mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Serikali ya rais Joyce Banda imetangaza kuwa itachunguza utajiri wa mtangulizi wake Bingu wa Mutharika. Hii imetokana na shinikizo la asasi zisizo za kiserikali kutaka utajiri wa Mutharika uchunguzwe maana alionekana kujichumia utajiri wa kutisha kwa kipindi kifupi alichokuwa madarakani. Nadhani hili ni somo kwa watawala wezi. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.