Malawi gives Tanzania's ambassador 48 hours to leave Malawi!

Status
Not open for further replies.
Tuna viongozi wenye sifa ya usuluhishi kimataifa,nina amini bado kwamba wanaweza tumia skills zao kuweka mambo sawa nyumbani once and for all...we need seriousness on this issue....Ms Banda means business!
 
Ati ndio mnataka kuunda AFRIKA MOJA na viongozi wenyewe ndio kama hawa..

Na marehemu Gadafi ndio alikuwa anawania kweli eti awe Rais wa kwanza wa Afrika moja aweze kueneza udini wake vizuri wakamshtukia. Ha ha ha ha ha ha! Kukata mzizi wa fitna dawa pekee ilikuwa kumwondoa tu mshenzi yule aliyemsaidia sana Idd Amin Dada dhidi ya nchi yetu.
 
Hivi hawa hawategemei bandari ya Dar es salaam kwa imports and exports?

Itakuwa hivyo au bandari ya kusini maana hawana Bahari ila mkuu hapo nyuma kuna mwingereza kumbukeni yaliyomkuta MUGABE na ishu ya settlers mpaka wakasema ni one of the axis of evil....HUU Ndio Ubepari
 
uzuri wenyewe ni kwamba taifa letu labda kidogo litarudisha national patriotism, na sidhani kama wataweza kutuletea instability nchini kwetu kama hiyo ndio nia ya muingereza, labda hukohuko malawi. Kama tuna jeshi la kujiamini wapelekewe mziki tu wa kucheza nao. Huyu mama is punching above her weight anajianzia tu halafu akijiamini mmbabe.

Hii inakula kwao tu all the way.
 
Na marehemu Gadafi ndio alikuwa anawania kweli eti awe Rais wa kwanza wa Afrika moja aweze kueneza udini wake vizuri wakamshtukia. Ha ha ha ha ha ha! Kukata mzizi wa fitna dawa pekee ilikuwa kumwondoa tu mshenzi yule aliyemsaidia sana Idd Amin Dada dhidi ya nchi yetu.
wewe hujui unachokiongea zaidi ya kupayuka tu, kukupa tu habari za haraka Gadafi alianza kuwakana waarabu, halafu wazungu na idea zake ndio zilikuwa tishio kwa unyonyaji wa mzungu tatizo lako udini. Tusije kutoka bure kwenye mada at hand, hila acha kuropoka hovyo.
 
Tanzania has got one of the best armies in africa, let them joke wid us, tutawapiga mara moja na kutangaza malawi mkoa moja wapo na mkuu wa mkoa atakuwa balozi wetu sasa...and the war shud actually last for 1 week na kutangaza malawi mkoa, wish we had a dictator like ghaddafi o amin
 
Itakuwa hivyo au bandari ya kusini maana hawana Bahari ila mkuu hapo nyuma kuna mwingereza kumbukeni yaliyomkuta MUGABE na ishu ya settlers mpaka wakasema ni one of the axis of evil....HUU Ndio Ubepari
Hapa bandari ikifungwa kwa upande wao itabidi wafanye urafiki upande wa mozambique maana sijui watakuwa
wanatumia bandari gani lingine,hawa watu hii ishu itawaathiri pia
 
Siyo swala la kushangaa vita kutokea ni plan iliyokuwepo kipindi kirefu TISS na wakati wake ndio huu katiba mpya inakuja muungano unakuwa wa mkataba au kujitenga kabisa na huku vita vya malawi.kwa njia yoyote tanzania itashinda vita hivi na kuwa na heshima na nguvu ya ushawishi katika eneo la africa mashariki na kati na africa kwa ujumla kama bado inanguvu ya kimamamuzi na kiutawala.
 
Mataifa ya ulaya yanatugombanisha waafrika kwa manufaa yao, naona ukoloni unarudi Afrika kwa nguvu. WE HAVE TO WATCH OUT.
 
Automatically we will have to expel Malawi's ambassador as well in retaliation!

haina haja ya kufanya hivyo, lazima tuonyeshe tupo mature in this, tusifuate mkumbo wa usa, ussr, china , iran nk wanavyo fanyiana. tutakuwa tume wapiga a diplomatic blow tukimwacha aendele kuwepo, labda wao wenyewe wamuondoe
 
Jk just declare war with malawi coz that action yajionesha hata majeshi yao yameshaingia sehemu yetu.Tsere hebu nenda kalime kitunguu Magugu karatu.
 
sasa si aondoke, kwanza alikuwa anaharibu kodi zetu tu, inatakiwa wafunge ubalozi kabisa siyo aondoke tu

unajua maana ya international relation ww..nchi ngaapi zina ubalozi tanzania kama unajua basi ifute kauli yako hyo
 
wakati hili sakata linaanza nilitoa wito wa amiri jeshi mkuu kupeleka vikosi mpakani akafikiri ni mzaha haya ndio matokeo yake

Kale kamama kanawepewa vimsaada na UK kanafikiri kanaweza kutunisha misuli hovyo hovyo.
Watu wake hawana ugali yeye anajifanya ana 'balls' za kutumia limited resources alonayo kupigana na Tanzania.

Vita ni mbaya, si nzuri....inafilisi nchi, ila huyu mama sasa naona menopozi inamsumbua.
 
Mafuta mafuta mafuta naiona libya kwa mbal,si wanajifia lindi na mtwara umefanyika ugunduzi mkubwa wa mafuta na gesi,sasa tuwe makini haya mambo ya ziwa nyasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom