Wanachuo wengi sana wameshahitimu masomo yao pale makumira university na wengi wao walijiandikisha pale.tunakazi moja ya kulitwaa jimbo,kipindi kilichopita tulipata kura nyingi sana pale sasa kutokuwapo kwao kwa kipindi hiki kwani wengi wao wapo kwenye vituo vyao vya kazi au wengine wapo kwenye mihangaiko ya maisha sehemu tofauti,tunawaomba waje kutupa suport ili tuliondoe hili dubwana sisiemu katika ramani ya tanzania.tunawaomba sana ndugu zetu.mimi nipo mwanza alakini lazima nitie timu,namuomba mwenyezi MUNGU anipe afya na uwezo lazima nikapige kura.wanavyuo wote hapa nchini ni adui wa sisiemu ,nasema hivi kwasababu sisiemu hawapendi watu wanatambua haki yao,au wanaojitambua na wanaopinga udhalimu,rushwa,uonevu na wanaojua haki yao ya msingi..so wanasomi hawa ndio namba moja,sasa kama mtu ashasema tena kwa vitendo kua wewe sio rafiki yangu kunahaja gani ya wewe kungangania kua nae?!asanteni.