Ina maana JK kampa Mwandosya uwaziri kwa kinyongo? Kumnyima aliogopa reaction? Je tatizo la afya yake haina mkono wa mtu?
Ktk maisha, bora adui anayekukasirikia kuliko anayekuchekea maana utampa nafasi atakusogelea na kukuzuru.
Nakumbuka ya Mwakyembe alivyokuwa mbunge alikuwa safi, alipopata uwaziri afya ikaleta matatizo tukasikia mengi mara unaweza kugusishwa tu sio lazima ulishwe bora unapokuwa tofauti kuanza mapema uking'ang'ania chamani unakuwa karubu nao wana ku do.
"Zifanyike jitihada za mabadiliko" Only words,angechukua hatua kwa wote waliobainika. actions speaks louder!
Kwa wale wanaoelewa zaidi, Je, hapo kuhusu Prof. Mwandosya alikuwa na maana gani? Kwamba kambi ya Mwandosya ilihusika katika mambo ya ajabu aliyotendewa?
Am still in disbelief about this kauli
Tutasikia mengi mwaka huu.Hata mimi sijamuelewa Kikwete, awe makini na anachokiongea yeye ni rais wa nchi. Kwa hiyo uwaziri amempa kinafiki tuu?
Ndugu yangu unaona ni miaka 8 wengine wataona miezi 5 soma kitabu cha Mwandosya kibba maana gani wakati Jk bado MkitiHuyu Vasco da Gama namshangaa sana habari ya kumtaja mtu baada ya miaka nane kupita ina maana gani tena, anataka tuamini kuwa Prof Mwandosya alimfanyia mambo mabaya?
am still in disbelief about this kauli
Mkuu hata mimi nimeliona hilo, Kwa kuweka pamoja matukio, naamini Ugonjwa wa Mwandosya una mkono wa JK. Ule mfano unammaliza JK, na ni jibu la swali tunalojiuliza kila siku. JK ni mtu wa visasi, hawezi kumwacha mtu, tumeona alivyomwangamiza Salim Ahmed, Salimin Amour, Prof Mbawala nkKwa wale wanaoelewa zaidi, Je, hapo kuhusu Prof. Mwandosya alikuwa na maana gani? Kwamba kambi ya Mwandosya ilihusika katika mambo ya ajabu aliyotendewa?
Mkuu hata mimi nimeliona hilo, Kwa kuweka pamoja matukio, naamini Ugonjwa wa Mwandosya una mkono wa JK. Ule mfano unammaliza JK, na ni jibu la swali tunalojiuliza kila siku. JK ni mtu wa visasi, hawezi kumwacha mtu, tumeona alivyomwangamiza Salim Ahmed, Salimin Amour, Prof Mbawala nk