Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Nimeamini Malawi ni kiboko kwa kukusanya habari za kiintelijensia hasa baada ya huu mgogoro wa mpaka maarufu kama mgogoro wa ziwa Nyasa.
Toka Lowassa, Membe na Sitta walipotangaza kuwa Tanzania iko tayari kupigana ili kulinda mipaka yake, haiishi siku bila kuona delegation mbalimbali kutoka Malawi zikiwa hapa nchini eti kuongea mara na Tume ya uchaguzi, mara bunge, n.k.
Kwa taarifa yenu kama hamjui, delegation hizi zinakuja maalum kuangalia the state of art! wanajaribu kuangalia kama kuna any movements zinazoweza kuonyesha kuwa tuko tunajiandaa kivita.
Mipangilio hiyo ambayo wanaweza kuangalia ni pamoja na bulk procurements za vyakula, mambo ya silaha na mobilization za majeshi kutoka eneo moja hadi lingine hasa kuelekea maeneo karibu na huko kwenye mgogoro.
Wakati wakiangalia hayo, wanajaribu pia kuangalia weak spots za kwetu ili kama kweli ikitokea, basi watuzime ghafla na kwa haraka zaidi.
Kwa taarifa yenu, Malawi tuwa-underestimate eti na ka nchi kadogo, hata chura alimuua tembo!
Let us be extra careful guys.
Toka Lowassa, Membe na Sitta walipotangaza kuwa Tanzania iko tayari kupigana ili kulinda mipaka yake, haiishi siku bila kuona delegation mbalimbali kutoka Malawi zikiwa hapa nchini eti kuongea mara na Tume ya uchaguzi, mara bunge, n.k.
Kwa taarifa yenu kama hamjui, delegation hizi zinakuja maalum kuangalia the state of art! wanajaribu kuangalia kama kuna any movements zinazoweza kuonyesha kuwa tuko tunajiandaa kivita.
Mipangilio hiyo ambayo wanaweza kuangalia ni pamoja na bulk procurements za vyakula, mambo ya silaha na mobilization za majeshi kutoka eneo moja hadi lingine hasa kuelekea maeneo karibu na huko kwenye mgogoro.
Wakati wakiangalia hayo, wanajaribu pia kuangalia weak spots za kwetu ili kama kweli ikitokea, basi watuzime ghafla na kwa haraka zaidi.
Kwa taarifa yenu, Malawi tuwa-underestimate eti na ka nchi kadogo, hata chura alimuua tembo!
Let us be extra careful guys.