Makundi ndani ya CHADEMA

chadema kina makundi makubwa matatu huku la kwanza likiundwa na idadi ya viongozi wanaotoka mkoani kilimanjaro na kuongozwa na mbowe, la pili lina watu kutoka manyara na arusha kiongozi wake ni dr. slaa, halafu la tatu linamuunga mkono zitto.
tofauti ya mawili ya kwanza, kundi hili la mwisho lina watu wanaotoka nje ya mikoa hiyo ya kilimanjaro, arusha na manyara, lakini jitihada zake huenda zisifanikiwe kwa kiwango kikubwa kutokana na sababu za maslahi zaidi.
zitto binafsi anafahamu kuwa yeye, mbowe na slaa kila mmoja anapambana kikamilifu ili kuhangaikia uteuzi wa kugombea uraisi katika uchaguzi mkuu ujao, lakini anaelewa ni jinsi gani inabidi apambane na ubanguzi mkubwa wa ukabila na ukanda.
anajua kuwa viongozi wenzake wanaotoka kilimanjaro wanafanya kila wanavyoweza ili mbowe ndiye aje kugombea urais mwaka 2015, kazi inayofanywa kwa kutumia ushawishi wa kisiasa na kifedha. anafahamu kuwa kamati kuu ya chadema imerudikwa na watu wanaotoka kilimanjaro ili wawe na nguvu, wale ambao kuna wengine ni wafanyabiashara wakubwa wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hichi katika mkoa huo, philemon ndesasamburo. viongozi wengine wanaotoka kilimanjaro ni pamoja mbowe, mkurugenzi wa habari na uenezi john mnyika, mbunge wa kawe halima mdee, mbunge wa ilemela hayness kiwia, mkurungenzi wa fedha na utawala anthony komu na mkurugenzi wa bunge na halmashauri john mrema
Kundi hilo pia linasaidiwa na wabunge kama akina peter msingwa [iringa mjini] ezekieli wenje [nyamagana] joseph mbilinyi [mbeya mjini] joshua nasari [ arumeru mashariki] vincent nyerere [ musoma mijini] saidi arfi [mpanda mjini] mbunge wa zamani wa arusha mijini godbless lema.

Tofauti na hilo, kundi la dr. slaa linaudwa na kikundi cha wabunge wachache wa majimbo na baadhi wa viti maalum hususani wanaotokea mikoa miwili ya arusha na manyara, lakini kutokanana mzozo wa ndoa yao mkewe ambaye ni mbunge wa viti maalum, rose kamili hajihusishi nalo. aidha kundi hili pia halina nguvu za kifedha na hata ushawishi wowote mahali popote kwasababu ukimwondoa dr. slaa hakuna mtu mwingine yeyote mwenye nguvu kwa namna moja ama nyingine kisiasa.
Kundi la zitto ndilo halina idadi kubwa ya wabunge isipokuwa wachache tu ambao ukimwondoa yeye mwenyewe baadhi ya waliomo ni mkurungezi wa uchaguzi, msafiri mtemelwa pamoja na wabunge wa viti maalum wanatoka naye mkoa wa kigoma, muhonga saidi na philipa mturano. pamoja na juhudi anazofanya za kutaka augwe mkono na vijana mikoa yote nchini, tatizo kubwa linalokuja ni ukweli kwamba hata iweje hatateuliwa kuwa mgombea urais wa chadema katika uchanguzi huo mkuu wa mwaka 2015. hawawezi kuipata nafasi hiyo ya kwasababu hana wafuasi wengi ndani ya kamati kuu ambacho ndicho kikao kizito kuliko vyote na pia hatakiwi kwa namna zote na mwasisi wa chadema, mzee mtei. ni yeye aliyemzuia zitto kugombea nafasi ya mwenyekiti wa taifa mwaka 2009 akisema hawezi kuruhusu chama chake kichukuliwe na mtu asiyemfahamu "wapi anakotoka"
katika hali hiyo, nafasi ya kugombea uraisi mwaka 2015 ipo wazi zaidi kwa mbowe na siyo dr. slaa, zitto wala mwingine yeyote yeyote kutokana na uwepo wa makundi hayo matatu ingawa huenda yakaongezeka hapo baadaye. katika uchaguzi wa 2010 dr. slaa alishinikizwa kugombea uraisi kwa sababu tu kundi hilo lilijua kamwe hawezi kupata ushindi, na pili lilitazama mazingira ya matatizo yaliyokuwepo ndani ya ccm na kugundua kuwa angesaidia kupata wabunge, jambo ambalo lingemwekea mazingira mazuri mbowe ya kugombea urais mwaka 2015
SOURCE: gazeti la sauti huru
hapo kwenye red kama uliandika wewe basi utakuwa na matatizo makubwa ya kifikra.Hilo kundi la kilimanjaro unalosema umeweka wajumbe wa nchi nzima kama supporters.Kuthibitisha jinsi mlivyo wagumu kuelewa.Wewe mpaka uahdithiwe kuhusu CDM wakati kila siku wansemwa na wao wanajieleza.Hizi habari za kuambiwa na akina Mukama ni ishara kuwa wewe ni mbea siku siku zote.

Kinaniuma san akuona CCM inapenda ishi na ujinga kiasi hiki, wananchi wa kawaida tuu wanaijua CDM vizuri kuliko uongozi mzima wa CCM.Wao kila siku huja na habari ambzo hata raia wa kawaida naweza sema ni uongo.CCM wapo so dettached with the society kiasi cha kufanya raia ndio wawaletee ccm maendeleo.
 
chadema kina makundi makubwa matatu huku la kwanza likiundwa na idadi ya viongozi wanaotoka mkoani kilimanjaro na kuongozwa na mbowe, la pili lina watu kutoka manyara na arusha kiongozi wake ni dr. Slaa, halafu la tatu linamuunga mkono zitto.
Tofauti ya mawili ya kwanza, kundi hili la mwisho lina watu wanaotoka nje ya mikoa hiyo ya kilimanjaro, arusha na manyara, lakini jitihada zake huenda zisifanikiwe kwa kiwango kikubwa kutokana na sababu za maslahi zaidi.
Zitto binafsi anafahamu kuwa yeye, mbowe na slaa kila mmoja anapambana kikamilifu ili kuhangaikia uteuzi wa kugombea uraisi katika uchaguzi mkuu ujao, lakini anaelewa ni jinsi gani inabidi apambane na ubanguzi mkubwa wa ukabila na ukanda.
Anajua kuwa viongozi wenzake wanaotoka kilimanjaro wanafanya kila wanavyoweza ili mbowe ndiye aje kugombea urais mwaka 2015, kazi inayofanywa kwa kutumia ushawishi wa kisiasa na kifedha. Anafahamu kuwa kamati kuu ya chadema imerudikwa na watu wanaotoka kilimanjaro ili wawe na nguvu, wale ambao kuna wengine ni wafanyabiashara wakubwa wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hichi katika mkoa huo, philemon ndesasamburo. Viongozi wengine wanaotoka kilimanjaro ni pamoja mbowe, mkurugenzi wa habari na uenezi john mnyika, mbunge wa kawe halima mdee, mbunge wa ilemela hayness kiwia, mkurungenzi wa fedha na utawala anthony komu na mkurugenzi wa bunge na halmashauri john mrema
kundi hilo pia linasaidiwa na wabunge kama akina peter msingwa [iringa mjini] ezekieli wenje [nyamagana] joseph mbilinyi [mbeya mjini] joshua nasari [ arumeru mashariki] vincent nyerere [ musoma mijini] saidi arfi [mpanda mjini] mbunge wa zamani wa arusha mijini godbless lema.
Tofauti na hilo, kundi la dr. Slaa linaudwa na kikundi cha wabunge wachache wa majimbo na baadhi wa viti maalum hususani wanaotokea mikoa miwili ya arusha na manyara, lakini kutokanana mzozo wa ndoa yao mkewe ambaye ni mbunge wa viti maalum, rose kamili hajihusishi nalo. Aidha kundi hili pia halina nguvu za kifedha na hata ushawishi wowote mahali popote kwasababu ukimwondoa dr. Slaa hakuna mtu mwingine yeyote mwenye nguvu kwa namna moja ama nyingine kisiasa.
Kundi la zitto ndilo halina idadi kubwa ya wabunge isipokuwa wachache tu ambao ukimwondoa yeye mwenyewe baadhi ya waliomo ni mkurungezi wa uchaguzi, msafiri mtemelwa pamoja na wabunge wa viti maalum wanatoka naye mkoa wa kigoma, muhonga saidi na philipa mturano. Pamoja na juhudi anazofanya za kutaka augwe mkono na vijana mikoa yote nchini, tatizo kubwa linalokuja ni ukweli kwamba hata iweje hatateuliwa kuwa mgombea urais wa chadema katika uchanguzi huo mkuu wa mwaka 2015. Hawawezi kuipata nafasi hiyo ya kwasababu hana wafuasi wengi ndani ya kamati kuu ambacho ndicho kikao kizito kuliko vyote na pia hatakiwi kwa namna zote na mwasisi wa chadema, mzee mtei. Ni yeye aliyemzuia zitto kugombea nafasi ya mwenyekiti wa taifa mwaka 2009 akisema hawezi kuruhusu chama chake kichukuliwe na mtu asiyemfahamu "wapi anakotoka"
katika hali hiyo, nafasi ya kugombea uraisi mwaka 2015 ipo wazi zaidi kwa mbowe na siyo dr. Slaa, zitto wala mwingine yeyote yeyote kutokana na uwepo wa makundi hayo matatu ingawa huenda yakaongezeka hapo baadaye. Katika uchaguzi wa 2010 dr. Slaa alishinikizwa kugombea uraisi kwa sababu tu kundi hilo lilijua kamwe hawezi kupata ushindi, na pili lilitazama mazingira ya matatizo yaliyokuwepo ndani ya ccm na kugundua kuwa angesaidia kupata wabunge, jambo ambalo lingemwekea mazingira mazuri mbowe ya kugombea urais mwaka 2015
source: Gazeti la sauti huru
unatakiwa ukiona habari uangalie na maslahi ya chombo husika, nani anakimiliki na wapi wametoa habari hizo, usipelekwe pelekwe na magazeti pendwa utapotoshwa kila uchao, sauti huru ni zaidi ya gazeti la uhuru
 
Yan nyimbo kila siku mnabadilisha lakini hazifanikiwi!

Pole sana!
 
Magamba yanahaha kutuhamisha kutoka kwenye hoja ya mauaji ya raia kwa kuleta vituko haya wapi majebere,rejao na ritz magan
mba njoo mfuraie huu upuuzi maana ndio zenu
 
wakati marekani wanafanya siasa za kiuchumi na kushindana kubuni sera za maendeleo, magamba wanafanya siasa za maji taka. hii ni mbinu ya kizamani ilitumika wakati wa chama kimoja enzi ambazo elimu ilikuwa chini na wa TZ walikuwa si waelewa. Kuendeleza siasa hizi za majungu kwa wa Tz wa leo ni sawa na kufundisha mwanafunzi wa chuo kikuu 1-3= HAIWEZEKANI!
 
Nayo yanaweza kuwa maoni mazuri kwa wenye kutafiti ama kutaka kujua... sioni kama ni jambo la kulipuuza!

kusikiliza ni jambo moja, lakini kutafakari na kutathmini ni jambo jingine!

Aidha kupuuza na kutupilia mbali mawazo mengine yasioendana na tutakavyo pia kuna usahihi wake.. Unaepuka presha na jinamizi!!

ni wachache sana wenye mtazamo makini kama huu,
wengi wanawaza kama mafisadi, hawataki kusikia habari wasoipenda, wanaipinga na kuipuuza tena kwa maneno matupi yasiyojibu kilichosemwa. Ni busara kujaribu kuitafakari kama ina ukweli ndani yake au kujua kama inapambwa ili ikaribiana na ukweli.
 
Hizi mbinu zenu za kifisadi zitakuja kuwarudi na kuwaangamiza. Wale vijana wa Bagamoyo wakiongozwa na Ridhiwani waliosema Rais hawezi kutoka kaskazini walikuwa wafuasi wa Zitto? Mlitumia propaganda ya udini imewaumiza wenyewe kwenye Sensa na sasa mnashindwa kuwa handle Waislamu. Ufalme uliofitinika hauwezi kudumu milele
 
Nayo yanaweza kuwa maoni mazuri kwa wenye kutafiti ama kutaka kujua... sioni kama ni jambo la kulipuuza!

kusikiliza ni jambo moja, lakini kutafakari na kutathmini ni jambo jingine!

Aidha kupuuza na kutupilia mbali mawazo mengine yasioendana na tutakavyo pia kuna usahihi wake.. Unaepuka presha na jinamizi!!

ni wachache sana wenye mtazamo makini kama huu,
wengi wanawaza kama mafisadi, hawataki kusikia habari wasoipenda, wanaipinga na kuipuuza tena kwa maneno matupi yasiyojibu kilichosemwa. Ni busara kujaribu kuitafakari kama ina ukweli ndani yake au kujua kama inapambwa ili ikaribiana na ukweli.
 
Hata mimi nina kundi ndani ya Chadema mbona wamesahau kunitaja? Wanaoniunga mkono ni wale wanaotoka kanda ya Mashariki na upande wa Visiwani hasa mikoa ya Morogoro, Pwani, Tanga, Dar es Salaam (Temeke zaidi), Unguja na Pemba, Mtwara na Lindi pamoja na Ruvuma (Tunduru). Wanaoniunga mkono ni Ritz, zomba, Tume ya Katiba, malaria Sugu, @Mafilifili, TUNTEMEKE, @Inoncensia na Faiza foxy. Mwaka 2015 lazima tuchukue Urais kupitia Chadema la sivyo tutajiunga na CUF au ADC

Gerrard,
Leo haupo sawa una msongo wa mawazo.
 
Last edited by a moderator:
Credibility ya hilo gazeti ni ndogo, so yanayotoka kwao bila shaka hayawezi kuaminika!!!!
 
waandishi wa gazeti la sauti huru ni mapolisii wastaafu walioamua kujiajiri
 
Hadi 2015 mtasema mengi, mnatapatapa tu. Watanzania wa sasa hawadanganyiki kabisa. Imekula kwenu vibaya sana!!!!

M4C inawakamua vinyesi vyenu vyote, sijui kama kuna dawa ya kufunga kuendesha mnakoendelea nako sasa. Huu ni mwanzo tu, subiri bado mashambulizi zaidi yanakuja. Long Range missiles on alert...........
 
jaribuni tena kitu kigine huu umbeya umesha shindikana watu wameshaamua kuipenda cdm ndio tegemeo lao ccm kimbilio la mafisi ....
kama umetumwa nakukumbusha tu bunda ndio wilaya masikini tz...panga mipango vizuri achana na cdm utakumbuka shuka kumekucha
 
Back
Top Bottom