Makutano Show: Exclusive Interview na Mhe. John Mnyika - Oct 06, 2012

Mkurugenzi wa Habari na Uenezi-CDM John Mnyika amesema hana mpango wa kugombea urais hivi karibuni wala katika kipindi cha miaka kumi ijayo na zaidi.Amesema Urais kamwe si kipaumbele chake.
Akihojiwa wiki iliyopita Mnyika ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo alisema kwa sasa anayo majukumu makubwa mawili ambayo ameyaweka kama kipaumbele chake.
Mnyika amesema kipaumbele cha kwanza ni kukitumikia chama chake cha CDM kwa moyo mmoja na kuwaunganisha wanachama wote ili kujiandaa kuchukua dola 2015.
Mnyika amesema kipaumbele cha pili ni kuwatumikia wananchi wa ubungo kwa uwezo wake wote.Alisema wananchi wa Ubungo walimuamini yeye na chama chake na kamwe hatawaangusha.

Nina wasiwasi na hawa waandishi ambao kila kukicha maswali yao Je utagombea urais?mnaidhalilisha tasnia yenu.
Pamoja sana kamanda mnyika
 
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi-CDM John Mnyika amesema hana mpango wa kugombea urais hivi karibuni wala katika kipindi cha miaka kumi ijayo na zaidi.Amesema Urais kamwe si kipaumbele chake.
Akihojiwa wiki iliyopita Mnyika ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo alisema kwa sasa anayo majukumu makubwa mawili ambayo ameyaweka kama kipaumbele chake.
Mnyika amesema kipaumbele cha kwanza ni kukitumikia chama chake cha CDM kwa moyo mmoja na kuwaunganisha wanachama wote ili kujiandaa kuchukua dola 2015.
Mnyika amesema kipaumbele cha pili ni kuwatumikia wananchi wa ubungo kwa uwezo wake wote.Alisema wananchi wa Ubungo walimuamini yeye na chama chake na kamwe hatawaangusha.

nani kasema atakupa urais?hiyo ni level nyingine mnyika.
 
Nina wasiwasi na hawa waandishi ambao kila kukicha maswali yao Je utagombea urais?mnaidhalilisha tasnia yenu.
Pamoja sana kamanda mnyika

Kwa kweli waandishi wa Tanzania kila kukicha ni Urais na CDM.Fuatilia gazeti mwananchi.
 
Mnyika hebu hacha bangi ww. Wewe ni jembe na ninakukubali sana lakini kwa kauli hii ya kusema hataki kabisa urais mi naona ni kama bangi koz unatuweka mashakani sisi ambao tunakuamini na tnajivunia ww tukate tamaa kabisa, sasa kama ww hutogembea urais huko miaka ya mbele unategema nani ndo atakuwa rais? Je hao vibaka na wahuni wanaoshinda fbk kwenye majungu ambao ni wakina mtela, saaanane na genge lao la wakina shonza., na shibuda au Zitto mbishi ndo waje kuwa rais?

Mnyika badili mawazo bhan a wewe ndo utatufaa huko mbeleni aghaaa!.
 
Go Go Mnyika!!! Yaani kijana ana busara huyu sijapata kuona. Heri tumbo lililokuzaa na ziwa ulilonyonya!!! Keep it up, parents who raised him to this level!!! Respectable one!!!! Always culm!! Hana papara!!! Zitto upo?

Na ndicho kinachomtofautisha Mnyika na wengi ndani ya CDM
 
Jembeeeeeeee...Hilo ndilo Jembe la CDM bwana.Nakumbuka CCM walikuwa wanasema Malecela ni tingatinga la CCM lakini mimi nasema Mnyika ni Kifaru cha CDM

Kwa utulivu na umakini wa Mnyika atafika mbali sana
 
Nina wasiwasi na hawa waandishi ambao kila kukicha maswali yao Je utagombea urais?mnaidhalilisha tasnia yenu.
Pamoja sana kamanda mnyika

Nadhani waandishi wameingia kwenye mkumbo huo baada ya wanasiasa wenyewe kutokujiheshimu na kuanzia kuzungumza mambo ya urais sasa.
 
Mnyika n mtu makin sana, anajua anataka nn cio mkurupukaji kama zito,hakuogopa kuita magamba n 'ovyo' pamoja na rais wao kuwa n dhaifu tofaut na 'zito' ambaye na jakaya nahic wanamkataba flan huku kwe2 uswahilin ningemwita mnyika n 'MNYAMA' Yaan kiakili yuko vzr.m nakuombea uwe na maisha marefu ya SIASA budaa
 
nani kasema atakupa urais?hiyo ni level nyingine mnyika.

Mkuu unakosea sana.Katika CDM kiukweli viongozi hot 5 lazima Mnyika yumo.Mwanasiasa yeyote makini ndani ya CDM yampasa kuwa karibu na watu wa aina ya Mnyika.
 
Mnyika hebu hacha bangi ww. Wewe ni jembe na ninakukubali sana lakini kwa kauli hii ya kusema hataki kabisa urais mi naona ni kama bangi koz unatuweka mashakani sisi ambao tunakuamini na tnajivunia ww tukate tamaa kabisa, sasa kama ww hutogembea urais huko miaka ya mbele unategema nani ndo atakuwa rais? Je hao vibaka na wahuni wanaoshinda fbk kwenye majungu ambao ni wakina mtela, saaanane na genge lao la wakina shonza., na shibuda au Zitto mbishi ndo waje kuwa rais?

Mnyika badili mawazo bhan a wewe ndo utatufaa huko mbeleni aghaaa!.

Mkuu unakosea.Tumuache Mnyika aseme ya moyoni.Hawezi kujiingiza kukigawa chama chake.Anathamini zaidi umoja ndani ya chama.Nadhani umakini wa Mnyika uko zaidi kusikiliza wanachama wanataka nini.
 
"Namheshimu sana Mnyika kwa sababu ni mmoja kati ya wabunge wanaofikiri kabla ya kuongea "- William Lukuvi
 
Back
Top Bottom