Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
mzee huyu kwa muda mrefu amekuwa mstari wa mbele kuibua mada mbalimbali katika jamii yetu na kutufungua macho katika mengi katika kipindi chake cha Je, tutafika? Lakini hivi karibuni nimeona mtazamo wake mwingine katika mada zake anazozileta. Awali sikujua kama Makwaia ni muislam, ila nimejua, tena anaweza kuwa kati ya wale extremists. Nilimwona katika mada ya Palestina, pamoja na zingine na hii hali ya sasa ya udini bongo. Namna anavyowasilisha mada zake na namna anavyowachagua wazungumzaji na namna anavyoonekana akiongea ni dhahiri kuna kitu ndani yake. Nadhani ukifungua moyo wake utaziona OIC, kadhi na korokoro zingine dhahiri. Akitaka mijadala yake iende sawa awaalike na na hao walioandaa hiyo ilani wanayosema ni ya kidini ilhali ni secular kabisa ila tu walioandaa ndio waamini (sio waumini!)