Malawi Kiboko kwa Intelijensia

unachokiongea ni kweli kbs ila nina waiswasi na muafaka huo, je tuko tayari kuwaachia hilo ziwa? wako tayari kutuachia kipande tuchukue ili hali wanaamini kuwa ziwa lote ni la kwao?, je wananchi wao watalubali kipande cha ziwa kiwe mali ya tz? je watz watakubali ziwa lote liwe la malawi?...hapo bado kazi ipo..ikishindikana njia ya kawaida inabidi mafahali wawili waiingie ulingoni na atakaye shindwa ndio akubali kumwachia mwenzie...
Wamalawi wako makini sana katika kuamua hatima yao. Nimesoma magazeti na blogs zao nyingi za kwao nimegundua wamalawi wengi wako against vita baina yao na sisi, na wengi wanatutambua kama majirani zao wa karibu na wa siku nyingi. Wapo walevi wachache kama i(ilivyo huku) pia wanaoshabikia vita. Nionavyo serikali yao imepima upepo na kuligundua hilo, kwamba vita kamwe haitakuwa kwa maslahi ya wamalawi wala watanzania; ndiyo maana wameamua kulipeleka suala hili mbele ya vyombo vya kisheria vya kimataifa ili kupata suluhu. Binafsi nazipongeza hatua za hivi karibuni za serikali ya Malawi kuongeza mahusiano yake na sisi na nashauri sisi pia tufanye hivyo ili kuepusha uhasama usio wa lazima uliozalishwa na historia yetu ya kutawaliwa. Wote, wamalawi na watanzania wana madai ya haki kabisa kudai kama wanavyodai; Mkoloni alikabidhi Nyasaland ramani inayoonyesha nchi hiyo kumiliki ziwa lote, kwetu alikabidhi ramani ambapo Tanzania ilionekana kumiliki nusu ya eneo la maji ya ziwa na UN baadae walithibitisha nadharia ya umilikaji wa nusu ya eneo la maji pale ambapo mipaka ya nchi inakutana na ziwa au maji. Ni kwa mantiki hayo inapaswa pande zote kuketi na kuzungumza nini kifanyike ili udugu na ushirikiano uliodumu karne nyingi uendelee. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
hivi mnafkiri japanese naval force imekuja nchini by default at this time!!??

Jiulize, livefire exercise ya mwaka huu kwanini itafanyika brigade 401(kusini)?? Hizo delegation hazina lolote, mama banda anajaribu kujiweka karibu maana majasusi wake walimwambia zaidi ya malori 90 yenye silaha nzito zilizofunikwa na maturubai yalipelekwa mbeya na ruvuma

pia mjapani ametangaza kuna "uwezekano" wa jwtz naval command kufanya nao mazoezi.., kwnn saivi tunahitaji naval exercise now na nchi kisiwa wataalam wa amphibious operations??!

Unajua mjapan amekuja na meli ngapi?? Zina nini ndani? JWTZ ni zaidi ya mnavyoijua..., its a secret society, JWTZ inaheshimika africa, hawakurupuki,

Be a great thinker, read between lines..., moshe dayan staki kusema mengi.., just be a GREAT THINKER!

kwa hiyo hizo meli zitabebwa na nini mpakahuko ziwa nyasa ili zikatusaidie kupiga mbizi ziwani? au unataka kutuambia kuwa ziwa nyasa limeungana na bahari ya hindi?
 
Mimi sitaita vita, hii itakuwa kama mechi ya kirafiki ya Man united na yanga. mshindi anajulikana
 
Yeyote atakayeamua kuingia vitani kwa sasa sidhani kama atakuwa amechukua uamuzi wa busara. Kuna changamoto nyingi za kuzifanyia kazi kwa sasa na sio vita.
 
Tulieni tupo ndani kabisa ya malawi......hamna haja ya kuwa na wasiwasi..hakuna siasa katika hili na hakuna utafiti wwt wa mafuta na gesi unaoendelea ziwa nyasa
 
Yah nikweli unayosema, lkn kwa swala la kijasusi au nni Tanzania inafanya ktk swala hili kiujumla ni vigumu sana kujuwa kinacho endelea hasa ktk upande wa Tanzania cz ili swla lina involve military kwa asilimia kubwa na kama unavyo juwa maswala ya kijeshi siyo rahisi kufamika au kuonekana wazi machoni/miongoni mwa watu. So ninacho jaribu kusema ni kwamba namini jeshi JWTZ na vyombo vyote vya usalama vya Tanzania vipo makin na usalama wa nchi kiujumla. SO MSIWACHUKULIE POA KIASI HICHO...
 
hivi mnafkiri japanese naval force imekuja nchini by default at this time!!??

Jiulize, livefire exercise ya mwaka huu kwanini itafanyika brigade 401(kusini)?? Hizo delegation hazina lolote, mama banda anajaribu kujiweka karibu maana majasusi wake walimwambia zaidi ya malori 90 yenye silaha nzito zilizofunikwa na maturubai yalipelekwa mbeya na ruvuma

pia mjapani ametangaza kuna "uwezekano" wa jwtz naval command kufanya nao mazoezi.., kwnn saivi tunahitaji naval exercise now na nchi kisiwa wataalam wa amphibious operations??!

Unajua mjapan amekuja na meli ngapi?? Zina nini ndani? JWTZ ni zaidi ya mnavyoijua..., its a secret society, JWTZ inaheshimika africa, hawakurupuki,

Be a great thinker, read between lines..., moshe dayan staki kusema mengi.., just be a GREAT THINKER!..............

watu wengi hawajui mambo yanavyokwenda tusamehe buree wanataka mambo ya Hollywood movies.
 
watatushinda mpira na riadha. kwa mabomu hawatuwezi msiwe na wasi hakuna vita hapa :israel:
 
hivi mnafkiri japanese naval force imekuja nchini by default at this time!!??

Jiulize, livefire exercise ya mwaka huu kwanini itafanyika brigade 401(kusini)?? Hizo delegation hazina lolote, mama banda anajaribu kujiweka karibu maana majasusi wake walimwambia zaidi ya malori 90 yenye silaha nzito zilizofunikwa na maturubai yalipelekwa mbeya na ruvuma

pia mjapani ametangaza kuna "uwezekano" wa jwtz naval command kufanya nao mazoezi.., kwnn saivi tunahitaji naval exercise now na nchi kisiwa wataalam wa amphibious operations??!

Unajua mjapan amekuja na meli ngapi?? Zina nini ndani? JWTZ ni zaidi ya mnavyoijua..., its a secret society, JWTZ inaheshimika africa, hawakurupuki,

Be a great thinker, read between lines..., moshe dayan staki kusema mengi.., just be a GREAT THINKER!

safi sana mkuu kwa kuelezea kwako, kama upo Dar maeneo ya kivuko cha magogoni pale bandarini kuna Boti za Kisasa takribani 3 zipo pale na hawa wachina sidhani kama hawajatuletea baadhi ya Zana kama hizo. Nimependa mchango wako
 
vita siyo nzuri na malawi haina uwezo kuingia Tanganyika bila kuangamizwa sababu ya jiografia inayoipa Tanganyika faida mtoa mada hayuko mbali na ukweli kwamba malawi lazima watafute habari ila siyo ya kushambulia Tanganyika bali ya kutafuta suluhu haraka iwezanavyo.
 
Nimeamini Malawi ni kiboko kwa kukusanya habari za kiintelijensia hasa baada ya huu mgogoro wa mpaka maarufu kama mgogoro wa ziwa Nyasa.

Toka Lowassa, Membe na Sitta walipotangaza kuwa Tanzania iko tayari kupigana ili kulinda mipaka yake, haiishi siku bila kuona delegation mbalimbali kutoka Malawi zikiwa hapa nchini eti kuongea mara na Tume ya uchaguzi, mara bunge, n.k.

Kwa taarifa yenu kama hamjui, delegation hizi zinakuja maalum kuangalia the state of art! wanajaribu kuangalia kama kuna any movements zinazoweza kuonyesha kuwa tuko tunajiandaa kivita.

Mipangilio hiyo ambayo wanaweza kuangalia ni pamoja na bulk procurements za vyakula, mambo ya silaha na mobilization za majeshi kutoka eneo moja hadi lingine hasa kuelekea maeneo karibu na huko kwenye mgogoro.

Wakati wakiangalia hayo, wanajaribu pia kuangalia weak spots za kwetu ili kama kweli ikitokea, basi watuzime ghafla na kwa haraka zaidi.

Kwa taarifa yenu, Malawi tuwa-underestimate eti na ka nchi kadogo, hata chura alimuua tembo!
Let us be extra careful guys.

Hivi nikisema mleta post hii ni M-Malawi ntakuwa nimekosea kweli? Hivi kweli inaingia akilini kufikilini delegation ya Wamalawi wanao toka kwao na ndege kuja IKULU wanakuja kutupeleleza? hata tukiwa na the so-called weak spots, wanaweza kuwa na ubavu wa kuitunia misuri Tanzania kweli? Hawawezi. So please haya mambo ya kujaribu to instill fear kwa Watanzania won't lead you anywhere - we are smarter than U think.
 
sasa wewe unataka kuwafundisha tanzania ambao wamepigana vita vyao na vya wengine? Usitake ncheke!

valid point, ila huwezi kurely on historia pekee, tumekua zaif l' khali siku hizi, vibomu vyenyewe ndio hivyo vinajipipukia tu, ndege zimeota kutu nk

wakenya na wauganda wametumia the past 10 year kujenga misuli na military packages, which could be easily noted on their budgetary allocations

labda malawi ni kama sisi....

Zaiffffffff
 
Back
Top Bottom