Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Jamani niko Mwanza, na nimepata nafasi ya kufika hapa Malaika Beach Hotel, ni hotel nzuri sana, haijakamilika na wahudumu wamezubaa.
Je ikikamilika na huduma zikiboreshwa inaweza kuwa na nyota ngapi?
Je ikikamilika na huduma zikiboreshwa inaweza kuwa na nyota ngapi?