Vipi inakusumbua sana kuonekana live hadharani?si ulikuwa unashangilia ushindi kwa raha zako!sitakoma mbaka CCM iondoke madarakani au iache kuwanyonya wamnanchi masikini!haki lazima itendeke!
ukiukaji haki za binadamu za malaria sugu . ana haki ya kuwaza kiuhuru kama anaipenda ccm ndo adhaliliwe ,mi niko against na mtizamo wake wa kisiasa lakini naheshimu uhuru wake kufikiri.
Hivi hajapona tu?? Bush si alimpa Jk Vyandarua awagawie jamaa zake Sasa ikawaje Malaria Sugu akakosa hadi anakuja humu jukwaani kutulilia , afu ndo mtetezi wa jk..i don't get it
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.