Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Asante Mungu maana sina ninachomiliki kwahiyo sina hasara yeyote mama njoo chukua na mlima kilimanjaro kenya wamekupa zawadi
You may be one of the stupudest on the land of Tanzania
Asante Mungu maana sina ninachomiliki kwahiyo sina hasara yeyote mama njoo chukua na mlima kilimanjaro kenya wamekupa zawadi
HAPANA tuingie vitani ili watusaidie kuwatimua majambazi wanaotung'oa kucha msitu wa pandeMaombi yangu ni kuwa tusijeingia vitani kwani vita tulivyonavyo na njaa ya kiuchumi ni kubwa kuliko maelezo
Rais wa Malawi bibi Joyce Banda leo atalihutubia taifa hilo kupitia vyombo vya habari vya nchi hiyo,
Kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya Banda anasema, suala la mgogoro wa mpaka na Tanzania litakuwa miongoni mwa mambo muhimu atakayoyazungumza!
Ripoti za kijasu za Tz zinazopatikana kutoka Malawi zinasema mama ameshikiria kuwa wanajeshi wake waliopo ktk ardhi ya Tanzania wataendelea kupiga doria usiku na mchana, na haonyeshi kutikisika na kauli ya Tz kuwa asitishe utafiti wa mafuta ktk Tz!
Macho na masikio ya watz wote tuyaelekeze huko leo kujua je Mama anaingia Vitani au analegeza msimamo?
Naomba kombora la kwanza litue magogoni
Nataman slaa angekua amiri jesh mkuu nisingekua na was was
Inawezekana huu ni usanii wa kupotezea mambo muhimu ambayo yako hot kwa sasa, use your brain guys
You may be one of the stupudest on the land of Tanzania
Naomba kombora la kwanza litue magogoni
Huyo anaekuja hawezi kuishi ikulu ya kichawi ya magogoni, acha ilipuliwe tu!! Mpuuzi ni huyo dhaifuAcha upuuzi kwa mambo ya msingi hata kama raisi wetu ana mapungufu yake siyo kuomba vita na kombola la kwanza litue ikulu na hyo unayemtaka aje kuwa raisi ataishi wapi sasa ? acha upuuzi wako