Malawi Kiboko kwa Intelijensia

uzuri wa intelijensia, kila kitu kinakusanywa na kufanyiwa analysis na baada ya hapo ndio wenyewe wanaita classified info...sasa hapa wanakusanya kila wakionacho na mwisho wa siku wanaunganisha dts kupata habari kamili...tusiwa-undermine. leo madame wao katangaza kuwa hatapenda nchi hizi zinaingia vitani kwa sababu ya ziwa malawi, anasema atatumia diplomatic ways kumaliza tatizo,je, iwapo tutang'ang'ania kumiliki kipande kimojawapo atakuwa tayari kukitoa ilihali alishasema ziwa lote ni mali ya malawi?

ukitakujua huyu mama ni anatumia akili za ajabu, kila siku anatoa kauli tofauti na wana jf wanaziwekaga humu, mara yuko tayari kufa kwa ajili ya malawi hapa na maana gani, mara hotosimamisha uchunguzi kwa kuwa ziwa lote lake, mara leo atatumia diplomasia! kweli inakuingia akilini? ujue lazima kuna kutofautiana hapa, membe was simple, njia za kidiplomasia zinaendelea ivyo wenzetu wasitishe uchunguzi,sisi tukamsema membe ooh anawaita wale wenzetu, leo yule mama kasema sisi ni wenzao kama dada na kaka, ati tumenyamza hatujasema kitu! watu wa maswala ya usalama na ulinzi na walikuwa simple, tukotayari kwa vita kama njia ya diplomacia hatufikiwa, hawakuwa na kubadilisha adilisha maneno! kama hawatakubaliana kidiplomasia kwa mtazamo wangu kutakuwa janga hapo.
 
Ivi kama kwetu inaitwa TISS malawi itakuwa inaitwa MISS just kidding but on a serious note izi trip za Wangonde kuja tz its as if wanataka sema cooll down giants we gonna settle this amicably
 
nimeamini malawi ni kiboko kwa kukusanya habari za kiintelijensia hasa baada ya huu mgogoro wa mpaka maarufu kama mgogoro wa ziwa nyasa.
Toka lowassa, membe na sitta walipotangaza kuwa tanzania iko tayari kupigana ili kulinda mipaka yake, haiishi siku bila kuona delegation mbalimbali kutoka malawi zikiwa hapa nchini eti kuongea mara na tume ya uchaguzi, mara bunge, n.k.
Kwa taarifa yenu kama hamjui, delegation hizi zinakuja maalum kuangalia the state of art! Wanajaribu kuangalia kama kuna any movements zinazoweza kuonyesha kuwa tuko tunajiandaa kivita. Mipangilio hiyo ambayo wanaweza kuangalia ni pamoja na bulk procurements za vyakula, mambo ya silaha na mobilization za majeshi kutoka eneo moja hadi lingine hasa kuelekea maeneo karibu na huko kwenye mgogoro.
Wakati wakiangalia hayo, wanajaribu pia kuangalia weak spots za kwetu ili kama kweli ikitokea, basi watuzime ghafla na kwa haraka zaidi
kwa taarifa yenu, malawi tuwa-underestimate eti na ka-nchi kadogo, hata chura alimuua tembo!
Let us be extra careful guys!!

hakuna udogo wa nchi kwenye nguvu za kijeshi. Ona rwanda inavyoichachafya drc ya kabila.
 
Aiseee baba yangu mi ningeishauri serekali ya ccm hususani membe,luwass na 6 wasituhamashishe tukapigane vita cha msingi 2pigane na vita ya hapa kwetu njumbani ya ufisadi,rushwa,ujinga,umaskini,utekaji njara 2kishinda vita hii mi mwenyewe nitatoka rombo nitashika mtutu mpaka malawi
 
lakini mi mpaka sa izi najiuliza, ni kwa nini kila ramani kuanzia mpaka google earth wanaonesha kuwa hili ziwa liko moja kwa moja malawi? ni mozambique tu ndio mpaka unapita katikati ya ziwa, lakini kwa kwetu, mpaka unapita ukingoni kabisa, yaani kwenye beach ya tz...hebu chck hiyo ramani... tanzania malawi border dispute.JPG
 
Sio vizuri kuombea vita coz athari zake ni kubwa sana. Tukae chini na tufikiri matokeo baada ya vita. Ni vema tumuombe Mungu atuepushe na hili janga,nafikiri hili jambo linaweza kuzungumzika bila hata kuhusisha mambo ya vita!!!
 
check na hii ramani kutoka google earth...inaonekana tz hatuna chetu pale...ila tukomae tu huenda tukaambulia kipande japo kidogo... tanzania malawi border dispute 2.JPG
 
tukiwatandika wamalawi kwa ajili ya ziwa malawi huenda baadye btukaonekana wachokozi maana ktk pitapita zangu zijaona hata mahali panapoonesha kuwa hili ziwa na sisi tumo...mpaka umepita upande wetu kabisa...
 
.....nyie sikieni tu, .....ile jumapili iliyopita "njiwa" wetu warukao kasi wawili kutokea kaskazini na wawili kusini ya ziwa kwa kasi na milio zaidi ya ile ya miaka 50 pale taifa imekuwa onyo tosha kwamba wajukuu wa Nyerere hawataki utani .Karibuni huku kusini kwetu mjionee

safi..nmeipenda taarifa yako. Ya kzalendo zaid, waambie wasojielewa hao.
 
tukiwatandika wamalawi kwa ajili ya ziwa malawi huenda baadye tukaonekana wachokozi maana ktk pitapita zangu zijaona hata mahali panapoonesha kuwa hili ziwa na sisi tumo...mpaka umepita upande wetu kabisa...

tafuta thread za nyuma kbs utaona hizo ramani.
 
awtu bana kila kitu kwao ni siasa na ushabiki wa kishamba unaoambatana na ujinga, hivi mnawasifia Malawi kwa kitendo gani hasa? Sawa Tanzania ni dhaifu kwa sababu za mitazamo yenu lakini si dhaifu kuliko kiasi kwamba tujidharau ki hivi kah
 
Zomba we sema tumepigana tu na tuna uzoefu....kwa taarifa yako kwa sasa tumebaki na intelijensia ya kuwapeleka watu mabwepande, mpaka tunashtuka jamaa watakuwa wameshamchukua Vasco na kuondoka nae...

Na kama hadi WEWE umeweza kugundua mbinu zao za kiintelijensia then they are not that smart!
 
nimeamini malawi ni kiboko kwa kukusanya habari za kiintelijensia hasa baada ya huu mgogoro wa mpaka maarufu kama mgogoro wa ziwa nyasa.
Toka lowassa, membe na sitta walipotangaza kuwa tanzania iko tayari kupigana ili kulinda mipaka yake, haiishi siku bila kuona delegation mbalimbali kutoka malawi zikiwa hapa nchini eti kuongea mara na tume ya uchaguzi, mara bunge, n.k.
Kwa taarifa yenu kama hamjui, delegation hizi zinakuja maalum kuangalia the state of art! Wanajaribu kuangalia kama kuna any movements zinazoweza kuonyesha kuwa tuko tunajiandaa kivita. Mipangilio hiyo ambayo wanaweza kuangalia ni pamoja na bulk procurements za vyakula, mambo ya silaha na mobilization za majeshi kutoka eneo moja hadi lingine hasa kuelekea maeneo karibu na huko kwenye mgogoro.
Wakati wakiangalia hayo, wanajaribu pia kuangalia weak spots za kwetu ili kama kweli ikitokea, basi watuzime ghafla na kwa haraka zaidi
kwa taarifa yenu, malawi tuwa-underestimate eti na ka-nchi kadogo, hata chura alimuua tembo!
Let us be extra careful guys!!

wewe uko dunia gani? Mgogoro umetulia baada ya malawi kusikia matamko ya tanzania. Waliamua kuondoa meli na ndege zao kwenye eneo la uchunguzi, wanalieleka suala hili kwenye vyombo vya usuluhishi vya kimataifa.

Hata hivyo, tanzania haikulala hadi hii leo. Kama una ndugu yako yuko mbeya, mikoa ya tunduma na njia panda ya kwenda malawi pale uyole, mwulize anashuhudia nini kinaendelea, watakupa majibu
 
mzaha mzaha hutumbuka usaa...chezea malawi wewe!!!

Wewe ni Mmalawi ama Mtanzania?
Tanzania ina uzoefu wa kupeleka majeshi nje ya nchi 'kulinda', ambapo huko wanajifunza mengi, ikiwemo mbinu za medani za kivita. Tuna askari Darfur, Congo, Sierra Leone, Lebanon na kwingineko. Malawi wamepeleka nchi gani askari wao kulinda amani? Ukitaka kujua wanaogopa kiasi gani vita, soma posts zao online katika Malawi Voice Online. Chakula wanakinunua Mbeya na Rukwa, halafu leo walete chokochoko, unadhani vita kitu rahisi eeh?
Lakini kwa kukuhakikishia vita hakuna, tayari tume ya usuluhishi na utatuzi wa mgogoro huu inaanza majadiliano tarehe 20 Agosti 2012, tusubiri matokeo.
 
safi..nmeipenda taarifa yako. Ya kzalendo zaid, waambie wasojielewa hao.

teh teh..usijipime nguvu kwa ukubwa wa mwili ndugu...sina imani na nguvu ya jeshi letu hasa upande wa silaha..kama unakumbuka milipuko ya gongo la mboto, taarifa ya jeshi ilisema maghala zaidi ya nane yamelipuka PIA walisema ile ndio arsenal kuu ya silaha (the central arsenal). sasa kama ghala kuu za silaha zinalipuka na impact ndo ile unategemea tutashinda vita yoyote.

Kama kweli ile ndo GHALA KUU na tungekuana silaha nzito BASI GONGO LA MBOTO isingekua katika lamani ya dar tena katika ile siku, kata nzima na jilani zake zingevunjwa vunjwa, lakini ghala nane za mabomu zinalipuka hata kambi yenyewe ilipona ,TUNA SILAHA HAPO AU BARUTI.wenzetu wanapata taarifa kama izo ndo maana wameona muda muafaka wa kuleta choko choko ni huu, wanajua hatuna kitu zaidi ya vi grenade na locate lounchers tu.

Sasa we jifaliji na ndege zako izo za maonyesho ulizoziona wengine tushaanza ku renew passports, wanajeshi wenyewe wamechoka na hii system mbovu so hawana tena moyo wa kupigana ndugu yangu,hata wananchi pia. THIS COUNTRY IS VERY WEAK NGUGU
 
Si tu kwamba Tanzania haina viongozi, bali pia hata wananchi wa kuongozwa hakuna. Akili matope kabisa! Nashawishika kuamini kuwa waanzisha thread hizi na masapota wake ni watu wenye interest na Malawi lakini si watanzania.
 
teh teh..usijipime nguvu kwa ukubwa wa mwili ndugu...sina imani na nguvu ya jeshi letu hasa upande wa silaha..kama unakumbuka milipuko ya gongo la mboto, taarifa ya jeshi ilisema maghala zaidi ya nane yamelipuka PIA walisema ile ndio arsenal kuu ya silaha (the central arsenal). sasa kama ghala kuu za silaha zinalipuka na impact ndo ile unategemea tutashinda vita yoyote.
Kama kweli ile ndo GHALA KUU na tungekuana silaha nzito BASI GONGO LA MBOTO isingekua katika lamani ya dar tena katika ile siku, kata nzima na jilani zake zingevunjwa vunjwa, lakini ghala nane za mabomu zinalipuka hata kambi yenyewe ilipona ,TUNA SILAHA HAPO AU BARUTI.wenzetu wanapata taarifa kama izo ndo maana wameona muda muafaka wa kuleta choko choko ni huu, wanajua hatuna kitu zaidi ya vi grenade na locate lounchers tu.
Sasa we jifaliji na ndege zako izo za maonyesho ulizoziona wengine tushaanza ku renew passports, wanajeshi wenyewe wamechoka na hii system mbovu so hawana tena moyo wa kupigana ndugu yangu,hata wananchi pia. THIS COUNTRY IS VERY WEAK NGUGU

binafsi yule Mwanajeshi alitudanganya sana na inapaswa afanye hvy kwan silaha za nchi ni siri ya jeshi, ile kambi ya Gongo la Mboto sio kubwa sana kati ya Kambi kubwa Tz. Ninaweza nikasema hata Lugaro ni kubwa sana kwa hiyo kambi ya M/mboto.
 
lakini mi mpaka sa izi najiuliza, ni kwa nini kila ramani kuanzia mpaka google earth wanaonesha kuwa hili ziwa liko moja kwa moja malawi? ni mozambique tu ndio mpaka unapita katikati ya ziwa, lakini kwa kwetu, mpaka unapita ukingoni kabisa, yaani kwenye beach ya tz...hebu chck hiyo ramani...View attachment 61981

29deb506-8147-5b9d.jpg

unaionaje na hii!


Hii kitu itatua katikati ya blantaya! Nyie Wachuuzeni tu wenzenu, watajuta.
29deb505-8170-55da.jpg
 
Zomba we sema tumepigana tu na tuna uzoefu....kwa taarifa yako kwa sasa tumebaki na intelijensia ya kuwapeleka watu mabwepande, mpaka tunashtuka jamaa watakuwa wameshamchukua Vasco na kuondoka nae...

Ingekuwa nafuu sana wakimchukua Vasco
 
Back
Top Bottom