Malaika Beach Hotel Mwanza

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Jamani niko Mwanza, na nimepata nafasi ya kufika hapa Malaika Beach Hotel, ni hotel nzuri sana, haijakamilika na wahudumu wamezubaa.
Je ikikamilika na huduma zikiboreshwa inaweza kuwa na nyota ngapi?
 
Wasiliana na Hotels Association of Tanzania (HAT) hawa nadhani ndo hutoa accreditations **, ***, ****, *****
 
acha tu kwakweli apo mahali
pakikamilika itakuwa our little paradiso
 
hao wanazengo-wahudumu kuzubaa ni necha ya watu wa mwanza ha ha ha
mie nilichoka kbs walivo ila nshawazoea mara nyingi naenda mwanza
 
Back
Top Bottom