri yako. Hata hivyo, tatizo haliishi tu kuwa na wamalawi wengi walio infiltrate kwenye system bali royality: are u sure kuwa watanzania in diaspora wako pro tanzania?!.
 
Back
Top Bottom